Rais Samia, kiingereza cha Waziri wa Elimu kinatia doa Wizara ya Elimu

Rais Samia, kiingereza cha Waziri wa Elimu kinatia doa Wizara ya Elimu

Huyu mother ni uvivu wake tu wakujifunza lugha. Alipaswa kujiongeza kwenda hata kwa Ras Simba akapige msasi wa ngeli wa fasta fasta ili kufuta aibu kwa taifa.

Kwa Tz kuongea kiingereza kwa ufasaha ndio kielelezo cha kuelimika.
 
Kwenye uprofesa wa Tanzania kuna Siri hatuijui. Jana Huyu mheshimiwa alipigiwa simu na rais akiwa kwenye kikao na wakuu wa shule Mungu wangu mic ilikoswakoswa mara kadhaa kupigwa mabusu na Huyu Bingwa mi ni kasema kuna Siri kwa hizi Elimu hatuijui
 
Mh rais samia hebu tengua uwaziri wa ndalichako anatia doa wizara ya elimu hivi vetting ya viongozi wa kitaifa huwa inaangalia vigezo vipi? Hivi ndalichako kama waziri anaenda shule kama za St marry pale mbeya ataongea nini kwa kimombo asishangaze wanafunzi? Mh rais uteuzi wako na mtangulizi wako kwa ndalichako unatia ukakasi. Ndalichako akiongea mbele ya shule za english medium watacheka mpaka wafe.
Kizungu kibovu hatari,
Najua Kuna watu watasema kizungu ni lugha tu,lakini kwa bongo,kama mtu anashindwa kuwa na command ya lugha kwa miaka zaidi ya 20 ya kusoma,hataweza vipi kuelewa taaluma yake vzr na kuwa na weredi unaostahili!
Mama anatia aibu hatari.
Mkapa hakuwa DR/PhD,lakini alikuwa na ngeli ilionyooka hatari.alisomea Makerere Uganda,
Kusoma miaka 20!harafu lugha inakushinda!inatia mashaka sana,maana kwa miaka yote hiyo umetumia lugha hiyo kwa kufanyia kazi,how come ushindwe kuwa na command ya lugha?jibu ni moja,akili hakuna uliishi kwa madesa tu
 
Mh rais samia hebu tengua uwaziri wa ndalichako anatia doa wizara ya elimu hivi vetting ya viongozi wa kitaifa huwa inaangalia vigezo vipi? Hivi ndalichako kama waziri anaenda shule kama za St marry pale mbeya ataongea nini kwa kimombo asishangaze wanafunzi? Mh rais uteuzi wako na mtangulizi wako kwa ndalichako unatia ukakasi. Ndalichako akiongea mbele ya shule za english medium watacheka mpaka wafe.
Hivi nchi hii nani katuloga na hizi mindset za kijinga kiasi hiki? Kuwa kingereza kizuri ndo kipimo Cha elimu bora ni kweli??!

Hivi mtu aliyesoma English hapo kwa Ras Simba utamweka kwenye level moja na Ndalichako in terms of intellectual content hata Kama anatiririka English vizuri kuliko Ndalichako?! Mfano Harmonize umlinganishe na Ndalichako.

Mnatakiwa muelewe kitu kimoja kuwa Elimu ni kiwango cha maarifa alichonacho mtu kichwani na siyo uwezo wa kumudu Lugha fulani kwa ufasaha. Lugha inatusaidia kuwasiliana tu, na kiwango cha English ya Ndalichako kinamtosha kabisa kuweza kutumia maarifa yake katika kazi zake.

Hivi hushangai huyo unayemsema amekuwa katibu mtendaji wa baraza la mitihani kwa muda mrefu tu, bila shaka hata cheti chako kina sahihi yake, amefundisha Udsm kwa miaka kadhaa, unafikiri katika kutekeleza majukumu hayo hakutumia English?!!

Sent from my itel W6004 using JamiiForums mobile app
 
Alikuja akasema
Baba wa Taifa alisema Kiingereza ni lugha ya mabeberu, tujivunie Kiswahili. Matatizo yalianzia hapo.
Alikuja akasema pia,Kiingereza ni "kiswahili"Cha Dunia.
Lugha ni kujifunza tu,nimesoma na watu shule za st kayumba,Tena miaka hiyo kabla ya Facebook,Wala smart phone,shule hazina umeme,lakini vijana walitilia mkazo sana vipindi vya debate,kwa kuongea zile blocken za form one,leo hii ukikutana nao,wengine nicwanasheria,wahandisi wanapiga ngeli hatari!!utafikiri ni vijana kutoka makelele university au Nairobi.
Wengi wa maprofesa wasiojua kizungu,walidesa tu
 
Mh rais samia hebu tengua uwaziri wa ndalichako anatia doa wizara ya elimu hivi vetting ya viongozi wa kitaifa huwa inaangalia vigezo vipi? Hivi ndalichako kama waziri anaenda shule kama za St marry pale mbeya ataongea nini kwa kimombo asishangaze wanafunzi? Mh rais uteuzi wako na mtangulizi wako kwa ndalichako unatia ukakasi. Ndalichako akiongea mbele ya shule za english medium watacheka mpaka wafe.
Hata kama anaongea Broken lakini kwani haeleweki??? Kazi zake kitaaluma hazifanyiki???

