EP MEDICS COSMETICS STORE
JF-Expert Member
- Oct 18, 2015
- 2,826
- 4,593
Mkuu huwa mnatafuta nafasi za uteuzi au, sio kwa mapambio na misifasifa izi kila uzi, mpaka inakuaa keroo.Hakika Rais Samia Ni kiongozi mwenye upendo na huruma Sana kwetu watanzania, Ni kiongozi anayethamini mchango wa kila mtanzania, Ni kiongozi anayemjali kila mtanzania, Ni kiongozi mwenye moyo wa uongozi na Nikiongozi anayetambua juhudi za kila mtanzania, Ni mfariji wetu wakati wote na Tumaini letu watanzania wakati wa shida zinazohitaji kiongozi kusimama mbele yetu kutuongoza, Pole sana Rais wetu na Hongera kwa moyo wako wa uzalendo kwa nchi yetu na Taifa letu
Wewe si ndiyo uliuliza swali "Hizi akili huwa mnatoa wapi" kwa Erythrocyte pale alipohoji kwa nini wavuvi waliosaidia kuokoa abiria hawakupewa nafasi kuongea kwenye tukio la kuaga wahanga wa ajali.Yule kijana jasiri Aliyesaidia Kuokoa abiria ajali ya ndege amepewa kazi kwenye Jeshi la Zimamoto.
Serikali imeagiza taarifa zake zichukuliwe na angizwe Zimamoto mara moja.
Huu ni ushindi mkubwa kwa serikali, hii itatoa motisha kwa wananchi kuweza kusaidia kwenye majanga mbalimbali
Wasikuchoshe mkuu wanalipwa haoMkuu huwa mnatafuta nafasi za uteuzi au, sio kwa mapambio na misifasifa izi kila uzi, mpaka inakuaa keroo.
Kumbe hiyo milango ya dharura ufunguliwa kwa nje pia! Sikuwahi kuona kwenye demonstration! Aliufunguaje?Kijana huyu ndio alizamia na kwenda kufungua mlango wa ndege na hatimaye abiria 24 wa Precision Air iliyozama kuokolewa
Airport authority sio serikali?Nyie watu wajinga mno, taarifa zilichelewa kufika kwa serikali, au ulitaka waote? Wavuvi ndio walikua karibu na ndio maana walikua wa kwanza kusaidia
Kuna uwezekano wa kwenda kuua kabisa uwezo wake! Hao wenye mafunzo na uzoefu hawajatokea, unafikiri nini kitampata huyo jamaa. Ni bora aendelee na uvuvi.Safi sana .Sasa akapate mafunzo na uzoefu alio nao kwenye maji. Huyu kijana bila yeye watu wote 43 wangeperish .
Ushindi Kwa wazembe wanaipwa hela za bure na kuacha kazi ya uokozi ikifanywa na wasio na ajira anautoa Nani? Bila aibu unasema ushindi Kwa serikali? Serikali ishinde Kwa kudandia ujasiri wa msamalia mwema? Akili kisoda hizi.Yule kijana jasiri Aliyesaidia Kuokoa abiria ajali ya ndege amepewa kazi kwenye Jeshi la Zimamoto.
Serikali imeagiza taarifa zake zichukuliwe na angizwe Zimamoto mara moja.
Huu ni ushindi mkubwa kwa serikali, hii itatoa motisha kwa wananchi kuweza kusaidia kwenye majanga mbalimbali
Sio kwamba fukuza ianzie pale juu kabisa!?Fukuza MAJALIWA,fukuza mbarawa,fukuza masauni,
Kwamba waajiriwa wa serikali Hakuna walichofanya zaidi ya kuiangalia ajali kama zoezi la majaribio.Vic at least sasa majibu ya maswali ya jana yanaanza kupatikana ikiwepo swali la ni vipi wale watu 26 walitoka ndani ya ndege
Mkuu huwa mnatafuta nafasi za uteuzi au, sio kwa mapambio na misifasifa izi kila uzi, mpaka inakuaa keroo.
Nampongeza Rais wangu kwa Jambo Hilo maana amefanya kitendo Cha kiungwana Sana kilichogusa hisia za watu wengi Sana ambao walitamani kusikia maneno hayo kutoka kwa Rais wetu mzalendoMkuu huwa mnatafuta nafasi za uteuzi au, sio kwa mapambio na misifasifa izi kila uzi, mpaka inakuaa keroo.
AiseeeHakika Rais Samia Ni kiongozi mwenye upendo na huruma Sana kwetu watanzania, Ni kiongozi anayethamini mchango wa kila mtanzania, Ni kiongozi anayemjali kila mtanzania, Ni kiongozi mwenye moyo wa uongozi na Nikiongozi anayetambua juhudi za kila mtanzania, Ni mfariji wetu wakati wote na Tumaini letu watanzania wakati wa shida zinazohitaji kiongozi kusimama mbele yetu kutuongoza, Pole sana Rais wetu na Hongera kwa moyo wako wa uzalendo kwa nchi yetu na Taifa letu
Mkuu, suala hapo ni Rais ameguswa na uhodari, ujasiri na uthubutu wa kijana iliyopelekea Watanzania wenzetu kunusilika kufa majini. Jambo hili limepelekea kuagiza apewe kazi yenye kuendana na kazi nzuri aliyoifanya.Hakika Rais Samia Ni kiongozi mwenye upendo na huruma Sana kwetu watanzania, Ni kiongozi anayethamini mchango wa kila mtanzania, Ni kiongozi anayemjali kila mtanzania, Ni kiongozi mwenye moyo wa uongozi na Nikiongozi anayetambua juhudi za kila mtanzania, Ni mfariji wetu wakati wote na Tumaini letu watanzania wakati wa shida zinazohitaji kiongozi kusimama mbele yetu kutuongoza, Pole sana Rais wetu na Hongera kwa moyo wako wa uzalendo kwa nchi yetu na Taifa letu
Ni Bukoba ipi unayoongelea ndege ianguke Taarifa ichelewe kufika serikalini? Hao wanaoonekana wamevaa suti huku wameshikiwa miavuli wasilowe tunawafahamu mmoja ni DAS Bukoba.Nyie watu wajinga mno, taarifa zilichelewa kufika kwa serikali, au ulitaka waote? Wavuvi ndio walikua karibu na ndio maana walikua wa kwanza kusaidia
Safi sana,maana tulishazoea kuona watu wajingjing tu wanafanya mamboYule kijana jasiri Aliyesaidia Kuokoa abiria ajali ya ndege amepewa kazi kwenye Jeshi la Zimamoto.
Serikali imeagiza taarifa zake zichukuliwe na angizwe Zimamoto mara moja.
Huu ni ushindi mkubwa kwa serikali, hii itatoa motisha kwa wananchi kuweza kusaidia kwenye majanga mbalimbali