Tetesi: Rais Samia kubadilisha Baraza la Mawaziri hivi punde

Tetesi: Rais Samia kubadilisha Baraza la Mawaziri hivi punde

Hawezi kubadirisha Baraza la Mawaziri wakati Bajeti zinaendelea kuwasilishwa Bungeni.

Hilo la Wakurugenzi anaweza lakini sio Baraza la Mawaziri.

Kama kutakuwa na mabadiriko kwenye Baraza la Mawaziri basi itakuwa baada ya kumalizika Bunge la Bajeti mwezi Juni.
Simbachawene kateuliwa kwenda utumishi wakati na bunge la bajeti na ndio aliwasilisha bajeti ya wizara ,unafikiri alihusika kuiandaa?
 
Kufuatia ripoti ya CAG kuonyesha upigaji mkubwa wa fedha za umma, Mh Rais Dokta Samia Suluhu Hassan anatarajia kutengua uteuzi wa mawaziri ambao wizara wanazozisimamia zilionyesha upigaji mkubwa. Aidha, wakurugenzi ambao halmashauri zao zilipewa hati chafu nao watafyekelewa mbali na panga la Mh Rais. Na wale waliopata hati zisizoridhisha watahamishwa vituo vyao vya kazi ili kupewa nafasi ya mwisho kujirekebisha.

Kana kwamba hii haitoshi, inasemekana vigogo wote ambao walihusika moja kwa moja au kwa kushindwa kusimamia taasisi zao na kusababisha upotevu mkubwa wa fedha za umma, nao watasombwa na mafuriko haya na wengi wao watafikishwa kwenye vyombo vya kisheria kuchukuliwa hatua zaidi za kisheria. Moto wa mama umewaka. Waliodhani anatania siku alipochukia na kuwatukana stupid, msidhani alikuwa anatania. Mbivu na mbichi lazima zijulikane. Hakuna hata mtu mmoja atakayechezea fedha za umma akabaki salama. Taarifa hizi zimepenyezwa na watu walio karibu na utawala.

MAONI YANGU
Namuunga mkono mama Dr Rais Samia kwa kuwachukulia hatua watendaji waloshindwa kuzuia ubadhirifu wa fedha za umma pamoja na kuwashughulikia mafisadi wote lakini nashauri jambo hili lifanyike kwa umakini mkubwa kwa kuhakikisha kwamba ni wale tu waliohusika na uzembe au ubadhirifu ndio wanachukuliwa hatua kali. Isitokee watu wasiohusika kuingizwa kwenye mkumbo. Utawala washeria sharti uchukue nafasi yake.

Nawasilisha.
Sahau
 
Simbachawene kateuliwa kwenda utumishi wakati na bunge la bajeti na ndio aliwasilisha bajeti ya wizara ,unafikiri alihusika kuiandaa?
Baadhi ya Wizara sio ngumu kama Tamisemi, Maji, Maliasili, Ujenzi na Miundombinu n.k

Hiyo Utumishi is not that difficult
 
Hamuondoe na Dugange, yule naibu waziri anayehusishwa na kifo Cha mwanafunzi Ili uchunguzi ufanyike kihalali.
 
Kufuatia ripoti ya CAG kuonyesha upigaji mkubwa wa fedha za umma, Mh Rais Dokta Samia Suluhu Hassan anatarajia kutengua uteuzi wa mawaziri ambao wizara wanazozisimamia zilionyesha upigaji mkubwa. Aidha, wakurugenzi ambao halmashauri zao zilipewa hati chafu nao watafyekelewa mbali na panga la Mh Rais. Na wale waliopata hati zisizoridhisha watahamishwa vituo vyao vya kazi ili kupewa nafasi ya mwisho kujirekebisha.

Kana kwamba hii haitoshi, inasemekana vigogo wote ambao walihusika moja kwa moja au kwa kushindwa kusimamia taasisi zao na kusababisha upotevu mkubwa wa fedha za umma, nao watasombwa na mafuriko haya na wengi wao watafikishwa kwenye vyombo vya kisheria kuchukuliwa hatua zaidi za kisheria. Moto wa mama umewaka. Waliodhani anatania siku alipochukia na kuwatukana stupid, msidhani alikuwa anatania. Mbivu na mbichi lazima zijulikane. Hakuna hata mtu mmoja atakayechezea fedha za umma akabaki salama. Taarifa hizi zimepenyezwa na watu walio karibu na utawala.

MAONI YANGU
Namuunga mkono mama Dr Rais Samia kwa kuwachukulia hatua watendaji waloshindwa kuzuia ubadhirifu wa fedha za umma pamoja na kuwashughulikia mafisadi wote lakini nashauri jambo hili lifanyike kwa umakini mkubwa kwa kuhakikisha kwamba ni wale tu waliohusika na uzembe au ubadhirifu ndio wanachukuliwa hatua kali. Isitokee watu wasiohusika kuingizwa kwenye mkumbo. Utawala washeria sharti uchukue nafasi yake.

