Unatafuta ulaji kupitia sisi? Una shobo mbaya zaidi ya shoga!! Unataka Samia akuone unavyojidhalilisha kwaajili yake akupe ulaji?Ukiona mtu anatukana matusi Ni dalili za kuishiwa hoja, bila Shaka umeshikwa ndio maana umeishiwa kutukana matusi hapa
Siasa ni nini ndugu?Bila Shaka wewe Ni Ni mgeni katika siasa na umeanza majuzi kufuatilia siasa
Wewe Ni Nani Hadi unipandishe, kwa hiyo wewe unaandika upotoshaji wako hapa ili ukapate ulaji kwa wanaojituma? Basi siyo kosa lako Bali Ni kosa la wanaojituma kufanya kazi iliyokuzidi kimo Cha uelewaUnatafuta ulaji kupitia sisi? Una shobo mbaya zaidi ya shoga!! Unataka Samia akuone unavyojidhalilisha kwaajili yake akupe ulaji?
Umekuja mjini juzi sisi tupo enzi na enzi acha shobo.
Mama akishapiga Vant huwa hana control
Bila Shaka macho yako yanamatatizo yakuona au umekimbilia kuandika tu bila hata kuelewa kituUmeandika upuuzi gani huu!? Ulikuwepo pindi hiyo glass ikibadilishwa na kupewa nyingine..
Tazama hadi mwisho utaona jinsi bibi Hangaya akinywa kinywaji cha juisi ya parachichi hadi mwisho..
Wewe umeona nini kama siyo demu la mtu likimnywesha soda mume wa mtu!Sasa kumbe huna hata uhakika na huelewi kitu halafu unaleta ujuaji wako hapa, Tulia uelimishwe na kufundishwa siyo unakimbilia kuandikaa tu hapa kwa kufuata mkumbo
Siwezi Kuendelea kuandika hapa kukuelimisha maana inaonyesha wazi unatatizo la kimaleziWewe umeona nini kama siyo demu la mtu likimnywesha soda mume wa mtu!
Hapa nasimama.na Samia Suluhu HasanSalaam
Kitendo cha Kumnyesha juisi Mwanaume kwa glasi anayotumia na yeye akatumia hapo hapo mwanaume alipotoa Mdomo, imetufedhehesha sana Sisi Waisilam na Jamii ya Afrika Mashariki
Haya angeyafanya nje ya Camera. Mahaba gani haya jamani?
Kumbuka rais wetu ni Mke wa Mtu.
View attachment 2365501
Kiprotocal hii imekaaje?
View attachment 2365516
Najiuliza, Baba yetu Hafidh Ameir Hafidh amemfanyia baya gani rais wetu hadi alipize kwa kumuumiza kiasi hiki?
View attachment 2365540
Rais wa Tanzania Samia Suluhu Hassan akiwa na rais wa Msumbiji Filipe Nyusi
View attachment 2365567
Mara mia Rajab Abdul Kahali aka Harmonize, kapeleka ujumbe unaoeleweka.
Nakwambia tena dogo umemjua Samia kupitia tv juzi na hapa JF umejiunga July 2022 kutafuta kiki, sawa maisha magumu but hii njia uliyochagua ni dhalili kwako.Bila shaka uongo na unafiki ndio kalama yako
Acheni ushamba. Hapa kakosea nini?Salaam
Kitendo cha Kumnywesha juisi Mwanaume kwa glasi anayotumia na yeye akatumia hapo hapo mwanaume alipotoa Mdomo, imetufedhehesha sana Sisi Waisilam na Jamii ya Afrika Mashariki
Haya angeyafanya nje ya Camera. Mahaba gani haya jamani?
Kumbuka rais wetu ni Mke wa Mtu.
View attachment 2365501
Kiprotocal hii imekaaje?
View attachment 2365516
Najiuliza, Baba yetu Hafidh Ameir Hafidh amemfanyia baya gani rais wetu hadi alipize kwa kumuumiza kiasi hiki?
View attachment 2365540
Rais wa Tanzania Samia Suluhu Hassan akiwa na rais wa Msumbiji Filipe Nyusi
View attachment 2365567
Mara mia Rajab Abdul Kahali aka Harmonize, kapeleka ujumbe unaoeleweka.
Ni kweli mambo ya ndoa hayatuhusu lakini akumbuke ni Rais wa nchi anapaswa kulinda mila na desturi zetu!Hapa nasimama.na Samia Suluhu Hasan
Personal character yasichukuliwe kama weakness
Hapana hata yeye ni binadamu kama walivyo wengine.
Anafillings,ana moyo,
Yeye kuwa raisi isichukuliwe ubinadamu umemtoka
Ni binadamu kama walivyo wengine.
Okey sawa sawa eee
Huu mjadala usher,kuwa na mume anajua fika anayo. Na anajua cha kujibu kwa mume wake
Sisi mambo ya ndoa yao hayatuhusuu
Katuaibisha! Yeye siyo mwanamke wa kawaida bali ni Rais wa nchi anapaswa kulinda mila na desturi zetu!Acheni ushamba. Hapa kakosea nini?
Amandla...
Sema mila yako wengine tumeona haya!Hizo ndiyo mila zetu waafrika. Tuna share na kuembrace one another.
Haya si sababu unafuatisha mila za mbele. Huku kwetu tulikuwa tunatembea maziwa na mapaja wazi. Leo kwa kuiga mila za wazungu utaona haya ukiona maziwa na mapaja nje.Sema mila yako wengine tumeona haya!
Ndiyo ninyi nyani?Haya si sababu unafuatisha mila za mbele. Huku kwetu tulikuwa tunatembea maziwa na mapaja wazi. Leo kwa kuiga mila za wazungu utaona haya ukiona maziwa na mapaja nje.
Kwendraa. Kujikuta diplomaticThis is bad, I repeat, THIS IS WORSE.
Kuna kitu hakiko sawa mahali, kuna kitu kiko VERY WRONG..
Hii ni mistake atakayoijutia maisha yake yote.