Tetesi: Rais Samia kubadilisha Baraza la Mawaziri hivi punde

Tetesi: Rais Samia kubadilisha Baraza la Mawaziri hivi punde

Na yule Waziri mdogo mdogo hivi wa ajali ya gari UDOM awe kenge kwenye msafara wa mamba
Usijali tumesha mshauri bibi kasema hamuweki kwenye list,
BIbi kasema na Ruagwa naye amampumzisha
 
Inaelekea we Mzee N mwizi sana , hizo errors ulizo zisema ni hazikubaliki kabisa, Huwezi kuandika invoice Haina tarehe, itakuwa invoice ya nmana Gani hiyo , CPA kabisa wa kwenye idara au taasisi kwenye document za malipo haweki muhuri wa PAID, kweli ni accountant wa namna Gani? Lazima utakuwa ni mwizi TU
Nakula kwa urefu wa kamba,kamba yangu sio ndefu sana

Hata wewe ukipewa nafasi utakula ,Shida ndio zinakufanya upige kelele

Lakini pesa inaleta comfortability fulani na kujiamini mkuu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nakula kwa urefu wa kamba,kamba yangu sio ndefu sana

Hata wewe ukipewa nafasi utakula ,Shida ndio zinakufanya upige kelele

Lakini pesa inaleta comfortability fulani na kujiamini mkuu

Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa hiyo unaunga mkono mafisadi kweli kuna watanzania akili hawana kama wewe hujielewi kumtetea fisadi anaekuibia kodi zako na kukusababishia bidhaa kupanda bei
 
Kwa hiyo unaunga mkono mafisadi kweli kuna watanzania akili hawana kama wewe hujielewi kumtetea fisadi anaekuibia kodi zako na kukusababishia bidhaa kupanda bei
Tatizo la watanzania ni wivu umewajaa sana

Wewe umewahi fika Mbweni Dar au Ununio Dar

Sasa huko kuna mahekalu ya wafanyakazi wa serikali na hakuna kuulizana umepata wapi pesa na maisha yanaendelea tu watu wanakutana kanisani au kwenye jumuia za kusali jumamosi

Kwa hiyo watu wote waishi nyumba za nyasi au?

Umeambiwa report ya CAG,CAG siyo hakimu au jaji wa kuthibitisha wezi

Wewe mwenzako akipata pesa wewe unaumia kitu gani?

CAG anaelezea mapungufu aliyoyaona lakini mengi yanajibika na kurekebishwa

Kila mwaka CAG anaongea na watu wanarekebisha

Ndio maana JPM alimpiga chini Assad prof kwa kutaka kujifanya hakimu na Jaji

CAG siyo hakimu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tatizo la watanzania ni wivu umewajaa sana

Wewe umewahi fika Mbweni Dar au Ununio Dar

Sasa huko kuna mahekalu ya wafanyakazi wa serikali na hakuna kuulizana umepata wapi pesa na maisha yanaendelea tu watu wanakutana kanisani au kwenye jumuia za kusali jumamosi

Kwa hiyo watu wote waishi nyumba za nyasi au?

Umeambiwa report ya CAG,CAG siyo hakimu au jaji wa kuthibitisha wezi

Wewe mwenzako akipata pesa wewe unaumia kitu gani?

CAG anaelezea mapungufu aliyoyaona lakini mengi yanajibika na kurekebishwa

Kila mwaka CAG anaongea na watu wanarekebisha

Ndio maana JPM alimpiga chini Assad prof kwa kutaka kujifanya hakimu na Jaji

CAG siyo hakimu

Sent using Jamii Forums mobile app
Bado unaendelea na utetezi wa kinafiki mpaka Rais Samia kasema stupid wewe unasema ripoti ya CAG ni kawaida kweli siongei na wewe mbumbuu usiye na uchungu na nchi yake
 
Bado unaendelea na utetezi wa kinafiki mpaka Rais Samia kasema stupid wewe unasema ripoti ya CAG ni kawaida kweli siongei na wewe mbumbuu usiye na uchungu na nchi yake
Haha wewe mgeni hapa JF kuna watu wa propaganda humu

Mama ni mwanasiasa anajua wakati wa kugusa na wakati wa kupima upepo

Huyo huyo Mama anakemea ushoga ,huyo huyo kimataifa anasema fanyeni wakubwa watoto bado

Wewe bado sana,

JPM huyo huyo anasema pesa za ndani huyo huyo anakopa kwa mabeberu

Zile ni propaganda kama za member erthycite na chadema au Gussie na ccm

Sasa hao Ethrycite ana fanya propaganda za chadema hapa JF na Gussie ndie master mind wa propaganda za ushezi za ccm hapa JF

Kwa hiyo Mama kusema stupid ukajua amekasirika au?

