Rais Samia katuaibisha nje ya Nchi tena. Hizi si Mila za Mtanzania

Ni wazi alibadilishiwa glass. Utaona anapokea glass ambayo imejaa mwisho wa clip ukilinganisha na ile aliyomnywesha Nyusi.
 
huna akili.
Angalia Samia anavyopotea kushoto kwenye clip baada ya kumnywesha Nyusi. Hapo anapewa glass nyingine. Angalia pia ujazo wa glass wakati anaenda kumnywesha na wakati anakunywa mwenyewe mwisho kabisa
 

huna akili.
Wewe hupo sawa kichwani maana naona unamvamia kila mtu anayekupinga upotoshaji wako humu
 
Ni wazi alibadilishiwa glass. Utaona anapokea glass ambayo imejaa mwisho wa clip ukilinganisha na ile aliyomnywesha Nyusi.
Hebu sema kweli, alimnywesha jamaa au hakumywesha?

Akili za viroboto hovyo sana, mmekomaa na kubadilishwa glas ilihal mama yenu kesha wadhalilisha kweupee!
 
Hivi nyie mnaotoka mapovu mtasema nini Rais wetu akienda nchi ambayo wanasalimiana kwa kubusiana mashavu au mikono? Au, astaghafilula, mtu akamkumbatia!

Amandla...
 
Ni wazi alibadilishiwa glass. Utaona anapokea glass ambayo imejaa mwisho wa clip ukilinganisha na ile aliyomnywesha Nyusi.

Sawa kabisa, hakutumia glasi aliyo munywesha Nyusi lakini waswahili kama kawaida yao badala ya kufuatilia/chunguza kwa umakini kwa kile kilicho fanyika pale - wanatuletea stori za kutunga/buni tu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…