Lucas Mwashambwa
JF-Expert Member
- Jul 28, 2022
- 28,722
- 20,610
Siyo kila mtu aliyefumbua macho anaonaWewe ni mlongo mlongo wa kutupwa kabisa unafikiri sisi hatuoni?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Siyo kila mtu aliyefumbua macho anaonaWewe ni mlongo mlongo wa kutupwa kabisa unafikiri sisi hatuoni?
Itakuwa umekurupuka bila kujuwa kinachobadilika haapa, hapa tunachosena Ni kuwa haikutumika glasi moja paleWewe chawa huna hoja hakukuwa na sababu ya msingi yeyote ile kunywesha juice Rais wa msumbiji halafu nayeye akanywa palepale halafu anawambia watu wajilinde na Ebola na covid! Kulikuwa na tishio gani dhidi yake?
POOR MINDS,POOR BRAINS,KUMNYWESHA MTU KITU NI ISHARA NJEMA NA UDUGU WA KWELI BAINA YA TANZANIA NA MOZAMBIQUE,HAKIKA MSWAHILI NI MSWAHILI TU.This is bad, I repeat, THIS IS WORSE.
Kuna kitu hakiko sawa mahali, kuna kitu kiko VERY WRONG..
Hii ni mistake atakayoijutia maisha yake yote.
Umeandika kwa akili zako timamu au double kick??Kweli watu mmeishiwa hoja za kujadiri hapa, kwanza mjuwe mh Rais wetu mpendwa mama Samia suluhu Hassani kaonyesha yeye Ni Zaid ya Rais, kaonyesha yeye Ni komandoo na jasusi aliyekamilika, Kaonyesha yeye Ni TISS iliiyoiva kisawasawa, Ndio maana hapo unaona kamnywesha huyo mwenyeji wake lakini yeye kamkwepa kikomandoo, Hapo kawapiga chenga ya kijasusi kubwa Sana, Kawapiga mueleka wa kikomandoo na kuwaacha wakiwa chini
Kazi iendeleee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wakugusa maisha ya watanzania wanyonge
Bujibuji aisee, unapiga watu kwa kitu kizito Kichwani!Kunguru wa Zanzibar hawajawahi kufugika
Kweli? 🙄Alienda kubadilisha glass akapewa nyingine ndo akanywa .
Nyoso 🙄Kwani festi ledi wa Nyoso hajarusha makonde?
Jibu hojaUmeandika kwa akili zako timamu au double kick??
Juma Nyoso 🙄Jibu hoja
Tuliza mzuka mkuu, punguza nongwa za kitoto. Ni mama wa miaka 62 licha ya kuwa mke wa mtu.Salaam
Kitendo cha Kumnywesha juisi Mwanaume kwa glasi anayotumia na yeye akatumia hapo hapo mwanaume alipotoa Mdomo, imetufedhehesha sana Sisi Waisilam na Jamii ya Afrika Mashariki
Haya angeyafanya nje ya Camera. Mahaba gani haya jamani?
Kumbuka rais wetu ni Mke wa Mtu.
View attachment 2365501
Kiprotocal hii imekaaje?
View attachment 2365516
Najiuliza, Baba yetu Hafidh Ameir Hafidh amemfanyia baya gani rais wetu hadi alipize kwa kumuumiza kiasi hiki?
View attachment 2365540
Rais wa Tanzania Samia Suluhu Hassan akiwa na rais wa Msumbiji Filipe Nyusi
View attachment 2365567
Mara mia Rajab Abdul Kahali aka Harmonize, kapeleka ujumbe unaoeleweka.
Mila na desturi zenu ndio zipi? Katika nchi yenye makabila zaidi ya 120, dini za asili na za kuletwa. Niambie sasa ni mila n dini ipi inayo kataza mwanamke kumnywesha mwanaume asie mume wake kinywaji.Katuaibisha! Yeye siyo mwanamke wa kawaida bali ni Rais wa nchi anapaswa kulinda mila na desturi zetu!