Tetesi: Rais Samia kubadilisha Baraza la Mawaziri hivi punde

........bora afanye hivyo, itakuwa onyo kali hasa Kwa wale wanaodhani Bi. Mkubwa ni dhaifu na kwamba kuwepo kwake madarakani kunawafanya wawe juu ya Sheria, she plays very smart, btw she can......
 
........bora afanye hivyo, itakuwa onyo kali hasa Kwa wale wanaodhani Bi. Mkubwa ni dhaifu na kwamba kuwepo kwake madarakani kunawafanya wawe juu ya Sheria, she plays very smart, btw she can......
Mkuu let us wait and see what kind of reshuffle she will make. I bet many ministers will be sacked.
 
Mpaka sasa zimerudi ngapi hazina?
Au ni porojo zilezile za kubadilisha upepo?

Tumechoka mambo ya kubadilisha badilisha tunataka watu warudishe hela zetu na wakishindwa wafungwe
( ambalo tunajua ni ndoto) ila acha tujifariji masikini
 
"Hivi punde" maana yake ni muda mfupi ujao ndani ya siku hii ya leo au ndani ya dakika chache zijazo, au ndani ya lisaa hili tulilonalo muda huu
 
"Hivi punde" maana yake ni muda mfupi ujao ndani ya siku hii ya leo au ndani ya dakika chache zijazo, au ndani ya lisaa hili tulilonalo muda huu
story za vijiweni ni za kuziacha hapohapo, ukimaliza gahawa, rudisha kikombe na story ziache hapo!
 
Akimtoa nchemba tu na makamba urais npaka 2040
 
Huyo tumeshazoea kauli zake za kuonyesha kuwa anataka kufanya mabadiliko makubwa lakini anaishia maneno tu au anagusagusa tu hapa na pale bila kufanya mabadiliko ya maana.

Tatizo la msingi ni waziri mkuu siyo hawa mawaziri wadogo.

Waziri mkuu ameshindwa kumsaidia yeye Samia, na wala hakumsaidia ipasvyo Magufuli kuthibiti ufisadi kwenye halmashauri huko.
 
🤣🤣🤣yani muda huu mshaketi kwenye vijiwe vya kahawa na kashata?mbona bado mapema Sana,hii ni gahawa ya mchana,chungu kumesa🤔
 
Huyu Mama adhabu yake kali kabisa ni kuwaita wezi "Mastupid" imeisha hiyo watu wanajipigia kwa uhuru wa Manyani.
 
Naona waziri Ulega anaziara za vyombo vya Habari kujikomba kwa Wana chi kuomba huruma ya Wana nchi, ngoja tuone yajayo yanafurahisha
 
Tusubiri tuone mkuu. Wakati ukuta. Safari hii mama Samia lazima apindue kila jiwe. Tumechoka kuibiwa fedha zetu na mafisadi kila kukicha.
labda watabadilishwa wapishi wa ikulu. wa Dar waende Dodoma na wa kule waletwe Dar.
 
Hawezi kubadirisha Baraza la Mawaziri wakati Bajeti zinaendelea kuwasilishwa Bungeni.

Hilo la Wakurugenzi anaweza lakini sio Baraza la Mawaziri.

Kama kutakuwa na mabadiriko kwenye Baraza la Mawaziri basi itakuwa baada ya kumalizika Bunge la Bajeti mwezi Juni.
 
Mungu amuwezeshe kufanya hayo.
Isiwe ni tetesi tu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…