TANGU LINI MWIISLAMU KAMA MAMA AKATUKANA TOKA MOYONI STUPID WAKATI WA MFUNGO

Mama alisema STUPID wakati wa mfungo lakini sio toka moyoni ndio maana waelewa walielewa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu wamekuwahi?
Unajua hapa TZ wanapenda siasa za kufurahisha jamii kama za JPM

Hapo watu wanapenda amfukuze,Makamba Junior Mwigulu,Nape,Bashe,Ridhwani na Majaliwa Kassim kupitia bunge ndio roho zao zitakuwa kwatu hata wakilala na njaa mwaka mzima

Watanzania wanapenda tukose wote

Sasa hivi watu wanaomiliki dollars hata ukiwafukuza wakibadili hizo euro au dollars wanakula madafu kwa muda gani

Watanzania wengi ni slow mind

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kufuatia ripoti ya CAG kuonyesha upigaji mkubwa wa fedha za umma, Mh Rais Dokta Samia Suluhu Hassan anatarajia kutengua uteuzi wa mawaziri ambao wizara wanazozisimamia zilionyesha upigaji mkubwa. Aidha, wakurugenzi ambao halmashauri zao zilipewa hati chafu nao watafyekelewa mbali na panga la Mh Rais. Na wale waliopata hati zisizoridhisha watahamishwa vituo vyao vya kazi ili kupewa nafasi ya mwisho kujirekebisha.

Kana kwamba hii haitoshi, inasemekana vigogo wote ambao walihusika moja kwa moja au kwa kushindwa kusimamia taasisi zao na kusababisha upotevu mkubwa wa fedha za umma, nao watasombwa na mafuriko haya na wengi wao watafikishwa kwenye vyombo vya kisheria kuchukuliwa hatua zaidi za kisheria. Moto wa mama umewaka. Waliodhani anatania siku alipochukia na kuwatukana stupid, msidhani alikuwa anatania. Mbivu na mbichi lazima zijulikane. Hakuna hata mtu mmoja atakayechezea fedha za umma akabaki salama. Taarifa hizi zimepenyezwa na watu walio karibu na utawala.

MAONI YANGU
Namuunga mkono mama Dr Rais Samia kwa kuwachukulia hatua watendaji waloshindwa kuzuia ubadhirifu wa fedha za umma pamoja na kuwashughulikia mafisadi wote lakini nashauri jambo hili lifanyike kwa umakini mkubwa kwa kuhakikisha kwamba ni wale tu waliohusika na uzembe au ubadhirifu ndio wanachukuliwa hatua kali. Isitokee watu wasiohusika kuingizwa kwenye mkumbo. Utawala washeria sharti uchukue nafasi yake.

Nawasilisha.
Thubutu hana jeuri hiyo,Sababu yeye mwenyewe hapo alipo kawekwa na baadhi yabMawaziri,kama vile walivyomfanya Magufuri kuwa Rais,matokeo yake alipowatoa naye wakamtoa

Hilo ni fumbo la Imani
 
Tumechoka mambo ya kubadilisha badilisha tunataka watu warudishe hela zetu na wakishindwa wafungwe
Huu ni moja ya mikakati yake mkuu. Mama amedhamiria kulala mbele na wezi wa rasilimali za taifa.
 
"Hivi punde" maana yake ni muda mfupi ujao ndani ya siku hii ya leo au ndani ya dakika chache zijazo, au ndani ya lisaa hili tulilonalo muda huu
Ndani ya siku chache zijazo mkuu; hata wiki haiishi.
 
Kama hawachukuliwagi hatua za kisheria kwa ubadhilifu wanaoufanya naonaga haina maana ya kutenguliwa!!!awaache hao hao tuu!!!
 
Akimtoa nchemba tu na makamba urais npaka 2040
Kweli kabisa mkuu. Wale jamaa asipowang'oa watamharibia sana kwenye uchaguzi wa 2025. Lakini ngoja tusubiri tuone jinsi itakavyokuwa kwa kuwa yeye ndiye mwenye maamuzi ya mwisho. Tusiandikie mate ilhali wino upo.
 
Huwa tunawaambia hapa, the two best presidents of our country ni:
• Mwl Julius Kambarage Nyerere (Baba wa Taifa)
• Mwl John Pombe Magufuli (Baba wa Uchumi)
 
Back
Top Bottom