Rais Samia katuaibisha nje ya Nchi tena. Hizi si Mila za Mtanzania

Deep down alitaka kumuonjesha Radha ya juice...
 
Acha uchawa wa kijinga! Samia ametutia aibu iwe alipewa glasi nyingine au la!
 
Kwa Nini alipomnywesha alitembea kuelekea upende mwingine ambako hakutokea na badala yake akaenda upande mwingine....Samia HAJANYWA JUICE ILE ALIYOMNYWESHA NYUSI
 
Mama master, kakataa kinywaji cha nyusi kijanjanja na kimedani, nimemuelewa mama
Kweli mkuu hapo nimemuelewa sana mama, nakumbuka enz zile wazee wetu walikuwa wakienda kunywa pombe za kienyeji aka manguree wanakaa viduara alafu wanashare kile kideko almaarufu album, ila kabla ya wao kuanza kunywa kwa mzunguko sharti la kwanza yule muuza manguree lazima yeye aonje kwanza.
 
Watanzia wengi uwezo wa kufikiri Ni mdogo Sana....yaan mkiangalia hiyo clip mnaona Samia amekunywa juice the same na aliyompa nyusi!!?....
 
Eee bhana eeee !!! Watu mbona mnafunguka sana jamani ? Khaaaa !!!
 
Kumbe naye anashitua vant🤣
Umeandika upuuzi gani huu!? Ulikuwepo pindi hiyo glass ikibadilishwa na kupewa nyingine..

Tazama hadi mwisho utaona jinsi bibi Hangaya akinywa kinywaji cha juisi ya parachichi hadi mwisho..
 
Acha uchawa wa kijinga! Samia ametutia aibu iwe alipewa glasi nyingine au la!
Sasa kumbe huna hata uhakika na huelewi kitu halafu unaleta ujuaji wako hapa, Tulia uelimishwe na kufundishwa siyo unakimbilia kuandikaa tu hapa kwa kufuata mkumbo
 
Na hili ndo jibu..uzi ufutwe..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…