Watu mna chuki na wasanii kama waliwalia vyenu,
Kwanini hamtaki wafaidi keki ya Taifa wajameni?
Chuki za nini sasa hivi mnajisahaulisha ya kwamba mama Kizimkazi ni bonge la actor kwenye Loyo tour?

Kwanini asiwape na fursa wengine kama nafasi ipo,
Ni wivu na Roho mbaya tu!
😁😁
 
Mtanikumbuka si kwa mabaya bali mazuri...."JIWE"
 


Raisi wa Kenya yupo Washington DC kashapata $500M na wawekezaji wa technology wakubwa. Nchi ina katiba mpya

Mama yetu hatuna katiba, badala ya kutengeneza wafanyabiashara Mama anatengeneza machawa tu. Sasa kila mtu atatoa nyimo zinaitwa Mama 🤣
 
Natarajia uwe unalia kwa kwikwi muda huu muheshimiwa.
 
Dah, sijui tulikosea nini sisi jamani!
Hivi kina nani huwa wanatoa ushauri wa aina hii?!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…