Sergeant Stonebridge
JF-Expert Member
- Oct 8, 2014
- 479
- 4,894
Yaani Kodi zetu zinaenda kuwalipia na wanaccm nauli hayo matumiz mabaya ya kodi zetuRais Samia huku unatuletea matozo. Imagine hao wote unaosafiri nao kwenda Zambia kwa kodi za watanzania.
View attachment 1905055
Mama Tozo huyo.Ona huo msululu jamani. Halafu mzigo unakuja kurudi kwa watanzania kulipa kodi lukuku.
Sikutegemea km ungekomment hivi.Kuna shida gani! Na mna lipa tozo???
Si umeona eenhh??!!.Tukisema Wanawake bado hamjafikia kushika nyadhifa za juu ktk nchi muwe mnakubali.Yaani kusema ukweli huyu mwanamke ni hasara kabisa.
mmhSi umeona eenhh??!!.Tukisema Wanawake bado hamjafikia kushika nyadhifa za juu ktk nchi muwe mnakubali.
Sasa unabisha??
Nilifikiri ni wafanyabiashara wameenda kutafuta namna ya kushirikiana, afadhali hata angeenda commissioner wa TRA, kiumbe ni WAPIGA FILIMBI WA HAMELINI.Ona huo msululu jamani. Halafu mzigo unakuja kurudi kwa watanzania kulipa kodi lukuku.
Khasara ama Msiba!...inna lillahi wa inallah-e-raji'oon #Mtanikumbuka#Yaani kusema ukweli huyu mwanamke ni hasara kabisa.
Mwache atavuna, na alivyo na roho ndogo presha lazima iruke nayrRais Samia huku unatuletea matozo. Imagine hao wote unaosafiri nao kwenda Zambia kwa kodi za watanzania.
View attachment 1905055
Ccm ni hasara kwa ujumla.Yaani kusema ukweli huyu mwanamke ni hasara kabisa.