Kwenye vyombo vya habari tv,,redion nchi imegeuka mapambio na kusifu atar sana
 
Nonsense
 
Dah balaa lingine hili m
Mkuu vijana au wazee wa kitanzania hatuna chuki na wasanii kabisa hata kama wakipewa pesa na mama pamoja na kwamba wanakuja kututambia sisi wenyewe tunaokamuliwa, tatizo lipo hapa bado nchi ina shida nyingi sana ambazo kama kiongozi mkuu inapaswa kuwekeza nguvu zake ili nchi ikae sawa mzee kuna mengi sana hii nchi haipo sawa ku mention yote ni kujipa stress zingine humu jf. Ki ufupi hatutendewi haki kabisa watu wanateseka aisee hali ya maisha ngumu sana labda kwa nyie wengine yako vizur kiasi kwamba unaona sawa yanayotokea......
 
Sasa ipi tena! Wale aliokwenda nao India wasanii wa Bongofleva hawakunogesha ziara?
 
Kumbe ni pisi kali kabisa jana alipendeza sana nashauli apendeze hivyo ata akiwa inje ya inchi,mm nilikua na muangalia yeye tu alivyo pendeza mengine sikuyasikia.
 
Kufungua nchi ni pamoja na kurahisha upatikanaji passport yaani unakuta mfano hai wasanii hawawezi safari kwenda kwenye matamasha kujifunza wakiomba passport wanaambiwa Lete barua ya mwaliko ndio tukupe.
Sasa tanasha Mtu hawezi kwenda kivyake akaangakie wanavyofanya ili naye akirudu akitoka kuandaa lake ajue linakuwaje

Raisi aliangalie Hilo pia Mtu sio Lazima awe na barua ya mwaliko kwenda nje.Hayo masharti yaondolewe
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…