Rais Samia kufanya ziara ya kikazi Ufaransa na Ubelgiji

Mbona kila mtu humu anakuwa kama haoni kuwa BAHARI ndo ISHAUZWA?

Ze kiki ndo inazungumza kwa sasa!
 
sawa mkuu wacha nifuatilie kuhusu hii idadi
Ngoja nikumegulie kidogo.
Hata gari lake lilisafirishwa kwa ndege kuja huku sasa anakuja mtu mmoja anashangaa eti ziara ya hangaya inakula pesa nyingi.
Pia soma hapa
RAIS wa Marekani, Bw. Barack Obama, atakuwa na ujumbe wa watu 700 katika ziara yake ya siku mbili nchini Tanzania kuanzia Julai Mosi mwaka huu.
Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Bw. Bernard Membe, aliyasema hayo Dar es Salaam wakati akizungumza na waandishi wa habari.

Alisema kutokana na ziara ya kiongozi huyo, alitoa wito kwa wafanyabiashara wenye hoteli, migahawa, magari ya kukodisha waziboreshe biashara zao ili Wizara hiyo iingie mkataba nao.

Aliongeza kuwa, akiwa nchini, Bw. Obama atafanya mkutano na viongozi wa nchi zinazoendelea kwa kuzungumzia umuhimu wa sayansi na teknolojia katika nchi zao.

“Ugeni huo ni mkubwa, ujio wa kiongozi huyu utaisaidia nchi kupata pesa
za Miradi ya Changamoto za Milenia (MCC), ambazo zitatumika katika maji, elimu na barabara.

“Pia Rais Obama atazungumzia jinsi nchi za Afrika zitakavyopata umeme wa kutosha tofauti na sasa...kimsingi tumejiandaa katika mapokezi yake hata kwenye mavazi,” alisema Bw. Membe.

Hata hivyo, Bw. Membe alisema tayari baadhi ya ujumbe ambao ataongozana nao umeanza kuwasili nchini kwa matayarisho
Hapa akiwa na the late Mahiga

Na hapa akiwa na kikwete
 
Mama Kasema ana mpango w Kuleta Satellite [emoji341] mpya kasi ya Mtandao iongezeke data zetu za Anuani ya Makazi ziwe centralized awe anatushughulikia vizuri
 
Kinachouma dharau za watumishi wa serikali zimerudi kwa kasi. Wiki mbili zilizopita nilishuhudia mzee mmoja akifokewa na hakimu mmoja mfawidhi . Niliongea na yule mzee alibaki anasikitika akisema yule binti yaani hakimu ni sawa na binti yangu wa tano hakustahili kunikosea heshima vile. Awamu hii tutashuhudia mengi nidhamu kazini imeondoka na JPM
 
..labda dereva wa Tundu Lissu atakamatwa na kurejeshwa Tanzania.

..serikali sasa haina kisingizio tena kwamba Lissu amsalimishe dereva wake ili ahojiwe.

..Watu wa usalama watakaoambatana na Raisi wanao uwezo wa kuwahoji Lissu na dereva hukohuko Ubelgiji.

Cc Tindo, Erythrocyte, Nguruvi3 , Pascal Mayalla
 
Yanayofanyika huo bara ungeyaona usingeandika huu uharo ulioandika.
Kuongezewa tozo..kuongeza mikopo na kuwapa wazenji mgao mkubwa kupindukia..huku wazenji wakifutiwa ada za kuunganisha umeme wakati watanganyika ada za umeme zikiongezwa..au unaongelea yepi wewe mchamba wima.

#MaendeleoHayanaChama
 
Hivi hu mwaka alikua ajasafiri, ila sio mbaya amekuja na safari mbili KWa mpigo
 
Rais anatekeleza ilani ya ccm. Kwenye ilani ya ccm bara hakuna habari za uchumi wa blue. Habari hizo utazipata kwa Rais mwinyi Zanzibar. So ziara hii inaibeba zanzibar
Unataka kusema ilani ya CCM haijasema chochote kuhusu mambo ya uvuvi ?
Kuhusu kufufua shirika la uvuvi TAFICO, kuhusu kununua meli nane za uvuvi (nne bara, nne Zanzibar), kuhusu kujenga bandari maalum ya uvuvi kule Lindi ?

Hebu kuwa serious mkuu. Au hayo mambo haya uhusiano na uchumi wa bluu ? Ni mambo yanayohusiana na sekta ya madini, mawasiliano au gesi na mafuta ?

Tuache kidogo.
 
Unasafiriji wakati hatuna umeme wakutoshekeza hii nishati inataka uwekezaji mkubwa
Kwamba Rais asisafiri hadi matengenezo ya visima vya gesi vinavyozalisha umeme yakamilike ?

Kwani Mh. Samia ni fundi mchundo kwamba idadi ya washika bisibisi inapungua huko site ?

Ila hii nchi.
 
Punguza sauti, vichaa watakuita Sukuma gang ingawa yumkini unaweza ukawa mmakua wa kule newala
 
Kuongezewa tozo..kuongeza mikopo na kuwapa wazenji mgao mkubwa kupindukia..huku wazenji wakifutiwa ada za kuunganisha umeme wakati watanganyika ada za umeme zikiongezwa..au unaongelea yepi wewe mchamba wima.

#MaendeleoHayanaChama
Unajua muogopeni mungu kwa uongo wa namna hii

Sent from my SM-N960F using JamiiForums mobile app
 

 
Rais kamfukuze huyo mkimbizi feki wa Ubelgiji analelewa na Amsterdam.

Mwambie arudi Singida kula kwa jasho lake kupitia kilimo cha vitunguu
Hadi SSH ameomba kutembelea Belgium unafikiri ni mchezo. Hapo Rais anavizia namna ya kuonana na Lissu. Wait and see. Wewe poyoyo endelea kupiga mikelele huko umatumbini.
 
Nimeona tu sahihi ya Zuhura Yunus, hayo mengine yaendelee
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…