Rais Samia katuaibisha nje ya Nchi tena. Hizi si Mila za Mtanzania

Rais Samia katuaibisha nje ya Nchi tena. Hizi si Mila za Mtanzania

Wewe chawa huna hoja hakukuwa na sababu ya msingi yeyote ile kunywesha juice Rais wa msumbiji halafu nayeye akanywa palepale halafu anawambia watu wajilinde na Ebola na covid! Kulikuwa na tishio gani dhidi yake?
Itakuwa umekurupuka bila kujuwa kinachobadilika haapa, hapa tunachosena Ni kuwa haikutumika glasi moja pale
 
Kweli watu mmeishiwa hoja za kujadiri hapa, kwanza mjuwe mh Rais wetu mpendwa mama Samia suluhu Hassani kaonyesha yeye Ni Zaid ya Rais, kaonyesha yeye Ni komandoo na jasusi aliyekamilika, Kaonyesha yeye Ni TISS iliiyoiva kisawasawa, Ndio maana hapo unaona kamnywesha huyo mwenyeji wake lakini yeye kamkwepa kikomandoo, Hapo kawapiga chenga ya kijasusi kubwa Sana, Kawapiga mueleka wa kikomandoo na kuwaacha wakiwa chini

Kazi iendeleee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wakugusa maisha ya watanzania wanyonge
Umeandika kwa akili zako timamu au double kick??
 
Kwa kweli nilipoiona ile video akili yangu ilizubaa fasta. Nikawa namfikilia mwenye mke sijui anajisikiaje akiona hivi!!!? Kuna jambo halipo sawa wakuu[emoji24][emoji24]
 
Salaam

Kitendo cha Kumnywesha juisi Mwanaume kwa glasi anayotumia na yeye akatumia hapo hapo mwanaume alipotoa Mdomo, imetufedhehesha sana Sisi Waisilam na Jamii ya Afrika Mashariki

Haya angeyafanya nje ya Camera. Mahaba gani haya jamani?

Kumbuka rais wetu ni Mke wa Mtu.
View attachment 2365501
Kiprotocal hii imekaaje?
View attachment 2365516
Najiuliza, Baba yetu Hafidh Ameir Hafidh amemfanyia baya gani rais wetu hadi alipize kwa kumuumiza kiasi hiki?
View attachment 2365540
Rais wa Tanzania Samia Suluhu Hassan akiwa na rais wa Msumbiji Filipe Nyusi
View attachment 2365567
Mara mia Rajab Abdul Kahali aka Harmonize, kapeleka ujumbe unaoeleweka.
Tuliza mzuka mkuu, punguza nongwa za kitoto. Ni mama wa miaka 62 licha ya kuwa mke wa mtu.
 
Baba yetu uliye mbinguni usitutie kwenye vishawishi utupe mkate wetu utuokoe maovuni. Praise the lord. We rebuke every unfamiliar spirit
 
Katuaibisha! Yeye siyo mwanamke wa kawaida bali ni Rais wa nchi anapaswa kulinda mila na desturi zetu!
Mila na desturi zenu ndio zipi? Katika nchi yenye makabila zaidi ya 120, dini za asili na za kuletwa. Niambie sasa ni mila n dini ipi inayo kataza mwanamke kumnywesha mwanaume asie mume wake kinywaji.

Amandla...
 
😑😑😑hichi kitendo kimeniumiza sana kama mtoto huwezi fanya vile mbele ya camera....hii nchi sijui inaenda wapi
 
.
 

Attachments

  • 20220923_190533.jpg
    20220923_190533.jpg
    48.7 KB · Views: 1
Back
Top Bottom