Rais Samia: Kila mbuzi hula kwa urefu wa kamba yake, lakini mbona mnakula sana mnavimbiwa? Jipimieni!

Kuchomeana kwake ndo wanavimbiwa? Yaani wanachomeana mpaka wanavimbiwa kuchomeana?
 

Wewe ni manga wa kienyeji??

Mbona nashindwa kuelewa ulicho andika hapa.
 
Mama kasema Clip imetengenezwa na watu wasio mpenda..ova
 
Tumlaumu mbowe maana chadema ndio sabab ya yote haya..hahaha
 

Watu tumeshasema siku nyingi kwamba hakuna Rais hapo. Kuna kivuli cha Rais tu!
 
 
Ndugai kafurahi sana huko alipo Kwa hili Boko la huyu Samia
 
Utauvimbisha moyo wako upate CARDIOMEGALY bureeee......🤣🤣

Mama yuko poa sana.....

Unapandishwa jazba KIRAHISI kwa KUDOKOLEWA maneno ya UPOTOSHAJI ?!!!😳
Ameshindwa hata kufanya uchanganuzi kidogo...tuna shida ya uelewa
 
Nimwendo wa kujipimia...unakula vizuuuti miradi usivimbiwe!! Kavipi unachukya unawapa hata ndugu zako ili usile vyooote wewe ukavimbiwa!!!
 
Hivi unaweza kuvimbewa usitoe ushuzi kweli? Kwa nini tusiwambie wakanye kwanza kuliko kuwa acha waendelee kula
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…