Rais Samia kaniangusha na kunisononesha sana ripoti ya CAG 2021-2022

Hahahahahah na ndio maana huu upuuzi ulipungua sana awamu ilioisha. Sasa sahizi mtu karuhusu kuanzia wakurugenzi wote wawe wezi, mawaziri, wana usalama kuna kitu kitabakia kweli?
Inasikitisha sana mkuu wa nchi anamshauri mwizi kuachia nafasi ya kazi badala ya kuamrisha vyombo husika vimkamate na kumfikisha mahakamani.
 
Vipi kuhusu pigo la ndege ya mizigo. Nalo linahitaji maelezo?
 
Yani badala ya kusikitika nimejikuta nacheka peke yangu.

Nafikiri hiyo picha ya raisi hapo juu imewasaidia kutochukuliwa hatua yoyote.
 
Takukuru ni moja wapo ya taasisi za hovyo kuwahi kuwa nazo hapa nchini.

They are simply useless.
 

Hapo ndipo ilipo tofauti ya Raisi mwanamke na Raisi mwanaume kwenye kufanya maamuzi na kwenye kuongea kwa kumanisha ,
 
Ndugu Lucas mwashambwa hivi kama raisi kaagiza wezi wahamishwe ofisi au kupunguzwa vyeo, ni nani mungine atakaethubutu kukiuka agizo hilo kwa kujaribu kuwafunga?
 
Mkuu unafikiri kuna rais pale?!!

Pale kuna kivuli tu kisichojitambua.
Inaonekana hata yeye mwenyewe haelewi mamlaka yake ni yapi, yupo kupiga mipasho tu.
Saa 100 is myth something which doesn't existing even there is no something like presdent samia in tanzania
 
Mbona anatumbua sana!
Je, kuna mabadiliko??‽¿
 
WANGEKUWA WAPINZANI WOTE WANGELALA GEREZA LA KEKO NA KESHO WANGEAMKIA MAHAKAMA ya MAFISADI bahati nzuri hao wote ni MAKADA
 
Kwamba kumsimamisha mwiz na kumpeleka mahakamani ni kutokufuafa utawala wa sheria sio
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…