Nawasilisha.
Kama nikuwafukuza tu boraawaache tunachotaka pesa walizochukua nyingi wanazohawa wafikishwe mahakamani warudishe pesa zetu ndiomuhimu kwasasa mama atambue watu wametulia lakini hasira tulizonazo nikubwa sana nalingine amshauri kairuki alicho ahidi bungeni atomize hukumitaani kunabaadhi yawatu wanatuma pesa Dodoma kwa ajili ya ajira zilizo tangazwa msimamo wake utende haki sifa ndio iteue sio utashi nawazo LA zigaiwe kwa majimbo litasaidia sana kama tutaendelea nautaratibu tunaweza kuwa nahata jeshi bovu tena lawaoga sisi ambaotupo nje tunaona mambo mengi sana yahovyo kabisa mama jitahidi naamini utaweza unatiamoyo
 
Kufuatia ripoti ya CAG kuonyesha upigaji mkubwa wa fedha za umma, Mh Rais Dokta Samia Suluhu Hassan anatarajia kutengua uteuzi wa mawaziri ambao wizara wanazozisimamia zilionyesha upigaji mkubwa. Aidha, wakurugenzi ambao halmashauri zao zilipewa hati chafu nao watafyekelewa mbali na panga la Mh Rais. Na wale waliopata hati zisizoridhisha watahamishwa vituo vyao vya kazi ili kupewa nafasi ya mwisho kujirekebisha.

Kana kwamba hii haitoshi, inasemekana vigogo wote ambao walihusika moja kwa moja au kwa kushindwa kusimamia taasisi zao na kusababisha upotevu mkubwa wa fedha za umma, nao watasombwa na mafuriko haya na wengi wao watafikishwa kwenye vyombo vya kisheria kuchukuliwa hatua zaidi za kisheria. Moto wa mama umewaka. Waliodhani anatania siku alipochukia na kuwatukana stupid, msidhani alikuwa anatania. Mbivu na mbichi lazima zijulikane. Hakuna hata mtu mmoja atakayechezea fedha za umma akabaki salama. Taarifa hizi zimepenyezwa na watu walio karibu na utawala.

MAONI YANGU
Namuunga mkono mama Dr Rais Samia kwa kuwachukulia hatua watendaji waloshindwa kuzuia ubadhirifu wa fedha za umma pamoja na kuwashughulikia mafisadi wote lakini nashauri jambo hili lifanyike kwa umakini mkubwa kwa kuhakikisha kwamba ni wale tu waliohusika na uzembe au ubadhirifu ndio wanachukuliwa hatua kali. Isitokee watu wasiohusika kuingizwa kwenye mkumbo. Utawala washeria sharti uchukue nafasi yake.

Nawasilisha.
Kutengua bila uwajibishaji ni bure tu na atakayeingia atapiga anajua atatenguliwa ila atakuwa kakusanya pesa ambayo kwa mshahara wake asingeikusanya kwa miaka 100
 
Baadhi ya Wizara sio ngumu kama Tamisemi, Maji, Maliasili, Ujenzi na Miundombinu n.k

Hiyo Utumishi is not that difficult
Bajeti zote zimeandaliwa na wataalamu wa wizara kazi ya waziri ni kuiwasilisha tu kwa kuisoma. Hakuna cha wizara ngumu wala nyepesi. Kwa hiyo unataka kusema Ummy ana uwezo wa kuandaa bajeti ya wizara ya Afya kwa kujua mahitaji ya kila idara?
 
Bajeti zote zimeandaliwa na wataalamu wa wizara kazi ya waziri ni kuiwasilisha tu kwa kuisoma. Hakuna cha wizara ngumu wala nyepesi. Kwa hiyo unataka kusema Ummy ana uwezo wa kuandaa bajeti ya wizara ya Afya kwa kujua mahitaji ya kila idara?
Waziri akikaa muda mrefu na Wizara moja, anakuwa familiar na mambo ya Idara yake.

Ila ngoja tuone kama kweli hayo mabadiriko yatafanyika au ni mpaka Bunge la Bajeti liishe
 
Aidha, wakurugenzi ambao halmashauri zao zilipewa hati chafu nao watafyekelewa mbali na panga la Mh Rais. Na wale waliopata hati zisizoridhisha watahamishwa vituo vyao vya kazi ili kupewa nafasi ya mwisho kujirekebisha.

