Kweli watu mmeishiwa hoja za kujadiri hapa, kwanza mjuwe mh Rais wetu mpendwa mama Samia suluhu Hassani kaonyesha yeye Ni Zaid ya Rais, kaonyesha yeye Ni komandoo na jasusi aliyekamilika, Kaonyesha yeye Ni TISS iliiyoiva kisawasawa, Ndio maana hapo unaona kamnywesha huyo mwenyeji wake lakini yeye kamkwepa kikomandoo, Hapo kawapiga chenga ya kijasusi kubwa Sana, Kawapiga mueleka wa kikomandoo na kuwaacha wakiwa chini
Kazi iendeleee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wakugusa maisha ya watanzania wanyonge
Pia lazima watu mnaochangia hapa muelewe kuwa baada ya mh Rais wetu mpendwa mama Samia suluhu Hassani kumnywesha mwenyeji wake hakutumia hiyo glasi kunywa Tena Bali alipewa nyingine hapo mbele alipoelekea ,Angalia vizuri mkono wa mh Rais wetu aliyeiva na kuvivaa viatu vya Urais kisawasawa akipokea Glasi nyingine kutoka kwa wasaidizi wake ambao tumewapa dhamana ya kuhakikisha mh Rais wetu mpendwa anakuwa salama popote Alipo huku akilindwa na Mkono wa Mwenyezi Mungu mwingi wa Rehema,
Kazi iendeleee Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka
Sikia wewe siyo unachangia tu hapa bila kuelewa mambo, Mh Rais wetu alibadilishiwa glasi na kupewa nyingine na msaidizi wake, angalia mkono wa jemedari wetu Mama Samia akipokea Glasi nyingine haraka haraka na kunywa, Tanzania Ni majasusi kweliii kweliii na wasaidizi wa mh Rais wetu mpendwa wameiva kimedani na kijasusi na ndio maana unaona walivyo makini na usalama wa mh Rais wetu kwa maslahi mapana ya Taifa letu pendwa la Tanzania
Ulifikiri kuna back side attack ILITOKEA!?Punguza uchawa. Unatetea Hadi uongo. Amemnywesha mme wa mtu juisi na yeye akanywa. Usisahau ni Samiah huyu huyu walibaki kwenye gari na kagame pekee yao. Sijui walikuwa wanafanya Nini.
Najuwa nimewaumbua ndio maana umekosa hoja nakuanza kuruka Ruka hapa, unazani mh Rais wetu Ni mjinga na akili hafifu Kama wewe Hadi atumie glasi aliyonywea mwenyeji wake? Tanzania Tumekamilika kila idara na sisi wananchi tuna Imani na wasaidizi wa mh Rais wetu mpendwa katika suala Zima la usalama wake
Ulifikiri kuna back side attack ILITOKEA!?
Ndo tatizo la kuwa na rais wa upande wa pili unakumbuka yaliyowakuta Croatia kwenye kombe la dunia
Acha uongo wako na upotoshaji wako hapa wa kujifanya unamfahamu Rais wetu mpendwa kuliko sisi watanzania, acha na Koma kumchafua mh Rais wetu hapa, Tena Koma kabisa
Watu wengi hawajaelea maana ya hyo video mam pale kaupiga mwingii mnk alipewa juice isoyofanan kbsa na watu wengine akaona Yanini Nijifie Pekee angu akabidi pale amnyweshe nyusi Kama Ni kufa wafe wote dadeki mam kaupiga mwingi
Unajuwa huyo mwenyeji wake alikuwa ameshika kinywaji gani? Unazani kwanini mh Rais wetu mpendwa alinyooshea kidole glasi ya mwenyeji wake? Hicho kitendo Ni Cha kawaida kufanywa na viongozi wa hata mataifa makubwa, lakini naomba ukweli usimame na kubaki kuwa mh Rais wetu hakutumia glasi aliyotumia mwenyeji wakeUkweli ni kwamba Rais angepiga cheers ingetosha , lakini kwenda na kumnywesha Rais wa kiume juisi ni Kama kumseduce.
Glasi ilibadilishwa na akapewa nyingine, angalia mkono wa mh Rais wetu mpendwa mama Samia suluhu Hassani akipokea Glasi nyingine kijasusi zaidi, watu wanachangia tu maana Kasi ya mh Rais wetu kuwatumikia watanzania ilishawavuruga baada ya ubabaishaji wao kufika kikomo, kazi iendeleee
Hawakufika huko ila hug na mabusu yalikuwa yakutoshaHivi ni kweli macron alichungulia nyeti?[emoji16]
Hii kauli haikubaliki abadani, huwa nakusapoti Kwa mambo mengi sana, ila kwa hapa, ni bora utengue kauliHadi rais wa msumbiji kashtuka kabisa, namuona rais wa msumbiji akiutafuta ule Uzi wa 'tunda kimasihara'
Unajuwa huyo mwenyeji wake alikuwa ameshika kinywaji gani? Unazani kwanini mh Rais wetu mpendwa alinyooshea kidole glasi ya mwenyeji wake? Hicho kitendo Ni Cha kawaida kufanywa na viongozi wa hata mataifa makubwa, lakini naomba ukweli usimame na kubaki kuwa mh Rais wetu hakutumia glasi aliyotumia mwenyeji wake
Sivyo hivyo mnavyofikiria, mwenzake alikuwa anapiga mvinyo pale na yeye hata kama huwa anapiga mavitu makali lakini hawezi piga hadharani.Ndio Ndio!una jicho we Jamaa!!
Kwani mama kanywa pale!!?
Mama muoga sana anajua usalama ni mdogo maadui KILA kona!!hakujiandaa kunywa pale!!
Sawasawa
Punguza uongo. Hakubadilishiwa glasszo
Hiyo kwa takwimu za wapi? Labda Rufiji!Majority ya Watanzania (around 71%) ni Waislamu.
Kama aliwekewa sumu wafe wote.