Rais Samia katuaibisha nje ya Nchi tena. Hizi si Mila za Mtanzania

Rais Samia katuaibisha nje ya Nchi tena. Hizi si Mila za Mtanzania

Ukiona mtu anatukana matusi Ni dalili za kuishiwa hoja, bila Shaka umeshikwa ndio maana umeishiwa kutukana matusi hapa
Unatafuta ulaji kupitia sisi? Una shobo mbaya zaidi ya shoga!! Unataka Samia akuone unavyojidhalilisha kwaajili yake akupe ulaji?

Umekuja mjini juzi sisi tupo enzi na enzi acha shobo.
 
Unatafuta ulaji kupitia sisi? Una shobo mbaya zaidi ya shoga!! Unataka Samia akuone unavyojidhalilisha kwaajili yake akupe ulaji?

Umekuja mjini juzi sisi tupo enzi na enzi acha shobo.
Wewe Ni Nani Hadi unipandishe, kwa hiyo wewe unaandika upotoshaji wako hapa ili ukapate ulaji kwa wanaojituma? Basi siyo kosa lako Bali Ni kosa la wanaojituma kufanya kazi iliyokuzidi kimo Cha uelewa
 
Umeandika upuuzi gani huu!? Ulikuwepo pindi hiyo glass ikibadilishwa na kupewa nyingine..

Tazama hadi mwisho utaona jinsi bibi Hangaya akinywa kinywaji cha juisi ya parachichi hadi mwisho..
Bila Shaka macho yako yanamatatizo yakuona au umekimbilia kuandika tu bila hata kuelewa kitu
 
Watanzania tumeshasahaulishwa masuala ya msingi tumehamia kujadili hili tukio.

Tozo imesahaulika na aliyechemka jana haongelewi
 
Kabla sijachangia ngoja kwanza
617C2EF9-0863-411E-AAA2-0FDF5F0D1CC3.jpeg
 
Sasa kumbe huna hata uhakika na huelewi kitu halafu unaleta ujuaji wako hapa, Tulia uelimishwe na kufundishwa siyo unakimbilia kuandikaa tu hapa kwa kufuata mkumbo
Wewe umeona nini kama siyo demu la mtu likimnywesha soda mume wa mtu!
 
Salaam

Kitendo cha Kumnyesha juisi Mwanaume kwa glasi anayotumia na yeye akatumia hapo hapo mwanaume alipotoa Mdomo, imetufedhehesha sana Sisi Waisilam na Jamii ya Afrika Mashariki

Haya angeyafanya nje ya Camera. Mahaba gani haya jamani?

Kumbuka rais wetu ni Mke wa Mtu.
View attachment 2365501
Kiprotocal hii imekaaje?
View attachment 2365516
Najiuliza, Baba yetu Hafidh Ameir Hafidh amemfanyia baya gani rais wetu hadi alipize kwa kumuumiza kiasi hiki?
View attachment 2365540
Rais wa Tanzania Samia Suluhu Hassan akiwa na rais wa Msumbiji Filipe Nyusi
View attachment 2365567
Mara mia Rajab Abdul Kahali aka Harmonize, kapeleka ujumbe unaoeleweka.
Hapa nasimama.na Samia Suluhu Hasan

Personal character yasichukuliwe kama weakness

Hapana hata yeye ni binadamu kama walivyo wengine.

Anafillings,ana moyo,

Yeye kuwa raisi isichukuliwe ubinadamu umemtoka

Ni binadamu kama walivyo wengine.

Okey sawa sawa eee

Huu mjadala usher,kuwa na mume anajua fika anayo. Na anajua cha kujibu kwa mume wake

Sisi mambo ya ndoa yao hayatuhusuu
 
Salaam

Kitendo cha Kumnywesha juisi Mwanaume kwa glasi anayotumia na yeye akatumia hapo hapo mwanaume alipotoa Mdomo, imetufedhehesha sana Sisi Waisilam na Jamii ya Afrika Mashariki

Haya angeyafanya nje ya Camera. Mahaba gani haya jamani?

Kumbuka rais wetu ni Mke wa Mtu.
View attachment 2365501
Kiprotocal hii imekaaje?
View attachment 2365516
Najiuliza, Baba yetu Hafidh Ameir Hafidh amemfanyia baya gani rais wetu hadi alipize kwa kumuumiza kiasi hiki?
View attachment 2365540
Rais wa Tanzania Samia Suluhu Hassan akiwa na rais wa Msumbiji Filipe Nyusi
View attachment 2365567
Mara mia Rajab Abdul Kahali aka Harmonize, kapeleka ujumbe unaoeleweka.
Acheni ushamba. Hapa kakosea nini?

Amandla...
 
Hapa nasimama.na Samia Suluhu Hasan

Personal character yasichukuliwe kama weakness

Hapana hata yeye ni binadamu kama walivyo wengine.

Anafillings,ana moyo,

Yeye kuwa raisi isichukuliwe ubinadamu umemtoka

Ni binadamu kama walivyo wengine.

Okey sawa sawa eee

Huu mjadala usher,kuwa na mume anajua fika anayo. Na anajua cha kujibu kwa mume wake

Sisi mambo ya ndoa yao hayatuhusuu
Ni kweli mambo ya ndoa hayatuhusu lakini akumbuke ni Rais wa nchi anapaswa kulinda mila na desturi zetu!
 
Sema mila yako wengine tumeona haya!
Haya si sababu unafuatisha mila za mbele. Huku kwetu tulikuwa tunatembea maziwa na mapaja wazi. Leo kwa kuiga mila za wazungu utaona haya ukiona maziwa na mapaja nje.
 
Back
Top Bottom