OKW BOBAN SUNZU
Platinum Member
- Aug 24, 2011
- 53,868
- 121,001
Hana tofauti na Dr. Msukuma KashukuView attachment 2046608
Msikilize hapa. She is purely not fluent in speaking English. Inatia uchungu kuona Waziri wa Elimu anaongea English ya hovyo namna hii
Hana tofauti na Dr. Msukuma Kashuku
Kungekuwa na utaratibu mtu akichaguliwa kuwa tutorial assistant basi apelekwe nje angalau kwa miaka miwili aka-brush kimalkia chake!Hawa ndio wanadhalilisha mtu Kuwa na Ph.D; kwasababu hawaendani na heshima ya kisomo cha kiwango hicho!!! Hii ndio hasara ya kusoma degree ya kwanza mpaka kutunukiwa Ph.D Chuo kimoja[ UDSM}!!!! Wengi wa namna hii wanapata taabu sana kwa kukosa exposure!!!
Uyu si ni Profesa au? Thesis ilikuaje?View attachment 2046608
Msikilize hapa. She is purely not fluent in speaking English. Inatia uchungu kuona Waziri wa Elimu anaongea English ya hovyo namna hii
Nimecheka nusu ya kufa khaaa!!! [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Huyu mother tongue imemuathiri hawezi kubadilika hata akakae USA bado hawezi kubadilika. Kama wasukuma wa mwanza wanaandika "Baba" ila wanasoma "Bhabha".