Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni kweli lakini anaweza kuboresha grammar yake! Grammar ndiyo tatizo lake kuu sijui Baraza la maprofesa waliwezaje kumuelewa na kuelewa paper zake!Huyu mother tongue imemuathiri hawezi kubadilika hata akakae USA bado hawezi kubadilika. Kama wasukuma wa mwanza wanaandika "Baba" ila wanasoma "Bhabha".
Plus rushwa ya ngono!Phd watu wananunua machapisho wala msiogope kuona mtu ana phd siku hizi....kuna mama mmoja nilikuwa nafanya nae kazi huko katavi yeye aliniambia masters yake aliinunua million 11....
Huoni wewe kama ndio mpumbavu!?Mimi nikiri kabisa kuwa hakuna waziri ninaemchukia kama huyu mama. Sina chuki personal ila nauchukia mfumo wa elimu Tanzania na naona kabisa kikwazo cha kwanza ni huyu waziri.
Yani huyu ni zero brain kabisa ilifaa awe anavua migebuka ziwani huko.
Kwanj Ndalichako amekuwa waziri wa elinu kwa muda gani? Tuanzie hapo kwanza.Huoni wewe kama ndio mpumbavu!?
Huu mfumo wa elimu kauleta ndalichako? Si ni huu upo tangu enzi za kina kikwete?
Hivi waziri si anatekeleza tu yaliyoko kwenye mipango na mikakati ya selikali?
We mjane acha hasira! Kulikua na ulazima gani kutukana?Huoni wewe kama ndio mpumbavu!?
Huu mfumo wa elimu kauleta ndalichako? Si ni huu upo tangu enzi za kina kikwete?
Hivi waziri si anatekeleza tu yaliyoko kwenye mipango na mikakati ya selikali?
Phd watu wananunua machapisho wala msiogope kuona mtu ana phd siku hizi....kuna mama mmoja nilikuwa nafanya nae kazi huko katavi yeye aliniambia masters yake aliinunua million 11....
kwa hiyo Joyce anajifunza kizungu ambacho amekitumia toka sekondari? akili zingine banaMtoa mada embu jaribu kumsikiliza Mzungu aliyejifunza kiswahili then msikilize, ukikuta anazungumza kwa ufasaha ndio uje uhitimishe kuwa lugha ndio kipimo cha uelewa wa mtu. Lugha ambayo sio mother tongue huwa inasumbua wote.
Mimi naonaga dishi kimtimdo Lina changamotoWaziri ambae sijawahi kumuelewa kabisa
Amesemaje mkuu?Anaeleweka vizuri tu
Hivi interview gani maza ameshawahi kuongea kuhojiww mwanzo mwisho?Sijawahi kuiona,naonaga anasoma tu kwny karatasi.Jiwe ngeli kwake ilikua baba mkwe.Kingereza Cha usdm ina mashaka Sana wengi nawajuwa vijan fln wakiongeaa unaweza Saba makofi yaani hata jiwe c alipita pale nakusoma London lkn wapi ..mam Samia Hana elimu kubwa lkn kingereza chake kimenyooka mnoo unlike kina Joyce na kina jiwe duh yaani elimu wameungaa unga mnoo
From form 1 to form 6 alikua anasoma mathematics tu?Kazini huko alikua anaongelea mahesabu tu?Kiko sawa kabisa alisomea Mathematics na sio Linguistic.
Hiyo ni Mathematics English grammatical.