Lwagaze
Senior Member
- Jan 5, 2022
- 101
- 190
Unajua kwenye uongozi Kuna muda unatakiwa ufanye maamuzi magumu kwa mustakhabali wa wengi. Sasa unaposhindwa kufanya hivyo ndiyo hayo madudu hutokea na huendelea kutokea kwa kuwa walio chini yako wanakufahamu jinsi ulivyo.
Tutoe mfano mdogo kwenye kumkataa mzabuni wa Bilioni 616, afu mnamkubali wa Trioni 1.16 uko kwa akili ya kawaida tu at ungekua ww ndiye biashara yako unamchagua nani hapo. Itoshe kusema upigaji umezidi na utaendelea kama Rais hatachukua hatua za makusudi kuweza kulizuia au kulipunguza
Hayo tunayoelezwa na CAG huenda ni machache kati ya mengi, lakini pia tujiulize tutaenda ivi hadi lini jamani yaani sisi tunashindwa at kujifanya wazalendo kiunafiki tukaziba mengne
Tanzania tuna safari ndefu sana ya maendeleo kwa staili hii viongozi punguzeni wizi na upigaji aisee.
Tanzania imeshakua nchi ya mchongo, viongozi nao ni wamchongo wanaendelea kupiga michongo. Tunaoumizwa ni watu wa chini afu et unataka tulipe Kodi kwa maendeleo yetu au ni kwa maendeleo yenu jamani
Ukiangalia at adhabu wanaozitunga Zina upendeleo kwao mtu mnajua kabisa kafanya kosa et mnasema muhamisheni kituo kweli badala ya kulifunga jela ***** mnaleta sera za kulindana tu
TANZANIA BADO TUNA FAMASIKHARA TU.
Tutoe mfano mdogo kwenye kumkataa mzabuni wa Bilioni 616, afu mnamkubali wa Trioni 1.16 uko kwa akili ya kawaida tu at ungekua ww ndiye biashara yako unamchagua nani hapo. Itoshe kusema upigaji umezidi na utaendelea kama Rais hatachukua hatua za makusudi kuweza kulizuia au kulipunguza
Hayo tunayoelezwa na CAG huenda ni machache kati ya mengi, lakini pia tujiulize tutaenda ivi hadi lini jamani yaani sisi tunashindwa at kujifanya wazalendo kiunafiki tukaziba mengne
Tanzania tuna safari ndefu sana ya maendeleo kwa staili hii viongozi punguzeni wizi na upigaji aisee.
Tanzania imeshakua nchi ya mchongo, viongozi nao ni wamchongo wanaendelea kupiga michongo. Tunaoumizwa ni watu wa chini afu et unataka tulipe Kodi kwa maendeleo yetu au ni kwa maendeleo yenu jamani
Ukiangalia at adhabu wanaozitunga Zina upendeleo kwao mtu mnajua kabisa kafanya kosa et mnasema muhamisheni kituo kweli badala ya kulifunga jela ***** mnaleta sera za kulindana tu
TANZANIA BADO TUNA FAMASIKHARA TU.