Rais Samia: Kazi zipo nyingi Tanzania, ni vijana kuchakarika na kuona fursa

Halafu Ndugai bado ni Mbunge!!! Alichojiuzulu ni Uspika tu!!!! Sijui kwa nini watu hawaelewi
 
Kama vipi! Vijana wasio na kazi wauzwe nje ya nchi kama mbolea!
😂😂😂😂😂😂😂😂🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣😂😂😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😊😊😊😊😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😅😅 mtt qouma kweli ww nimecheka sana kmmmmk dah 😂😂😂😂😂😂😂🤣🤣🤣🤣😂😂🤣😂😂😂😅😅😅😅😅😅😅😅🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
 
Hayo ameyasema leo huko Zanzibar.

Maoni yangu;

Hiyo ni kauli ya kejeli kwa vijana hasa wasio na ajira.
Mama Yuko sahihi kabisa.. yani Mimi siamini kabisa kama MTU unaweza kosa kazi ya kukuingizia chochote ukiwa sio kilema wala nin.. wengi tumejifunga kichwani tuu Ila kazi zipo

Sent from my M2006C3MG using JamiiForums mobile app
 

Nauza mavi ya familia,yapo kwny karo limejaa hapa home.Njoo uyanunue motivational speaker.
 
Kama kazi ziko nyngi, mbona yeye anachachawa wenzake wanapowaza urais 2025? Si na yeye ajiande kuchacharika kutafuta ajira?
 
Hakuna namnaa, ndio solution ya kukabiliana na hili tatizo!
 
Bila ccm tanzania tusingeweza kubakia kwenye umasikini huu tulio nao
Masharti ya bagamoyo mkitaka UHURU mtapata lakini lazima muwe masikini.
So bila kumuondoa amaleki ngumu kutoka,but 2025 amaleki anafungasha kwao.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…