Rais Samia kukutana na Baba Mzazi wa Rihanna tunafaidika vipi kama Taifa?

Rais Samia kukutana na Baba Mzazi wa Rihanna tunafaidika vipi kama Taifa?

Rihana ni Mtu maarufu sana Duniani. Rais hakwenda Marekani kukutana na Rihana wala Baba yake bali jukumu lililompeleka ni pamoja na Uzinduzi wa documentary ya Royal Tour yenye kutangaza vivutio ktk nchi yetu.
Kwa maoni yangu nadhani kukutana na Mtu yeyote maarufu ni jambo jema sana na sio tu Baba yake Rihana bali hata ingekuwa amekutana na Dada yake Rihana.

Kuhusu suala la kukutana na kupewa headlines na baadhi ya media sio issue kwasababu hata kuna matukio ya kawaida sana huu ya Marais wa nchi kubwa kama USA unakuta yanapewa headlines tena kwenye media kubwa tu

MTU YEYOTE ANAYEONA MBALI NA KUANGALIA NJE YA BOX ATAONA NI FAIDA RAIS WETU KUKUTANA NA WATU KAMA HAO.

Tatizo la sisi Tz asilimia kubwa akili zetu zitu zipo limited ndani ya Box, na ikitokea kufikiria nje ya Box tunaziongoza mind zetu KUTAFSIRI NEGATIVITY tu
 
Wasalaam Mtanzania Mwenzangu!
Naomba uitikie
KILA KITU KITAPANDA BEI!

Nimepita mitandaoni kusoma taarifa mbalimbali zinazoendelea hapa Nchi na ulimwenguni kwa ujmla.
Na nisikatae kwa Juma moja saivi na siku kadhaa kumekua na taarifa inayosemwa sana mtandaoni ni Juu ya ROYAL TOUR!

Nikiwa napita nimepata kuona hii taarifa iliyoripotiwa kua Rais Wetu wa Nchi sio Rais wa TFF au Rais wa WCB, ni Rais wa Nchi amekutana na Baba Mzazi wa Rihanna na ikawa Reported as If ni kitu kilikua kwenye Plan za Mweshimiwa sa Najiuliza kama ilikua ni Plan za Mkuu kukutana Na mzee yule sisi Kama Taifa tunanufaika Vipi na haya Makutano yao?

Najiuliza Leo Rais KAGAME aje Hapa Tanzania akutane na MAMA DANGOTE kweli na iwe Taarifa huko Rwanda?

View attachment 2197267
Kapeleka posa ya diamond
 
Private Life!
Naona sasa mtafikia hata hatua ya kuhoji atakapoonekana amebeba wajukuu zake mgongoni; "Rais wa Nchi anabebaje wajukuu mgongoni?
 
Wasalaam Mtanzania Mwenzangu!
Naomba uitikie
KILA KITU KITAPANDA BEI!

Nimepita mitandaoni kusoma taarifa mbalimbali zinazoendelea hapa Nchi na ulimwenguni kwa ujmla.
Na nisikatae kwa Juma moja saivi na siku kadhaa kumekua na taarifa inayosemwa sana mtandaoni ni Juu ya ROYAL TOUR!

Nikiwa napita nimepata kuona hii taarifa iliyoripotiwa kua Rais Wetu wa Nchi sio Rais wa TFF au Rais wa WCB, ni Rais wa Nchi amekutana na Baba Mzazi wa Rihanna na ikawa Reported as If ni kitu kilikua kwenye Plan za Mweshimiwa sa Najiuliza kama ilikua ni Plan za Mkuu kukutana Na mzee yule sisi Kama Taifa tunanufaika Vipi na haya Makutano yao?

Najiuliza Leo Rais KAGAME aje Hapa Tanzania akutane na MAMA DANGOTE kweli na iwe Taarifa huko Rwanda?

View attachment 2197267
Waliopinga asiapishwe waliliona hili mapema wacha tuupige mwingi.
 
Rihana ni Mtu maarufu sana Duniani. Rais hakwenda Marekani kukutana na Rihana wala Baba yake bali jukumu lililompeleka ni pamoja na Uzinduzi wa documentary ya Royal Tour yenye kutangaza vivutio ktk nchi yetu.
Kwa maoni yangu nadhani kukutana na Mtu yeyote maarufu ni jambo jema sana na sio tu Baba yake Rihana bali hata ingekuwa amekutana na Dada yake Rihana.

Kuhusu suala la kukutana na kupewa headlines na baadhi ya media sio issue kwasababu hata kuna matukio ya kawaida sana huu ya Marais wa nchi kubwa kama USA unakuta yanapewa headlines tena kwenye media kubwa tu

MTU YEYOTE ANAYEONA MBALI NA KUANGALIA NJE YA BOX ATAONA NI FAIDA RAIS WETU KUKUTANA NA WATU KAMA HAO.

Tatizo la sisi Tz asilimia kubwa akili zetu zitu zipo limited ndani ya Box, na ikitokea kufikiria nje ya Box tunaziongoza mind zetu KUTAFSIRI NEGATIVITY tu
Angekutana na lianna mwenyewe sawa angarau,sasa baba yake anaweza saidia nini nchi?
 
Wasalaam Mtanzania Mwenzangu!
Naomba uitikie
KILA KITU KITAPANDA BEI!

