Machame Juu
JF-Expert Member
- Jul 25, 2013
- 1,514
- 3,363
Kwani ni wewe pekee ndo mjane? Una joto? Peleka hizo genye zako huko kuzimu kwa bwana wako azitulize.Sasa kwa nini watu wasipige kwa urefu wa kamba zao?
Ndege ilikuwa na mkataba wa bil 300+ walioshauriwa kupiga kwa urefu wa kamba zao wamepiga shilingi iliyozaa shilingi
Mkuu wa nchi anabaki kug'aka stupid stupid.
Taifa linaangamia na litaibiwa sana.
Umetawaza huko nyuma?Kwani ni wewe pekee ndo mjane? Una joto? Peleka hizo genye zako huko kuzimu kwa bwana wako azitulize.
Utakufa kihoro jiwe harudi tena. He was just mlugaluga fulani tu hivi na never hatakuja tena wa aina yake.Pumbavu makalio wewe.
Kwanini tusiige mazuri yake?Utakufa kwa kihoro dada. The man has gone in parabolic way and the mom is in.
Kwani ilikuwa haipigwi au taarifa zilikuwq hazitoki? Kwani 1.5 Trillioni ikitoka kwenye taarifa zipi kama si ya CAG? Alichukua hatua gani?Kwanini tusiige mazuri yake?
Nchi isipigwe sana jamani,mahitaji ni mengí,daaah!
Waambie wajaribu waone!Sitawafundisha Kila kitu ila Inauma sana Kuona Nchi jirani ya Zanzibar wao wakiongezwa Posho na Kiasi cha Mshahara Huku mabwanyeye wa Tanzania Bara wakituacha kama Vile sisi ni Matahira na kutupa ahadi zisizokuwa na kichwa wala miguu..
Hoja ya wafanyakazi sio Kuona Show ya Dogo Janja wala Show ya Wadudu..
Ni kupata Maslahi yao Na kuheshimiwa..
Report ya The chanzo inaonyesha Wafanyakazi wanachangia zaidi ya 55% ya Kodi yote Nchini Kwanini wasiheshimiwe??
View attachment 2978651
Mwaka jana Waliahidiwa kwamba ukifika mwaka Huu watapata Package Tamu na Yenye kueleweka ila hola
View attachment 2978653
Kivideo cha kuongezwa package
View attachment 2978654
Mwaka Umefika na hakuna Package Nzuri ya Kupandisha Mishahara Kama tulivyoahidiwa..
TUNAUMIA TUMECHOMA..
SASA UKIPATA CHANCES YA KUTAFUNA PESA HAPO ULIPO ZITAFUNE MAANA HAWAJALI
Bi mkubwa katoa boko 😂Rais akiwahutubia Mwaziri na makatibu wakuu,, amasema anajua kila mtu anakula na atakula kwa urefu wa kamba yake lakini kwa sasa waanzidi hadi awanagombana. Je, hii si ndiyo maana ya Rais kuruhusu upigaji ila uwe wa kiistarabu?