Rais Samia kuingia na mlinzi wa kiume msikitini, ni jambo la kawaida. Tuache Mihemko isiyo na Tija

Ila nimegundua kelele za ushoga ni za kinafiki. Dume Zima linaingia na hijab na watu wanaunga mkono. Wabongo sio wa kuwaamini
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nyie mnanivunja mbavu aaah
 
Unaposema kawaida inalinganisha na wapi au nan

Pia watu hawashangai mwanaume kuingia msikitini ishi kwanini wamkikishe ? Ilihari wadada tunao wazur kiulinzi
 
Walatia ndio wanapata tabu , mpaka nashangaa na hawana elimu ya uislamu....Wanawake mule hawapo uchi .

Kule Mecca walinzi ni wakina sehemu zote?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kwa hili mkubali tyuu, kimewalambaaaa
 
[emoji3][emoji3], kwa hiyo kuvaa hijab ni kuchochea ushoga,

Mbona huko iran, Syria na mataifa mengine ya kigaidi wanaume huvaa hijab wanavyoenda kulipua sehem mbali mbali. Je nao ni mashoga [emoji848][emoji848]??
Ndyooo!!!
 
Tena wanazojitungia wenyewe?

Ila sa100 sasa kazidi maana kila analofanya linaonekana la ajabu akitoka nje ya nchi anafanya viroja akiwa ndani ya nchi anafanya viroja.
😬😬😬😬
 
Jisemee uache mihemko sio tuache.usitumie wingi wakati mwenye shida ni wewe.Watu hawajatumia mihemko ila wameona sio sawa na haikua na ulazima kuhadaa.
Mimi sina Mihemko yeyote ile.. Ila nyinyi naona mnakuza vitu ambavyo ni vya kawaida kabisa... Utafikiri huko msikitini huwa analala MUNGU
 
Sio mwanamume
 
Sasa si angeingia tu, hilo dela la nini? kumdanganya nani? Je tukihoji ndani ya dela mlimvalisha nn mtasema tunavuka mipaka?
. Ukimpata mhoji, Hakuna tabu kabisa..

. Kuingia au kutokuingua na dera/kanzu hakuna tatizo lolote lile mkuu
 
... Kwa hiyo, mpangilio wa ndani wa msikiti kuhusu maeneo ya wanawake na wanaume unaweza kutegemea mila, desturi, na mantiki za kiutawala za msikiti huo na siyo tamko la S. A. W.
Msikiti gani ambao haujawahi kufuata mila hii?
 
. Upo sahihi mkuu, dini ni kitu cha ziada tu kama mahitaji mengine....

. Kwa hiyo Rais anaweza kuingia mfumo wa ulinzi anaotaka au kupangwa na idara yake.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…