Ondoeni Majungu. Wewe hapo upo Fluent 100%???

Je wewe ni mkamilifu 100% ktk hivyo nafasi uliyopo????

Bro ukitaka ubarikiwe achana na kuwatakia wenzako mabaya.
 
Hivi nchi hii nani katuloga na hizi mindset za kijinga kiasi hiki? Kuwa kingereza kizuri ndo kipimo Cha elimu bora ni kweli??!

Hivi mtu aliyesoma English hapo kwa Ras Simba utamweka kwenye level moja na Ndalichako in terms of intellectual content hata Kama anatiririka English vizuri kuliko Ndalichako?! Mfano Harmonize umlinganishe na Ndalichako.

Mnatakiwa muelewe kitu kimoja kuwa Elimu ni kiwango cha maarifa alichonacho mtu kichwani na siyo uwezo wa kumudu Lugha fulani kwa ufasaha. Lugha inatusaidia kuwasiliana tu, na kiwango cha English ya Ndalichako kinamtosha kabisa kuweza kutumia maarifa yake katika kazi zake.

Hivi hushangai huyo unayemsema amekuwa katibu mtendaji wa baraza la mitihani kwa muda mrefu tu, bila shaka hata cheti chako kina sahihi yake, amefundisha Udsm kwa miaka kadhaa, unafikiri katika kutekeleza majukumu hayo hakutumia English?!!

Sent from my itel W6004 using JamiiForums mobile app
Acha kuropoka mkuu.

Elimu yetu kuanzia form one hadi huko PhD tunatumia lugha ya Kiingereza.
Sasa mtu anakuaje msomi kwa kusoma more than 20 years kwa lugha hiyo hiyo then ashindwe kuimaster?

Hapo ndiyo wajumbe wanasema alikuwa anakariri tu badala ya kujifunza.

Kwa Tanzania,ukisoma sana then ukawa na poor English.Usomi wako unatia shaka!
 
Acha kuropoka mkuu.

Elimu yetu kuanzia form one hadi huko PhD tunatumia lugha ya Kiingereza.
Sasa mtu anakuaje msomi kwa kusoma more than 20 years kwa lugha hiyo hiyo then ashindwe kuimaster?

Hapo ndiyo wajumbe wanasema alikuwa anakariri tu badala ya kujifunza.

Kwa Tanzania,ukisoma sana then ukawa na poor English.Usomi wako unatia shaka!
Si sahihi.
 
Muacheni mama wa watu aendelee na majukumu yake.
Kwenye lugha hiyo we mwenyewe kinega tu hukiwezi.
Si wenye elimu ya mtaa tunakigonga tu mwanzo mwisho kuliko maprosoo wote.
 
Usahihi ni upi?


Mtu anasoma hadi PhD anashindwa na vitoto vya kindergarten??
Bro kaulize shule aliyosoma Waziri halafu linganisha na hiyo shule ya hao Kindergarten. Kiingereza ni kama lugha nyingine tu hata kama unajifunza darasani (ambayo kwa watu wengi ilikuwa ni sekondari kwa miaka minne). Lakini pia kuna watu wana vipaji vya kujifunza na kuongea lugha mbalimbali, wengine hawana. Hata kama wanafundishwa shuleni lakini wanashindwa. Kuwa na kiingereza kibaya, kusitufanye tumhukumu mtu kwamba hajui kitu.
 
Huyu mama alisifiwa sana humu wakati akiwa bodi wa Necta. Nilikuwa najiuliza kwa nini alikuwa anasifiwa vile wakati wizi wa mitihani ulikuwa umeshamiri katika kipindi chake pengine hata kuliko huko nyuma. Udanganyifu kwenye mitihani ya std 7 na form 4 ilikuwa ni kama utamaduni flani tulioukubali.Lakini mama alikuwa anaimbiwa mapambio mchana na usiku huyu.
 
Kiingereza kilikuja na mashua kutokea ukanda wa pwani sasa huyu mama alikuwa huko kigoma, mpaka kivuke mapori yote kutoka ukanda wa Pwani mpaka magharibi ya mbali ndio ameambulia hayo maneno machache msimlaumu🐒
 
Kuna mjinga mmoja aliniambia ELIMU ILIKUA ZAMANI sio sasa hivi... mwanafunzi mzuri wa darasa la tatu haongei hichi kingereza
 
Back
Top Bottom