Rais Samia: Kuagiza sukari nje ya nchi ni upotevu wa pesa

Yaani utasema hawafanyi kazi ndani ya Serikali moja.

Ingekuwa kipindi kile cha Agano la Kale, utasema wanafanya kazi ya kujenga Mnala wa Babeli 🙌
 
Akili za viongozi wa TZ haieleweki kabisa.
Na apo sa100 analalamika badala ya kuonyesha amefanya solutions Gani kam kiongozi.

Ina maana sukari itaendelea kuwa tatizo tz , mpaka mageuzi yenye tija yafanyiwe kazi
Kama Mhe. Rais ataendelea kuwateua Mawaziri na Viongozi ambao ni Wafanyabiashara, tusitegemee Wananchi kupata unafuu wa maisha.

Tutegemee gharama za maisha kuendelea kupanda hadi Siku ya kuondoka Duniani
 
Mwombeni msamaha bwana Mpina.
 
Kama Mhe. Rais ataendelea kuwateua Mawaziri na Viongozi ambao ni Wafanyabiashara, tusitegemee Wananchi kupata unafuu wa maisha.

Tutegemee gharama za maisha kuendelea kupanda hadi Siku ya kuondoka Duniani
Kuteua mfanyabiashara siyo dhambi ikiwa ana sifa na uwezo wa kiuongozi.kikubwa ni mtu kuzingatia sheria ,kanuni na taratibu zinavyo hitaji ili kutoleta mgogoro wa kimaslahi katika maamuzi . Hata Trump ni mfanyabiashara Mkubwa lakini alichaguliwa na wa Marekani kuwa Rais na kuacha Biashara zake zikisimamiwa na kuendeshwa na Wengine
 
Agizo ni zuri ila umetangukliza uchawa zaidi
 
Akisema Mpina mnamuona sio mzalendo
 
Nimetanguliza vipi uchawa.
Uchawa huu hapa:
1.Hayo ni Maneno ambayo yametamkwa na Rais wetu mpendwa na Jemedari wetu kipenzi Mheshimiwa Daktari Mama Samia Suluhu Hasssan

2.Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Why all that,ni unafiki tu.
 
Nilichoandika ndio ukweli wenyewe tena ukweli halisia.
 
You think your telling us the differences from those statements but you end up telling us the similarities 😂😂😂😂! Tell us again the differences! Is Samia Concur with her Minister on importing Sugar?
 
Tusipoondoa mambumbumbu serikalini, huko tuendako ni kugumu sana kuliko hata Bangladesh ya sasa. Rais apate washauri wazuri. Nakumbuka alivyomtukana Prof. Mkenda kwa issue hii na kumtoa uwaziri wa Kilimo.
Mbumbumbu kubwa kuliko vyote na ambacho ni chanzo cha yote ni CCM.
Hao mambumbumbu wa serikalini wametengenezewa umbumbumbu na chama "twawala" ambacho ni CCM,hivyo kufanya mfumo wote kuwa mbumbumbu.
 
This can only happen in Tanzania.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…