Kana kwamba hii haitoshi, inasemekana vigogo wote ambao walihusika moja kwa moja au kwa kushindwa kusimamia taasisi zao na kusababisha upotevu mkubwa wa fedha za umma, nao watasombwa na mafuriko haya na wengi wao watafikishwa kwenye vyombo vya kisheria kuchukuliwa hatua zaidi za kisheria. M
Na yule Waziri mdogo mdogo hivi wa ajali ya gari UDOM awe kenge kwenye msafara wa mamba
 
Hamuondoe na Dugange, yule naibu waziri anayehusishwa na kifo Cha mwanafunzi Ili uchunguzi ufanyike kihalali.
Vitu minor sana hivi, wote hao ni watu wazima kama ni kweli na pengine kila mmoja alikuwa na mahusiano yake. Kufanya maamuzi ya namna inayosema ni kuingilia faragha za watu
 
Toka mwezi wa pili mnakuja na ramli lakini wapi
8DDDDAB3-8EA7-42C1-B0EE-42AA62F722C5.jpeg
 
Story za vijiweni

Mama hana haja kurithi ugomvi wa JPM na watu,Mama hana haja kurithi ugomvi wa JPM na baadhi ya watu

Mama atengeneze maadui wake mwenyewe,Msilazimishe kila adui wa JPM awe adui wa Samiah

Sent using Jamii Forums mobile app

Mahakama ndio inathibitisha wezi na siyo CAG

Watu mnafahamu maana ya Auditing?

Auditor hata malipo yakiwa halali ila tarehe ya malipo watu walisahau kuandika kwenye invoice ana ona kuna hatari ana ireport na kuandika kuna malipo hewa,Sasa typing error au kusahau ni mambo ya kawaida huko serikalini

Auditor hata muhuri ukikosekana kwenye document ya muhuri wa PAID ana report kuwa kuna issue? Sasa kusahu muhuri kugonga hata Bank wanasahau sembuse huko halmashauri ni kawaida watu kusahau kugonga mihuri

Ndio maana watu wanapewa muda kujibu hoja ,La sivyo utafunga wafanyakazi wote jela serikalini

Kuna maswali mengine aachiwe Internal auditor apambane nayo na siyo CAG

Tatizo kubwa hapa Tanzania ni elimu ...elimu...elimu

Watu wengi hawajui kazi ya ofisi ya CAG na hata maana ya report yake na mpaka kuna wabunge nao hawaelewi ,Elimu ni muhimu kuhusu Auditing na kazi ya CAG
Inaelekea we Mzee N mwizi sana , hizo errors ulizo zisema ni hazikubaliki kabisa, Huwezi kuandika invoice Haina tarehe, itakuwa invoice ya nmana Gani hiyo , CPA kabisa wa kwenye idara au taasisi kwenye document za malipo haweki muhuri wa PAID, kweli ni accountant wa namna Gani? Lazima utakuwa ni mwizi TU
 
Simbachawene kateuliwa kwenda utumishi wakati na bunge la bajeti na ndio aliwasilisha bajeti ya wizara ,unafikiri alihusika kuiandaa?
Itakuwa amejisahau TU, wanaofaya kazi ni makatibu wakuu na manaibu, waziri anatakiwa kujua kusoma na kuandika na kununua PhD udom basi
 
Story za vijiweni

Mama hana haja kurithi ugomvi wa JPM na watu,Mama hana haja kurithi ugomvi wa JPM na baadhi ya watu

Mama atengeneze maadui wake mwenyewe,Msilazimishe kila adui wa JPM awe adui wa Samiah

Sent using Jamii Forums mobile app

Mahakama ndio inathibitisha wezi na siyo CAG

Watu mnafahamu maana ya Auditing?

Auditor hata malipo yakiwa halali ila tarehe ya malipo watu walisahau kuandika kwenye invoice ana ona kuna hatari ana ireport na kuandika kuna malipo hewa,Sasa typing error au kusahau ni mambo ya kawaida huko serikalini

Auditor hata muhuri ukikosekana kwenye document ya muhuri wa PAID ana report kuwa kuna issue? Sasa kusahu muhuri kugonga hata Bank wanasahau sembuse huko halmashauri ni kawaida watu kusahau kugonga mihuri

Ndio maana watu wanapewa muda kujibu hoja ,La sivyo utafunga wafanyakazi wote jela serikalini

Kuna maswali mengine aachiwe Internal auditor apambane nayo na siyo CAG

Tatizo kubwa hapa Tanzania ni elimu ...elimu...elimu

Watu wengi hawajui kazi ya ofisi ya CAG na hata maana ya report yake na mpaka kuna wabunge nao hawaelewi ,Elimu ni muhimu kuhusu Auditing na kazi ya CAG
Kwa hiyo hao wagomvi wa Magufuli hata kama ni mafisadi waliotajwa na CAG awaache asiwaridhi waendelee kupiga kodi za wananchi kwa raha zao yaani mlivyo na chuki na Magufuli mko tayari hata mtete mafisadi yaliyokuwa na ugomvi wa kutumbuliwa na Magufuli
 
Back
Top Bottom