Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
CCM hakuna wanaume.Ukiwa kwenye heat lazima uitaje Chadema huko CCM hakuna wanaume?
Sent from my Nokia 5.1 Plus using JamiiForums mobile app
Ushawahi kusimangwa??Nikiwaambia hamna mtu pale mnabisha
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji23][emoji23][emoji23] nonononoKama vipi! Vijana wasio na kazi wauzwe nje ya nchi kama mbolea!
Mkuu walioezoea kutumwa hayo yote huona ni shida, uvivu mwingi, bila mjeledi punda haendi,ndio maana wazungu wakageuza waafrka watumwaSio aibu tu, Bali ni fedheha.
Yaani kwa fursa zilizopo Tanzania kijana unakosaje kazi.
Umeshindwa kulima,
Umeshindwa kufuga,
Umeshindwa hata kutengeneza funza uwauizie wafugaji kuku.
Umeshindwa kutengengeneza hydroponic folder uwauzie wafugaji.
Umeshindwa hata kutafuta pori ukapande majani ya ng'ombe(hayahitaji mbolea Wala kumwagilia) upige hela
Ukiziorodhesha zinaweza zikafika laki Saba
Ni fumbo.Ukiwa masikini wa fikra ni ngumu kuona fursa
mke wa ndugai unaiwaza chadema kuliko hata unavyomuwaza mume wako.Bavicha watashangilia sana! Maana kauli hiyo inamhusu Ndugai
Mlioko makazini mna maneno fulani ya kipuuuziSio aibu tu, Bali ni fedheha.
Yaani kwa fursa zilizopo Tanzania kijana unakosaje kazi.
Umeshindwa kulima,
Umeshindwa kufuga,
Umeshindwa hata kutengeneza funza uwauizie wafugaji kuku.
Umeshindwa kutengengeneza hydroponic folder uwauzie wafugaji.
Umeshindwa hata kutafuta pori ukapande majani ya ng'ombe(hayahitaji mbolea Wala kumwagilia) upige hela
Ukiziorodhesha zinaweza zikafika laki Saba
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji23][emoji23][emoji23] daaahhhHAHAH aisee Rais yeye ndio anatakiwa kuona aibu kuongoza taifa la vijana wasio na ajira wanaokadiriwa kuwa 70%.
Kweli madaraka matamu leo hii samia anawashangaa vijana wasio na ajira?
Hivi hao vijana watajiajiri vipi ikiwa bidhaa ambazo wangenunua na kuuza zimepandishwa kodi na bei juu?
Vijana wataajiriwa na nani ikiwa makampuni yanayofanya baishara huduma na bidhaa kodi ziko juu?
Kimsingi Rais afanye jambo moja kwenye ile dola billion elfu sita kila kijana apewe million moja.
Ndo kwanza Jan 7.Huu mwaka bora uishe tu:
Pia humuona kama mzembe, mvivu na asiyependa kujishughulisha.Aliyeshiba anamuona mwenye njaa mjinga.....
Katiba inaajiri ?Ati.....wait....
Ajira zimefanyaje vile? Uwiiiiiiii
Hizi dharau au kebehi?
Katiba Mpya ni jawabu la mambo yote
Too early too give up!....bado mapema sana boss....endelea kupambana.Huu mwaka bora uishe tu:
Manka siyo kila mtu ni mke kama ulivyo wewe!mke wa ndugai unaiwaza chadema kuliko hata unavyomuwaza mume wako.