Rais Samia, kiingereza cha Waziri wa Elimu kinatia doa Wizara ya Elimu

Rais Samia, kiingereza cha Waziri wa Elimu kinatia doa Wizara ya Elimu

Ona hapa Hayati Magufuli enzi za uhai wake nae alikua ni miongoni mwa PHd zilizokua mahututi mbele ya english....

Sikiliza utumbo huu:

"We have approximately thirty ferries and the one which is working is more than twenty nine..." hesabu hiyo umeielewa?

Angalia kuanzia dakika 1:20 link

Ofcoz Pipo yuz to dai ini ze ini ze ini zerek😂...

We lost alot of life thus why Bifoo i derivaring my spech we have to show appreciation to our hero...
 
Hawa ndio wanadhalilisha mtu Kuwa na Ph.D; kwasababu hawaendani na heshima ya kisomo cha kiwango hicho!!! Hii ndio hasara ya kusoma degree ya kwanza mpaka kutunukiwa Ph.D Chuo kimoja[ UDSM}!!!! Wengi wa namna hii wanapata taabu sana kwa kukosa exposure!!!
Kwa kiwango cha elimu aliyonayo yaani Profesa na english anayoiongea ni Mbingu na Ardhi.
 
View attachment 2046608

Msikilize hapa. She is purely not fluent in speaking English. Inatia uchungu kuona Waziri wa Elimu anaongea English ya hovyo namna hii. Najiuliza Jopo la Maprofesa waliwezaje kumuelewa wakati anawasilisha tafiti zake?
Kwani kingeleza ndio kipimo cha weledi au taaluma kichwani?
Unaweza ukajua kingeleza kizuri kabisa lakini madini kichwani hamna. Na unaweza usijue hicho kingeleza chenu lakini kichwani madini matupu. Kingeleza ni lugha tu kama kishwahili nk, nk na sio kipimo cha weledi wa mtu.
 
siku alipokuja ramaphosa ndio siku ya kwanza kujua huyu mama ni popoma

Aliteuliwa na JIWE baada ya kutoshwa na mkwere!!! Kama anavyofanya Samia; waliotoswa na Jiwe wakina MAFURU yeye anawarudisha na bado anasema KAZI IENDELEE!!! Kwa mtindo huu kazi haiwezi kuendelea itarudi nyuma!!!!
 
From form 1 to form 6 alikua anasoma mathematics tu?Kazini huko alikua anaongelea mahesabu tu?

From form 1 to form 6 alikua anasoma mathematics tu?Kazini huko alikua anaongelea mahesabu tu?
1.Hapana,alikuwa anasoma masomo yote yaliyokuwa yanatumia Kiingereza kama lugha ya kufundishia isipokuwa Kiswahili (form 1-4).
2.Kazini kama Mwalimu/Lecturer alitumia Kiingereza chenye lugha za kimahesabu zaidi kuliko mazungumzo ya utetezi/majadiliano yenye kariba ya ujamii, usiasa au diplomasia.

Fanya utafiti ndogo tu kwenye vyuo vyetu karibu vyote nchini utagundua hata lugha ya wanayotumia wanajumuiya ya vyuo vyetu katika kuchangamana tofauti na kufundishia au kufundisha ni Kiswahili.
Na sababu ni moja kuwa Lugha ya Taifa ni Kiswahili, hivyo walio wengi wanapokuwa wanazungumza Kiingereza wanakuwa ni wenye kufanya Tafsiri ya neno /maneno kichwani ndipo utamka.

Hivyo Prof. yuko sawa kabisa, wapo ambao hawawezi kutamka with confidence maneno /matamshi ingawa ni mabingwa Linguistic.

