Rais Samia kufanya ziara ya siku mbili Nchini Kenya kuanzia 04|05|2021

Amna lolote ni msemo tu, dunia ya akuna cha bure bila kufanya kazi,anataka kutuletea ya awamu ya 4 ya Jk eti nisipo zurula watoto watakufa njaa maana naenda kuemea,hao Wakenya walimsumbua sana Jk kwenye utawala wake, mpaka wakawashawishi Kagame/Museven/Kinyata wakanzisha umoja wao, Mpaka bomba la mafuta lingelipitia Kenya kama asingelikuwepo Magufuri,sasa anarudi kulekule tulikotoka zamani za kuzurula tu,hatatue shida za Watanzania kwanza walionchagua,sio kuzurula hovyo,Kenya amna chochote sanasana kuwauzia nafaka tu, Wakenya walikuwa wezi wa Madini yetu baada Jpm kuingia madarakani akawapiga pini, uchumi wao umeyumba,wao ndio walikuwa wauzaji wakuu wa Tanzanate,dhahabu kuliko Tanzania, Baada ya Magufuri kufa wanatafuta pakutokea, ndio maana wameanza mialiko ya ajabu.Mama akituzingua nasi tunamzingua,asiturudishe Misri, atutaki kurudi kwenye taifa ombaomba.mungu ibariki Tanzania
Biashara gani unafanya na Kenya?ukitoa biashara ya nafaka akuna biashara hapo,sana sana wanatafuta uruma kwa Samia alegeze msimamo juu ya lasilimali zetu,waanze kutufanya shamba la bibi kama enzi za Jk.
 
Ningependa sana kuamini kwamba mama na wasaidizi wake wanao ufahamu mzuri wa hali hiyo; vinginevyo tusubiri tu mvuruganyo utakaofuata kama matokeo ya 'naivity' yao.
Shida ya hawa majirani
Akatengeneze win win situation na majirani.
Kenya hawanaga hiyo "win-win" ukilegea umeumia. Niseme tu pengine Magu alikuwa extreme kwenye maamuzi yake mengi lkn linapokuja swala la ku deal na Kenya JPM model ndio sahihi na nina wish SSH amentain hilo otherwise....
 
Sijawahi hata siku moja kudhani kuwa "Tanzania inaogopa ushindani", sijui dhana hii inatoka wapi?

Ushindani si unyang'anyaji wa kutumia hila, au kuwa kituo cha unyang'anyi toka sehemu nyingine duniani.

..Lets be honest.

..otherwise we will not address the problems that we have, and will not improve ourselves.
 
Labuda anaenda kucheki na afya si mnejionea juzi alivyokuwa anakohoa kohoa?

Sent using Jamii Forums mobile app
Kama ana tatizo afadhali achekiwe na Wachina - nikikumbuka jamaa hawa walivyo vunja jumuhia ya Afrika Mashariki na ku grab every mali available, Taifa letu likaachwa solemba binafsi ntakuwa mtu wa mwisho kuamini tena Wakenya.

Narudia kuwakumbusheni tena kwamba tusije kujidanganya hapa ukweli utabaki kwamba deep down Wakenya hajabadirika lolote for the better - lengo lao ni kutaka kuitumia Tanzania kwa manufaa yao binafsi na Taifa lao - hivi sasa Wakenya wapo kwenye harakati za kujaribu kuhujumu bomba la mafuta kutoka Uganda kuja Tanga, wana lobby international enviromentalists ili wajaribu kuiwekea a monkey spanner project nzima wakijidai project sio rafiki kwa mazingira/ecosystem - madai ambayo ni ulaghai mtupu, hata hydroelectric power gen complex kwenye mto wa Rufiji nayo walisha ijengea hoja eti itaharibu maelfu ya ekta za misitu na kuwafanya wanyama na raia wakose makazi - kumbukeni vile sakata la ujenzi wa barabara ya kukatiza Serengeti na Ngorongoro, Wakenya walikuwa wanaipinga kwa nguvu zao zote, wakati fulani waliwahi kuituhumu Tanzania kwamba inazuhia Nyumbu kuvuka mto Mara na kwenda kwenye mbuga ya Kenya ya Masai Mara,mambo ya ajabu sana kuhusu majirani wetu hawa!!

Bahati mbaya ni kwamba si rahisi kumchagua nani awe jirani yako, hivyo sisi kama Taifa tuna wajibu wa kuwa makini kupindukia,tujitahidi kuiishi na Wakenya kwa akili, hakuna haja ya kujikomba komba kwao - tukifanya makosa ya kushindwa kuweka mipaka kwenye masula yaomahusiano yetu hilo lita kuja ku-cost our Nation an arm and leg - forewarned...

