Rais Samia kukutana na Baba Mzazi wa Rihanna tunafaidika vipi kama Taifa?

Rais Samia kukutana na Baba Mzazi wa Rihanna tunafaidika vipi kama Taifa?

Wasalaam Mtanzania Mwenzangu!
Naomba uitikie
KILA KITU KITAPANDA BEI!

Nimepita mitandaoni kusoma taarifa mbalimbali zinazoendelea hapa Nchi na ulimwenguni kwa ujmla.
Na nisikatae kwa Juma moja saivi na siku kadhaa kumekua na taarifa inayosemwa sana mtandaoni ni Juu ya ROYAL TOUR!

Nikiwa napita nimepata kuona hii taarifa iliyoripotiwa kua Rais Wetu wa Nchi sio Rais wa TFF au Rais wa WCB, ni Rais wa Nchi amekutana na Baba Mzazi wa Rihanna na ikawa Reported as If ni kitu kilikua kwenye Plan za Mweshimiwa sa Najiuliza kama ilikua ni Plan za Mkuu kukutana Na mzee yule sisi Kama Taifa tunanufaika Vipi na haya Makutano yao?

Najiuliza Leo Rais KAGAME aje Hapa Tanzania akutane na MAMA DANGOTE kweli na iwe Taarifa huko Rwanda?

View attachment 2197267
Kila kitu mnataka mlipwe hela? Watanzania wazembe sana siku hizi.

Yaani mnamfuatilia Rais Samia kwa kila hatia anayopiga.
 
Kila kitu mnataka mlipwe hela? Watanzania wazembe sana siku hizi.

Yaani mnamfuatilia Rais Samia kwa kila hatia anayopiga.
Unajua anatumia hela za kina na nani katika safari zake asingekua Rais hakuta hata mmoja angemfuatilia ila yupo anasafiri kwa Fedha za watanzania kwahio tuna haki wakujua kila anachokifanya na kila anapopita kwa maslahi mapana ya nchi na kwa kizazi kijacho.
 
Lakini huko hakwenda kwa ajili ya mambo yake binafsi bali ameenda kwa mambo ya umma wa waTanzania ndio maana ameenda kwa Kodi zetu.....kwa hiyo kila alifanyalo lazima liakisi maslahi mapana ya umma............

Sasa swali linakuja kukutana na baba mzazi wa huyo binti taifa linanufaika vipi.....??
Kwa hiyo ulitaka asikutane naye? Usha ambiwa baba mzazi wa mwanamuziki huyo alihudhuria na alienda kutizama uzinduzi wa filamu halafu bado unauliza taifa linanufaika vip? Kwali walio enda kutizama filamu hapo wananufaika vp?

Hahahaaa rais wa ukenya kaja bongo kakutana na baba mzazi wa rich mavoko na kupiga naye picha 😅😅 ila sema tukio lenyewe ni social hivyo ni kawaida tu kukutuana na watu tofauti hapo.
 
Unajua anatumia hela za kina na nani katika safari zake asingekua Rais hakuta hata mmoja angemfuatilia ila yupo anasafiri kwa Fedha za watanzania kwahio tuna haki wakujua kila anachokifanya na kila anapopita kwa maslahi mapana ya nchi na kwa kizazi kijacho.
Unawez kukuta wewe unaye lalamika hapa wa sio mlipa kodi bali ni mkwep kodi
 
Wasalaam Mtanzania Mwenzangu!
Naomba uitikie
KILA KITU KITAPANDA BEI!

Nimepita mitandaoni kusoma taarifa mbalimbali zinazoendelea hapa Nchi na ulimwenguni kwa ujmla.
Na nisikatae kwa Juma moja saivi na siku kadhaa kumekua na taarifa inayosemwa sana mtandaoni ni Juu ya ROYAL TOUR!

Nikiwa napita nimepata kuona hii taarifa iliyoripotiwa kua Rais Wetu wa Nchi sio Rais wa TFF au Rais wa WCB, ni Rais wa Nchi amekutana na Baba Mzazi wa Rihanna na ikawa Reported as If ni kitu kilikua kwenye Plan za Mweshimiwa sa Najiuliza kama ilikua ni Plan za Mkuu kukutana Na mzee yule sisi Kama Taifa tunanufaika Vipi na haya Makutano yao?

Najiuliza Leo Rais KAGAME aje Hapa Tanzania akutane na MAMA DANGOTE kweli na iwe Taarifa huko Rwanda?

View attachment 2197267
Kwa maoni yangu kwa kuwa ameshika bendera ya taifa letu inaweza kuwa na maana kidogo.
 
Wasalaam Mtanzania Mwenzangu!
Naomba uitikie
KILA KITU KITAPANDA BEI!

Nimepita mitandaoni kusoma taarifa mbalimbali zinazoendelea hapa Nchi na ulimwenguni kwa ujmla.
Na nisikatae kwa Juma moja saivi na siku kadhaa kumekua na taarifa inayosemwa sana mtandaoni ni Juu ya ROYAL TOUR!

Nikiwa napita nimepata kuona hii taarifa iliyoripotiwa kua Rais Wetu wa Nchi sio Rais wa TFF au Rais wa WCB, ni Rais wa Nchi amekutana na Baba Mzazi wa Rihanna na ikawa Reported as If ni kitu kilikua kwenye Plan za Mweshimiwa sa Najiuliza kama ilikua ni Plan za Mkuu kukutana Na mzee yule sisi Kama Taifa tunanufaika Vipi na haya Makutano yao?

