Rais Samia: Kila mbuzi hula kwa urefu wa kamba yake, lakini mbona mnakula sana mnavimbiwa? Jipimieni!

Kwani ni wewe pekee ndo mjane? Una joto? Peleka hizo genye zako huko kuzimu kwa bwana wako azitulize.
 
Hapa Ccm, Chawa Na Wahuni Wamepiga Kimya Hawana Hoja Tena
 
Kwanini tusiige mazuri yake?
Nchi isipigwe sana jamani,mahitaji ni mengí,daaah!
Kwani ilikuwa haipigwi au taarifa zilikuwq hazitoki? Kwani 1.5 Trillioni ikitoka kwenye taarifa zipi kama si ya CAG? Alichukua hatua gani?
 
Sitawafundisha Kila kitu ila Inauma sana Kuona Nchi jirani ya Zanzibar wao wakiongezwa Posho na Kiasi cha Mshahara Huku mabwanyeye wa Tanzania Bara wakituacha kama Vile sisi ni Matahira na kutupa ahadi zisizokuwa na kichwa wala miguu..

Hoja ya wafanyakazi sio Kuona Show ya Dogo Janja wala Show ya Wadudu..
Ni kupata Maslahi yao Na kuheshimiwa..

Report ya The chanzo inaonyesha Wafanyakazi wanachangia zaidi ya 55% ya Kodi yote Nchini Kwanini wasiheshimiwe??


Mwaka jana Waliahidiwa kwamba ukifika mwaka Huu watapata Package Tamu na Yenye kueleweka ila hola


Kivideo cha kuongezwa package
Your browser is not able to display this video.


Mwaka Umefika na hakuna Package Nzuri ya Kupandisha Mishahara Kama tulivyoahidiwa..

TUNAUMIA TUMECHOMA..
SASA UKIPATA CHANCES YA KUTAFUNA PESA HAPO ULIPO ZITAFUNE MAANA HAWAJALI
 
Waambie wajaribu waone!
😅😅😅
Btw..
Mama kashawatia Moyo watumishi na Tusubiri mwezi wa Saba Kutakuwa kuna Faraja
 
Inasikitisha sana

Huku tunabaniwa na serikali,huku Jf inaturudisha zama za kuhesabu maneno ya kuandika
 
Rais akiwahutubia Mwaziri na makatibu wakuu,, amasema anajua kila mtu anakula na atakula kwa urefu wa kamba yake lakini kwa sasa waanzidi hadi awanagombana. Je, hii si ndiyo maana ya Rais kuruhusu upigaji ila uwe wa kiistarabu?
Bi mkubwa katoa boko 😂
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…