He said "SON, take time to know her is not an overnight friend"
 
Ntatofautiana na wanaobeza hii ziara kwa wakenya, mimi naunga mkono asilimia 100 Kenya ni muhimu sana kwa uchumi wetu na sisi ni muhimu sana kwa uchumi wao.

Mkuu Ziara ni Nzuri sana Kibiashara ila Lazima Kuwa Mwangalifu na Afya zetu Corona na Janja ya wakenya
Your browser is not able to display this video.

Cc: The Boss Mkuu angalia hii clip utajua wakenya Wakoje hakuna tena hakuna Mtanzania anaewajidi wakenya Ujanja hii clip ilikuwa Enzi ya Utawala wa Magu wakenya Wali bloo Angalia Clip Vizuri ni ya Mwaka jana walisema wao wenyewe kuwa Rais wai ni Mjanja mjanja sasa kakutana na kitu from Tanzania,Anakupa huku kumbe anafaidi kule...
Wakenye akikupa moja ujue anachukua 2!
Angalia hii clip utanielewa tuu!
Ndio hawa hawa wakenya wanasema Watanzania eti ni wezi sio waaminifu[emoji851][emoji851][emoji28]
Cc joka kuu Kalamu1
 
Kutengeneza diplomasia na Kenya ni jambo la Msingi sana
Kumbuka Kenya ni kiungo muhimu sana hapa EA
Ni wajinga tu wachache wanaopinga hili
Hakuna anaepinga kuhusiana na kujenga uhusiano mzuri na Kenya. Concern ya wengi ni kuwa umakini mkubwa unahitajika sana kudeal na hawa watu. Historia ibaki kuwa mwalimu na mwongozo wetu.
 
Shida ya hawa majirani

Kenya hawanaga hiyo "win-win" ukilegea umeumia. Niseme tu pengine Magu alikuwa extreme kwenye maamuzi yake mengi lkn linapokuja swala la ku deal na Kenya JPM model ndio sahihi na nina wish SSH amentain hilo otherwise....
Tukitumia akili win win ipo. Wanatuhitaji sana, dunia ya sasa ni technology na akili.
 
Nimeshangaa sana. Sijui watu hawa wanaishi dunia gani kwakweli
Hiyo dunia yako ikoje, mbona huelezi unabaki tu "kushangaa"!

Hivyo ndivyo utakavyokabiriana na dunia yenye mapambano?
 
Kutengeneza diplomasia na Kenya ni jambo la Msingi sana
Kumbuka Kenya ni kiungo muhimu sana hapa EA
Ni wajinga tu wachache wanaopinga hili

Mkuu watu hawapingi ila wanasema kuwa waangalifu tuu...
Kenya hawaaminiki...
Ni wazungu tuu ndio wanawaamini wakenya!
Angalia Clip nimeituma kwa The boss,
Kwanza wana machungu mnoo kukosa Ujenzi wa Bomba la mafuta,
 
..Lets be honest.

..otherwise we will not address the problems that we have, and will not improve ourselves.
I cannot be more honest than I have always been on Kenya; they are not competitors, they are grabbers by any means necessary.
And what's worse, they are willing to be agents of forces from outside the region to sabotage their neighbors' efforts.

We have always improved ourselves up to this point, so what's new we should expect?
 
Kila mara huwa nasema shule yako ni very shallow
 
Mkuu watu hawapingi ila wanasema kuwa waangalifu tuu...
Kenya hawaaminiki...
Ni wazungu tuu ndio wanawaamini wakenya!
Angalia Clip nimeituma kwa The boss,
Kwanza wana machungu mnoo kukosa Ujenzi wa Bomba la mafuta,
Acha machungu ya bomba la mafuta, ni interest yao kuona mradi wa Bagamoyo port haufanikiwi, vilevile hawapendi kuona SGR ya kwetu inakamilika kwasababu ya soko la Rwanda, Burundi & DRC. Vipi unadhani wako happy na uwepo wa ATC mpya? Vipi bwawa la umeme likikamilika na kufanya gharama za uzalishaji mali kuwa chini na pengine tukapata FDI na kuifanya nchi kuwa kivutio cha wawekezaji wa nje? Kuna mengi ya kuya protect against hawa vouchers.
 
Bi mkubwa anapasha pasha muda si muda dege litaruka USA huko.
 
'In fact', wana hofu kubwa mno juu ya kuinuka kwa Tanzania.

Yote hayo uliyoyataja, na mengi zaidi yanayosubiri; kama mradi wa gesi ukikamilika Tanzania itakuwa ni tofauti sana na hii iliyopo sasa.

Ni viongozi wetu wakose tu akili, lakini hatuna lolote la kujitweza kwa Kenya.

Tatizo lao kubwa sasa ni kutaka kujiingiza kiaina ili wafaidike na miradi hiyo.

Kwa mfano, sasa wanajitambulisha kama "anchor nation", sijui wana'anchor' kitu gani kwa Tanzania!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…