PakiJinja
JF-Expert Member
- Jan 16, 2012
- 11,689
- 25,848
Hana huo uwezo, akibadili chochote this time ataishia kugusa ma-DAS tu.Kuna watu akiwagusa ndio nitajua yupo serious.
Huko kwingine hawezi kugusa mpaka kwa ruhusa maalum tu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hana huo uwezo, akibadili chochote this time ataishia kugusa ma-DAS tu.Kuna watu akiwagusa ndio nitajua yupo serious.
Mkuu let us wait and see what kind of reshuffle she will make. I bet many ministers will be sacked.........bora afanye hivyo, itakuwa onyo kali hasa Kwa wale wanaodhani Bi. Mkubwa ni dhaifu na kwamba kuwepo kwake madarakani kunawafanya wawe juu ya Sheria, she plays very smart, btw she can......
Hao wote wanahusika, the logic is uzembe wa junior husababishwa na uzembe wa senior!Viongozi wa ngazi za juu mkuu
story za vijiweni ni za kuziacha hapohapo, ukimaliza gahawa, rudisha kikombe na story ziache hapo!"Hivi punde" maana yake ni muda mfupi ujao ndani ya siku hii ya leo au ndani ya dakika chache zijazo, au ndani ya lisaa hili tulilonalo muda huu
Akimtoa nchemba tu na makamba urais npaka 2040Kufuatia ripoti ya CAG kuonyesha upigaji mkubwa wa fedha za umma, Mh Rais Dokta Samia Suluhu Hassan anatarajia kutengua uteuzi wa mawaziri ambao wizara wanazozisimamia zilionyesha upigaji mkubwa. Aidha, wakurugenzi ambao halmashauri zao zilipewa hati chafu nao watafyekelewa mbali na panga la Mh Rais. Na wale waliopata hati zisizoridhisha watahamishwa vituo vyao vya kazi ili kupewa nafasi ya mwisho kujirekebisha.
Kana kwamba hii haitoshi, inasemekana vigogo wote ambao walihusika moja kwa moja au kwa kushindwa kusimamia taasisi zao na kusababisha upotevu mkubwa wa fedha za umma, nao watasombwa na mafuriko haya na wengi wao watafikishwa kwenye vyombo vya kisheria kuchukuliwa hatua zaidi za kisheria. Moto wa mama umewaka. Waliodhani anatania siku alipochukia na kuwatukana stupid, msidhani alikuwa anatania. Mbivu na mbichi lazima zijulikane. Hakuna hata mtu mmoja atakayechezea fedha za umma akabaki salama. Taarifa hizi zimepenyezwa na watu walio karibu na utawala.
MAONI YANGU
Namuunga mkono mama Dr Rais Samia kwa kuwachukulia hatua watendaji waloshindwa kuzuia ubadhirifu wa fedha za umma pamoja na kuwashughulikia mafisadi wote lakini nashauri jambo hili lifanyike kwa umakini mkubwa kwa kuhakikisha kwamba ni wale tu waliohusika na uzembe au ubadhirifu ndio wanachukuliwa hatua kali. Isitokee watu wasiohusika kuingizwa kwenye mkumbo. Utawala washeria sharti uchukue nafasi yake.
Nawasilisha.
Loud and clear,hasa kwangu mimi troikerAkitikisa vile visiki nguli akaving'oa atapata political mileage kubwa sana
Tuko paleeeee tukingojea huo mguso..Kuna watu akiwagusa ndio nitajua yupo serious.
labda watabadilishwa wapishi wa ikulu. wa Dar waende Dodoma na wa kule waletwe Dar.Tusubiri tuone mkuu. Wakati ukuta. Safari hii mama Samia lazima apindue kila jiwe. Tumechoka kuibiwa fedha zetu na mafisadi kila kukicha.
Mungu amuwezeshe kufanya hayo.Kufuatia ripoti ya CAG kuonyesha upigaji mkubwa wa fedha za umma, Mh Rais Dokta Samia Suluhu Hassan anatarajia kutengua uteuzi wa mawaziri ambao wizara wanazozisimamia zilionyesha upigaji mkubwa. Aidha, wakurugenzi ambao halmashauri zao zilipewa hati chafu nao watafyekelewa mbali na panga la Mh Rais. Na wale waliopata hati zisizoridhisha watahamishwa vituo vyao vya kazi ili kupewa nafasi ya mwisho kujirekebisha.
Kana kwamba hii haitoshi, inasemekana vigogo wote ambao walihusika moja kwa moja au kwa kushindwa kusimamia taasisi zao na kusababisha upotevu mkubwa wa fedha za umma, nao watasombwa na mafuriko haya na wengi wao watafikishwa kwenye vyombo vya kisheria kuchukuliwa hatua zaidi za kisheria. Moto wa mama umewaka. Waliodhani anatania siku alipochukia na kuwatukana stupid, msidhani alikuwa anatania. Mbivu na mbichi lazima zijulikane. Hakuna hata mtu mmoja atakayechezea fedha za umma akabaki salama. Taarifa hizi zimepenyezwa na watu walio karibu na utawala.
MAONI YANGU
Namuunga mkono mama Dr Rais Samia kwa kuwachukulia hatua watendaji waloshindwa kuzuia ubadhirifu wa fedha za umma pamoja na kuwashughulikia mafisadi wote lakini nashauri jambo hili lifanyike kwa umakini mkubwa kwa kuhakikisha kwamba ni wale tu waliohusika na uzembe au ubadhirifu ndio wanachukuliwa hatua kali. Isitokee watu wasiohusika kuingizwa kwenye mkumbo. Utawala washeria sharti uchukue nafasi yake.
Nawasilisha.