Nimepita mitandaoni kusoma taarifa mbalimbali zinazoendelea hapa Nchi na ulimwenguni kwa ujmla.
Na nisikatae kwa Juma moja saivi na siku kadhaa kumekua na taarifa inayosemwa sana mtandaoni ni Juu ya ROYAL TOUR!

Nikiwa napita nimepata kuona hii taarifa iliyoripotiwa kua Rais Wetu wa Nchi sio Rais wa TFF au Rais wa WCB, ni Rais wa Nchi amekutana na Baba Mzazi wa Rihanna na ikawa Reported as If ni kitu kilikua kwenye Plan za Mweshimiwa sa Najiuliza kama ilikua ni Plan za Mkuu kukutana Na mzee yule sisi Kama Taifa tunanufaika Vipi na haya Makutano yao?

Najiuliza Leo Rais KAGAME aje Hapa Tanzania akutane na MAMA DANGOTE kweli na iwe Taarifa huko Rwanda?

View attachment 2197267
Usikurupuke.
 
PKuna Rais mstaafu Mzee mmoja wa makamo alikwenda huko mara akaonekana kwenye mabembea, hatukukaa vizuri mara tukamwona kapiga picha na Boys II Men, 50 Cent na Steven Siegel na mpaka leo hatukupata faida yoyote

Kwa hiyo ulitaka asikutane naye? Usha ambiwa baba mzazi wa mwanamuziki huyo alihudhuria na alienda kutizama uzinduzi wa filamu halafu bado unauliza taifa linanufaika vip? Kwali walio enda kutizama filamu hapo wananufaika vp?

Hahahaaa rais wa ukenya kaja bongo kakutana na baba mzazi wa rich mavoko na kupiga naye picha 😅😅 ila sema tukio lenyewe ni social hivyo ni kawaida tu kukutuana na watu tofauti hapo.
Sawa
 
Vitu vingine havina hata haja ya kuviripoti. Ni aibu. Hii ni kupatwa kwa uRais!

Les Vasco da Gama (she)
 
Kwamba ukiwa Raisi hutakiwi kukutana na Watu wasio na faida kwa taifa? Kama ni rafiki yake je? Au ni shabiki wa Rihanna je?
Kuna maisha nje ya uongozi
Stress za maisha zimefanya waTZ kulia lia kila kitu. Mwishowe mtauliza hivi Raisi kula kwako kunalisaidia nini taifa
 
Wasalaam Mtanzania Mwenzangu!
Naomba uitikie
KILA KITU KITAPANDA BEI!

Nimepita mitandaoni kusoma taarifa mbalimbali zinazoendelea hapa Nchi na ulimwenguni kwa ujmla.
Na nisikatae kwa Juma moja saivi na siku kadhaa kumekua na taarifa inayosemwa sana mtandaoni ni Juu ya ROYAL TOUR!

Nikiwa napita nimepata kuona hii taarifa iliyoripotiwa kua Rais Wetu wa Nchi sio Rais wa TFF au Rais wa WCB, ni Rais wa Nchi amekutana na Baba Mzazi wa Rihanna na ikawa Reported as If ni kitu kilikua kwenye Plan za Mweshimiwa sa Najiuliza kama ilikua ni Plan za Mkuu kukutana Na mzee yule sisi Kama Taifa tunanufaika Vipi na haya Makutano yao?

Najiuliza Leo Rais KAGAME aje Hapa Tanzania akutane na MAMA DANGOTE kweli na iwe Taarifa huko Rwanda?

View attachment 2197267
Hujasikia Samia kaipeleka Bongo movie huko US?
 
Wasalaam Mtanzania Mwenzangu!
Naomba uitikie
KILA KITU KITAPANDA BEI!

Nimepita mitandaoni kusoma taarifa mbalimbali zinazoendelea hapa Nchi na ulimwenguni kwa ujmla.
Na nisikatae kwa Juma moja saivi na siku kadhaa kumekua na taarifa inayosemwa sana mtandaoni ni Juu ya ROYAL TOUR!

Nikiwa napita nimepata kuona hii taarifa iliyoripotiwa kua Rais Wetu wa Nchi sio Rais wa TFF au Rais wa WCB, ni Rais wa Nchi amekutana na Baba Mzazi wa Rihanna na ikawa Reported as If ni kitu kilikua kwenye Plan za Mweshimiwa sa Najiuliza kama ilikua ni Plan za Mkuu kukutana Na mzee yule sisi Kama Taifa tunanufaika Vipi na haya Makutano yao?

Najiuliza Leo Rais KAGAME aje Hapa Tanzania akutane na MAMA DANGOTE kweli na iwe Taarifa huko Rwanda?

View attachment 2197267
Upangaji wa rangi za bendera haujakaa vema.Bluu ikae wapi?
 
Awamu ya tano ilikuwa na washamba sanaile nyingine pia walienda kupiga picha akina Jay Z.

Na huyu anafauata ushauri toka juu
 
Hakuna faida kama taifa ila ni kielelezo cha namna gani tuna kiongozi au mtawala asiyejua kwanini yupo hapo alipo au hajali kwanini yupo hapo.........nchi yetu bado Ina safari ndefu sana kuelekea tunapotaka kwenda kama kweli tuna tunapotaka kwenda.........

Nchi ipo katika ombwe la kiutawala......
Huyu mnayemuita "mama" ni rimoti ya yule jamaa wa kule msoga, yule aliyekwenda kubembea Jamaica na kupiga picha na Boyz II Men kule Marekani. Actually, huu ni muhula wa tatu wa msoga
 
Back
Top Bottom