Rais Samia, kiingereza cha Waziri wa Elimu kinatia doa Wizara ya Elimu

Rais Samia, kiingereza cha Waziri wa Elimu kinatia doa Wizara ya Elimu

Mimi nikiri kabisa kuwa hakuna waziri ninaemchukia kama huyu mama. Sina chuki personal ila nauchukia mfumo wa elimu Tanzania na naona kabisa kikwazo cha kwanza ni huyu waziri.

Yani huyu ni zero brain kabisa ilifaa awe anavua migebuka ziwani huko.
Huoni wewe kama ndio mpumbavu!?

Huu mfumo wa elimu kauleta ndalichako? Si ni huu upo tangu enzi za kina kikwete?

Hivi waziri si anatekeleza tu yaliyoko kwenye mipango na mikakati ya selikali?
 
PhD yake na fluency kwenye English havina uhusiano kabisa, huenda ikawa English kwake ilikua option tu kwa ajili ya Masomo

Acheni chuki, tatizo mliaminishwa ukijua kuongea kingereza ndio kuwa smart kichwani

Sema Prof akitoka hapo lazima akameze panadol🤣
 
Mtoa mada embu jaribu kumsikiliza Mzungu aliyejifunza kiswahili then msikilize, ukikuta anazungumza kwa ufasaha ndio uje uhitimishe kuwa lugha ndio kipimo cha uelewa wa mtu. Lugha ambayo sio mother tongue huwa inasumbua wote.
kwa hiyo Joyce anajifunza kizungu ambacho amekitumia toka sekondari? akili zingine bana
 
Kingereza Cha usdm ina mashaka Sana wengi nawajuwa vijan fln wakiongeaa unaweza Saba makofi yaani hata jiwe c alipita pale nakusoma London lkn wapi ..mam Samia Hana elimu kubwa lkn kingereza chake kimenyooka mnoo unlike kina Joyce na kina jiwe duh yaani elimu wameungaa unga mnoo
 
Kingereza Cha usdm ina mashaka Sana wengi nawajuwa vijan fln wakiongeaa unaweza Saba makofi yaani hata jiwe c alipita pale nakusoma London lkn wapi ..mam Samia Hana elimu kubwa lkn kingereza chake kimenyooka mnoo unlike kina Joyce na kina jiwe duh yaani elimu wameungaa unga mnoo
Hivi interview gani maza ameshawahi kuongea kuhojiww mwanzo mwisho?Sijawahi kuiona,naonaga anasoma tu kwny karatasi.Jiwe ngeli kwake ilikua baba mkwe.
 
Back
Top Bottom