Kama ndivyo tunataka tusije lalamika siku zijazo eti watoto wetu hawapati kazi kwa kuwa hawajui Kiingereza lakini wanajua kufanya kazi, kazi wanapeana wenyewe kwa kuwa watoto wao wamewasomesha nje ya nchi /ndani ya nchi kwenye shule za pesa nyingi
 
1.Hapana,alikuwa anasoma masomo yote yaliyokuwa yanatumia Kiingereza kama lugha ya kufundishia isipokuwa Kiswahili (form 1-4).
2.Kazini kama Mwalimu/Lecturer alitumia Kiingereza chenye lugha za kimahesabu zaidi kuliko mazungumzo ya utetezi/majadiliano yenye kariba ya ujamii, usiasa au diplomasia.

Fanya utafiti ndogo tu kwenye vyuo vyetu karibu vyote nchini utagundua hata lugha ya wanayotumia wanajumuiya ya vyuo vyetu katika kuchangamana tofauti na kufundishia au kufundisha ni Kiswahili.
Na sababu ni moja kuwa Lugha ya Taifa ni Kiswahili, hivyo walio wengi wanapokuwa wanazungumza Kiingereza wanakuwa ni wenye kufanya Tafsiri ya neno /maneno kichwani ndipo utamka.

Hivyo Prof. yuko sawa kabisa, wapo ambao hawawezi kutamka with confidence maneno /matamshi ingawa ni mabingwa wa Linguistic.
Prof. Mwandosya unamfahamu?Unajua alisomea kitu gani?Ulishawahi kukisikia kiingereza chake akiongea?
 
Huoni wewe kama ndio mpumbavu!?

Huu mfumo wa elimu kauleta ndalichako? Si ni huu upo tangu enzi za kina kikwete?

Hivi waziri si anatekeleza tu yaliyoko kwenye mipango na mikakati ya selikali?
huyo jamaa yupo sahihi unambishia tu,Ndalichako hajuagi mpaka leo wizara yake ni ya elimu sayansi na teknolojia, yeye hudhani ni wizara ya elimu tu na bado hata hapo kwenye Elimu ameshindwa kufanya maboresho elimu yetu ni taka taka
ndio maana kangi lugola alichukia maafisa wa jeshi la zima moto na uokoaji kujikita kwenye kuzima moto na kusahau uokoaji pia ni jukumu lao,wanapaswa kujitambulisha hivo pia
 
Prof. Mwandosya unamfahamu?Unajua alisomea kitu gani?Ulishawahi kukisikia kiingereza chake akiongea?
Exposure na International interaction kwenye mavyuo makubwa na wadau mbalimbali wa mawasiliano.
By way hoja ni nini?
Kuongea kiingereza ni tabia/mazoea ya kupenda kuongea,hakuna logic ya kujua Kiingereza na uwezo wa elimu.
Labda cha kujifunza hapa ni kujizoeza kuzungumza Kiingereza ili usomi wetu usitiliwe shaka na wenye elimu ndogo lakini wanajua kiingereza.
 
Hawa ndio wanadhalilisha mtu Kuwa na Ph.D; kwasababu hawaendani na heshima ya kisomo cha kiwango hicho!!! Hii ndio hasara ya kusoma degree ya kwanza mpaka kutunukiwa Ph.D Chuo kimoja[ UDSM}!!!! Wengi wa namna hii wanapata taabu sana kwa kukosa exposure!!!
Amesoma PhD yake chuo kikuu cha Alberta nchini Canada (1993-1997).
 
Mimi nikiri kabisa kuwa hakuna waziri ninaemchukia kama huyu mama. Sina chuki personal ila nauchukia mfumo wa elimu Tanzania na naona kabisa kikwazo cha kwanza ni huyu waziri.

Yani huyu ni zero brain kabisa ilifaa awe anavua migebuka ziwani huko.
Tatizo kubwa la huyu mama hana ubunifu na pia hayuko aggressive hata kutafuta watu makini wa kumsaidia, aige kwa Prof Mwenzake yule Waziri wa Kilimo, yaani jamaa ni sharp, aggressive and very smart.
 
Back
Top Bottom