Najiuliza Leo Rais KAGAME aje Hapa Tanzania akutane na MAMA DANGOTE kweli na iwe Taarifa huko Rwanda?

View attachment 2197267
kama wewe unavyojisikia furaha unaopiga picha na mchezaji wa timu flan akija mkoani kwenu ndiyo faida yenyewe.
 
K
Shobo za watanzania kwani Raisi kawaomba mueneze habari zake kwenye thiedi zenu?
Wa rais kaenda huko kwa shida zake binafsi au kwa masilahi ya taifa lazima tupate update zote kwa sababu anatumia kodi zetu sisi wananchi.
 
Acheni ushamba. Mwanae ana hela ambazo anaweza kuja kuwekeza Tanzania, acha tuzisake.

Rihanna
Musician
$1.7B

Real Time Net Worth​

as of 4/23/22
#1748 in the world today

Photo by Robert Kamau/GC Images

  • Rihanna, Barbados' most famous export, is a billionaire thanks to the success of cosmetics line Fenty Beauty.
  • The cosmetics company, which she co-owns with French luxury retailer LVMH, generated more than $550 million in revenue in 2020.
  • Her stake in the fast-growing cosmetics company comprises the majority of her fortune.
  • She also has a 30% stake in the Savage x Fenty lingerie line, which raised money at a $1 billion valuation in February 2021.
  • Her high-fashion clothing line with LVMH-also called Fenty--didn't do well and halted operations in February 2021.


Rihanna
 
Wasalaam Mtanzania Mwenzangu!
Naomba uitikie
KILA KITU KITAPANDA BEI!

Nimepita mitandaoni kusoma taarifa mbalimbali zinazoendelea hapa Nchi na ulimwenguni kwa ujmla.
Na nisikatae kwa Juma moja saivi na siku kadhaa kumekua na taarifa inayosemwa sana mtandaoni ni Juu ya ROYAL TOUR!

Nikiwa napita nimepata kuona hii taarifa iliyoripotiwa kua Rais Wetu wa Nchi sio Rais wa TFF au Rais wa WCB, ni Rais wa Nchi amekutana na Baba Mzazi wa Rihanna na ikawa Reported as If ni kitu kilikua kwenye Plan za Mweshimiwa sa Najiuliza kama ilikua ni Plan za Mkuu kukutana Na mzee yule sisi Kama Taifa tunanufaika Vipi na haya Makutano yao?

Najiuliza Leo Rais KAGAME aje Hapa Tanzania akutane na MAMA DANGOTE kweli na iwe Taarifa huko Rwanda?

View attachment 2197267
Dah!Hii ni ya mwaka.Rihanna ni mtumishi wa Shetani kabisa,sasa how come Rais anakutana naye,ili iweje hasa,yeye ni nani?Kuna mengi yaliyojifisha nyuma ya pazia.Rais anajishushia hadhi sana frankly.Umoja Party come,and come quickly.
 
Acheni ushamba. Mwanae ana hela ambazo anaweza kuja kuwekeza Tanzania, acha tuzisake.

Rihanna
Musician
$1.7B

Real Time Net Worth​

as of 4/23/22
#1748 in the world today

Photo by Robert Kamau/GC Images

  • Rihanna, Barbados' most famous export, is a billionaire thanks to the success of cosmetics line Fenty Beauty.
  • The cosmetics company, which she co-owns with French luxury retailer LVMH, generated more than $550 million in revenue in 2020.
  • Her stake in the fast-growing cosmetics company comprises the majority of her fortune.
  • She also has a 30% stake in the Savage x Fenty lingerie line, which raised money at a $1 billion valuation in February 2021.
  • Her high-fashion clothing line with LVMH-also called Fenty--didn't do well and halted operations in February 2021.


Rihanna
Money,money ,money!Pesa zilimuuza Yesu,na sasa mnataka kuiuza nchi for money, shame on you.You are so evil kiasi kwamba hamjui hata kwamba kuna illicit money.So bankrupt morally.
 
Pengine kuna connection zitafanywa kwa wasanii wetu kupata fursa

wewe unataka akutane na World Bank na IMF pekee ?
 
Wasalaam Mtanzania Mwenzangu!
Naomba uitikie
KILA KITU KITAPANDA BEI!

Nimepita mitandaoni kusoma taarifa mbalimbali zinazoendelea hapa Nchi na ulimwenguni kwa ujmla.
Na nisikatae kwa Juma moja saivi na siku kadhaa kumekua na taarifa inayosemwa sana mtandaoni ni Juu ya ROYAL TOUR!

Nikiwa napita nimepata kuona hii taarifa iliyoripotiwa kua Rais Wetu wa Nchi sio Rais wa TFF au Rais wa WCB, ni Rais wa Nchi amekutana na Baba Mzazi wa Rihanna na ikawa Reported as If ni kitu kilikua kwenye Plan za Mweshimiwa sa Najiuliza kama ilikua ni Plan za Mkuu kukutana Na mzee yule sisi Kama Taifa tunanufaika Vipi na haya Makutano yao?

Najiuliza Leo Rais KAGAME aje Hapa Tanzania akutane na MAMA DANGOTE kweli na iwe Taarifa huko Rwanda?

View attachment 2197267
Comrade upeo wako usiishie Kolomije,hi habari ina letea Wamarekani wasioijua Tanzania sasa kuifahamu.
Utalii ndio inayoingiza fedha nyingi na kuajiri watu wengi kuliko migodi ya Geita na watalii wengi nchi hii wanatoka Marekani
 
Back
Top Bottom