Rais Samia katuaibisha nje ya Nchi tena. Hizi si Mila za Mtanzania

Huenda wameona, ila kwa vile wengi wanaishi kupitia ajira hizi za uchawa, basi lazima waje waandike upuuzi huu ili wapate malipo yao ya siku.
 
Hoja zako sio scientific ni mtazamo

Uislam ulishindwa kuenea sana bara moja ya sababu ilikuwa kutahiriwa ilikuwa lazima utahiriwe ndio uwe muislam sasa unaelewa wasukuma na mambo ya kutahiriwa

Kitu kingine kilichokwamisha uislam kuingia bara kwa wingi ni uvivu wa waarabu hawakutaka kujihusisha na watu waliokuwa wanaishi vijijini au porini tena kwa kuhama hama

Ukifanya research yako utagundua uislam ulienea zaidi kwa makabila ya watu ambao kiasili ni wavivu ukienda lindi,tanga mtwara utaliona hili
kwa upande wa singida pale mjini ndio kuna waislam wengi wanyaturu ni wavivu sana,ila wilaya za manyoni,iramba sio wanyaturu ndio maana uislam ulishindwa kupenya

Pale tabora mjini ilikuwa njia ya waarabu wazee wa kinyamwezi ni wavivu walikuwa wanapokea zawadi za waarabu

Ujiji njia ya biashara ya utumwa kuna waislam wengi wenyewe wanajiita wamanyema hawataki kuitwa waha ili kujitofautisha

Ukienda ruvuma sehemu yenye waislam wengi ni tunduru kwasababu wale ni wavivu tofauti na wilaya zingine km songea nk

Fact ni kuwa waislam waliongezeka kinamba kwasababu wengi walikuwa hawaendelei na shule wanaanza familia mapema ukimjumlisha ndoa za wake wengi

 
Mate kwenye glass
Wewe uwe unatulia usiwe Kama Bavicha , mh Rais wetu alibadilishiwa glasi na msaidizi wake aliyekuwa hapo mbele hatua chache, Hivyo siyo kweli kuwa alitumia glasi aliyotumia mwenyeji wake, Angalia hata namna mh Rais wetu mpendwa alivyoipokea kwa uharaka na kuinywa Ile aliyopewa na msaidizi wake, muwe mnachangia baada ya kuwa na uhakika wa kile mnachokiona siyo unasoma maoni ya watu na wewe unachangia bila kuelewa kitu
 
Sa mbona povu linakutoka?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…