Rais Samia kufanya ziara ya kikazi Ufaransa na Ubelgiji

Mbona wanaficha ndege? Amechukua DREAMLINER ya ATCL nini? Kama ni hivyo hayo yatakuwa matumizi mabaya ya rasilimali za nchi!! Kuchukua ndege na kwenda kuisimamisha ikingoja mpaka ziara iishe ni gharama kubwa sana jamani.
Bora hata huyu mwaona ndege kwa vipande , Utawala wa Jakaya uliziona wapi ndege alizokua akienda nazo Marekani na Ulaya?
 
Bora hata huyu mwaona ndege kwa vipande , Utawala wa Jakaya uliziona wapi ndege alizokua akienda nazo Marekani na Ulaya?

Kwa spidi anayo kwenda nayo Hangaya ; kuwa kila akifanya ziara ya mkoani akirudi Magogoni lazima aende Ulaya, sina shaka atavunja record ya Jakaya muda si mrefu!! Hangaya anapenda sana bata hivyo kuwapa nafasi watu wake kuongezea urefu wa kamba zao!!!
 
Kama ataleta kikubwa zaidi ya hicho hakuna tatizo. Kumbuka ziara ya obama aliye paa na watu zaidi ya 800 bila kutaja walinzi na wana usalama waliotangulia na vifaa mbalimbali

Unaweza kufananisha uchumi wa Marekani na uchumi wa Bongo? Usijifanye hamnazo Bongo uchumi wake ni sawa na uchumi wa jimbo moja tu la huko Marekani!! Samia ataleta kubwa zaidi kwa kutembeza Bakuri ? Mbona Magufuli alikuwa hazuruli na wao walikuwa wanamfuata Magogoni? Samia ameambukizwa ugonjwa wa Msoga; amelishwa miguu ya kuku!!
 
Kila mtu anafanya kadri ya uwezo wake wewe huwezi kua mimi and vice versa
 
Kumbe barakoa bado zinavaliwa duu
 
Pamoja na jitihada za kuifungua nchi bado Tanzania haipo katika nchi kumi bora zenye mazingira mazuri ya uwekezaji Africa kwa mwaka 2022.

 
Kama ataleta kikubwa zaidi ya hicho hakuna tatizo. Kumbuka ziara ya obama aliye paa na watu zaidi ya 800 bila kutaja walinzi na wana usalama waliotangulia na vifaa mbalimbali
mkuu, mbona kama unatupiga na kitu kizito kichwani, yani Air force one ilibeba zaidi ya watu 800 na bado ilitanguliza wengine😁
walinzi walitangulia ndio lakini kwenye jumla ya watu waliopanda Air force one haifiki hata 100
 
Rais wa Tanzania, Samia anatarajia kuelekea Nchini Ufaransa na baadaye Ubelgiji kikazi. Akiwa Ufaransa, atahudhuria Mkutano wa Wakuu wa Nchi na Serikali utakaojadili kuhusu Rasilimali Bahari Dunian...

 
Uchawi huu sasa,kwa hiyo ukiona neno uchumi wa blue basi unawaza Zenj,kwamba Bara hakuna Bahari sio?
tayari umesema bara, ungesema Tanganyika ungeeleweka. Asante TLS kwa kutunza jina hili, ingawa natamani tuwe na Tanzania yenye serikali moja.
 
Unasafiriji wakati hatuna umeme wakutoshekeza hii nishati inataka uwekezaji mkubwa
 
mkuu, mbona kama unatupiga na kitu kizito kichwani, yani Air force one ilibeba zaidi ya watu 800 na bado ilitanguliza wengine😁
walinzi walitangulia ndio lakini kwenye jumla ya watu waliopanda Air force one haifiki hata 100
Aliambatana na msafara wa zaidi ya watu 800. Kati ya hao kulikuwa na wafanya biashara, viongozi, walinzi wana usalama wapishi madaktari na wafanyakazi wengineo.

Nje ya perimeter ya ikulu kulikuwa na wanajeshi wa majini na vyombo vya huko tulivyo weza kuviona na ambavyo hatukuweza kuviona. Na wengine utakaopenda kujiongezea mwenyewe
 
Sijafananisha uchumi bali nimelinganisha ziara ambazo zinaweza kuwa na manufaa kwa nchi bila kujalisha atatumia gharama kiasi gani.

Nani alimfuata magufuli ikulu kuja kuwekeza wakati kila uchwao alikua anakopa kimyakimya, anachota fedha za wafanyabishara akishirikiana na kina lengai kupitia vyombo maalumu?
 
These
words are so painful brother...Nchi yetu imekuwa Jehanamu we thought things would be okay but tumeula wa Chuya hatuna cha Kufanya zaidi ya Kuangalia what will happen some years to come
 
Sijafananisha uchumi bali nimelinganisha ziara ambazo zinaweza kuwa na manufaa kwa nchi bila kujalisha atatumia gharama kiasi gani

Utakuwa mbumbumbu sana kama hutajali gharama unazotumia kwenda kutembeza bakuri huku huna uhakika hilo bakuri lako litajaa kiasi gani!! Hiyo waswahili wanaiita" BIASHARA BILA DAFTARI.................."

Wale wawekezazi wa bomba la Mafuta toka Uganda mpaka bandari ya Tanga , hawakufuatwa na Jiwe huko kwao ,walikuja wenyewe!!! Sasa nyie Chawa msivyokuwa na aibu sasa hivi mtaanza kusifia kuwa hilo bomba la Mafuta ni juhudi za Hangaya!!!
 
Ivi hii nafasi yake haina kiapo,ukiteuliwa tu unaanza kazi
Ni hivo mkuu maana nasikia kumbe hata Zuhura mwenyewe bado yuko London na ataungana na hangaya juu kwa juu huko Ulaya. Hii Taarifa kaituma kwa njia ya whatsapp.
 
Ipo hivi
Reli inaendelea kujengwa
Mradi wa umeme rufiji unaendelea.
Ame endorse fedha ili ndege zaidi ziletwe
Wafanyakazi wamepandishwa madaraja ambayo yalishindikana kwa zaidi ya miaka 7
Bandari ya kigoma kupanuliwa na kuboreshwa.
Reli ya kisasa kujengwa hadi kigoma ikichana ardhi ya tabora
Huyo Jiwe wako alifanya hayo kwa namna aliyo ona inafaa. Na huyu anafanya kwa namna anayo ona inafaa

yote YANAFANYIKA BILA KUTUMIA MISIMAMO YA KIKUDA YA AWAMU ILIYO PITA.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…