Rais Samia katuaibisha nje ya Nchi tena. Hizi si Mila za Mtanzania

Rais Samia katuaibisha nje ya Nchi tena. Hizi si Mila za Mtanzania

Deep down alitaka kumuonjesha Radha ya juice...
 
Wewe uwe unatulia usiwe Kama Bavicha , mh Rais wetu alibadilishiwa glasi na msaidizi wake aliyekuwa hapo mbele hatua chache, Hivyo siyo kweli kuwa alitumia glasi aliyotumia mwenyeji wake, Angalia hata namna mh Rais wetu mpendwa alivyoipokea kwa uharaka na kuinywa Ile aliyopewa na msaidizi wake, muwe mnachangia baada ya kuwa na uhakika wa kile mnachokiona siyo unasoma maoni ya watu na wewe unachangia bila kuelewa kitu
Acha uchawa wa kijinga! Samia ametutia aibu iwe alipewa glasi nyingine au la!
 
Kwa Nini alipomnywesha alitembea kuelekea upende mwingine ambako hakutokea na badala yake akaenda upande mwingine....Samia HAJANYWA JUICE ILE ALIYOMNYWESHA NYUSI
 
Mama master, kakataa kinywaji cha nyusi kijanjanja na kimedani, nimemuelewa mama
Kweli mkuu hapo nimemuelewa sana mama, nakumbuka enz zile wazee wetu walikuwa wakienda kunywa pombe za kienyeji aka manguree wanakaa viduara alafu wanashare kile kideko almaarufu album, ila kabla ya wao kuanza kunywa kwa mzunguko sharti la kwanza yule muuza manguree lazima yeye aonje kwanza.
 
Watanzia wengi uwezo wa kufikiri Ni mdogo Sana....yaan mkiangalia hiyo clip mnaona Samia amekunywa juice the same na aliyompa nyusi!!?....
 
Kwa mliomfahamu Samia baada ya kumwona na ushungi ndio mnashangaa!! Enzi za samia havai ushungi akiwa kwenye NGOs zake huko tunamjua Samia si mtu wa maadili ya kiafrika, huyu mama ana uzungu mwingi uliopitiliza... hata huo mtandio anaovaa no baada ya wazee kumsihi sana avae ili apate kura za jimboni huko Zanzibar.

Zakhia Meghji hamfikii Samia Suluhu Hassan kwa uzungu.
Eee bhana eeee !!! Watu mbona mnafunguka sana jamani ? Khaaaa !!!
 
Kumbe naye anashitua vant🤣
Pia lazima watu mnaochangia hapa muelewe kuwa baada ya mh Rais wetu mpendwa mama Samia suluhu Hassani kumnywesha mwenyeji wake hakutumia hiyo glasi kunywa Tena Bali alipewa nyingine hapo mbele alipoelekea ,Angalia vizuri mkono wa mh Rais wetu aliyeiva na kuvivaa viatu vya Urais kisawasawa akipokea Glasi nyingine kutoka kwa wasaidizi wake ambao tumewapa dhamana ya kuhakikisha mh Rais wetu mpendwa anakuwa salama popote Alipo huku akilindwa na Mkono wa Mwenyezi Mungu mwingi wa Rehema,

Kazi iendeleee Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka
Umeandika upuuzi gani huu!? Ulikuwepo pindi hiyo glass ikibadilishwa na kupewa nyingine..

Tazama hadi mwisho utaona jinsi bibi Hangaya akinywa kinywaji cha juisi ya parachichi hadi mwisho..
 
Acha uchawa wa kijinga! Samia ametutia aibu iwe alipewa glasi nyingine au la!
Sasa kumbe huna hata uhakika na huelewi kitu halafu unaleta ujuaji wako hapa, Tulia uelimishwe na kufundishwa siyo unakimbilia kuandikaa tu hapa kwa kufuata mkumbo
 
Nimeiangalia vizuri hiyo clip inaeonekana kama alibadilishiwa glass ndio akaiweka mdomoni na kunywa juice , sio ile glass aliyomnywesha nayo Nyusi !! Na alimnywesha juice Rais Nyusi kwa kuwa hakutaka kutakiana cheers kwa glass ya juice na glass ya whiskey maana yeye ni muislamu angegongesha glass ingeleta impression mbaya kwa waislamu wengi duniani ambao wangeiona hiyo clip !!
Na hili ndo jibu..uzi ufutwe..
 
Back
Top Bottom