Rais Samia kapata wapi ujasiri wa kusafiri ilhali kuna majanga nchini?

Inahuzunisha sana, tena sana!
 
Wewe kuna siku utapigwa na utakosa wa kukutetea 😏
 
JPM alikuwa mhutu.
 
Kuna haja ya kuwafanyia psychometric tests na analysis hawa wapuuzi kabla ya kuwateua kuwa viongozi , huwezi kuteua jitu lina Iq ya 50 halafu unatarajia jitu kama hilo liwe think-tank ya taifa ,ni upuuzi
Mtu mwenye IQ hio ni average, nadhani atakuwa around 30 sumthin
 
Huo mwaliko ni mkubwa sana hawezi kuacha kwenda lakini nchi ina viongozi wengine amnao wanafanya kazi nzuri mno hadi sasa
Hakuna mwaliko mkubwa ambao mtu hauwezi kukataa na kuacha kwenda.
 
Kifo Ni kifo Tuuuu aliwah sema,,, UNATEGEMEA KWA HILI KUNA MABADILIKO??? wanasema MSIBA usikie kwa jiran
 
Mbowe hatunzwi kwa kodi za raia wa Tanzania.
 
Kuna muda unakera ujue 😹
Watakupiga kotekote subiri uone..!!

Mi niko mzima, kuna muda punguza kuandika pumba watu tuna machungu ujue…
siku zote ukweli ni mchungu sana, na unatabia ya kukera sana aise. Pole sana lakini itabidi uzoeee mtumishi..

binafsi huandika ukweli mtupu mtumishi, na sina cha kupunguza au kuongeza kwenye vyote ninavyoandika ambavyo kwa kiwango kikubwa mno vinajitosheleza.

Hata hivyo naomba radhi kwa wote ikiwa ukweli huu unakwaza 🐒
 
Tanganyika kama koloni..ukiuliza utaambiwa 'sababu mama sio wa imani ileee,,anaamini huku'
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…