Yaani atuumize na matozo, kisha akateketeze fedha kwa kuzurura tukae kimya? Kama vipi atumie fedha zake binafsi.Kila kitu mnataka mlipwe hela? Watanzania wazembe sana siku hizi.
Yaani mnamfuatilia Rais Samia kwa kila hatia anayopiga.
Actually, hiyo bendera imeingizwa kwenye hako kamshikio juu_chini.Upangaji wa rangi za bendera haujakaa vema.Bluu ikae wapi?
😆😆😆😆NilishangaaKuna Rais mstaafu Mzee mmoja wa makamo alikwenda huko mara akaonekana kwenye mabembea, hatukukaa vizuri mara tukamwona kapiga picha na Boys II Men, 50 Cent na Steven Siegel na mpaka leo hatukupata faida yoyote
Yaah..waache kudanganya watu wawaeleze tu ukweli mana ndio wanachokifanya..hakuna mwanasiasa mwenye mapenzi ya kweli na wanachi ni Nyerere tu maybe kwa mbali JPM ila hawa wengine wote wapigaji tu.CCM wanapiga pesa za bure
Au mama diamond.Ni sawa na joh biden kuja Tz kukutana na 'uncle shamte'
Ogopa Mungu na tekinologia..ikowazi utawara wa zumaridi rimoti ipo mgaso..napita mulemule.Viongozi wa Afrika huwa wanaenda kushangaa Ulaya na kuuza sura[emoji16][emoji16][emoji16]
View attachment 2197544View attachment 2197546
Private life kwa pesa za walipa kodi..?Private Life!
Naona sasa mtafikia hata hatua ya kuhoji atakapoonekana amebeba wajukuu zake mgongoni; "Rais wa Nchi anabebaje wajukuu mgongoni?
Angeenda kwa muda wake na pesa zake binafsi!Rais pia ni binadamu kama wewe na mimi ana mambo yake binafsi tofauti hiyo nafasi ya urais
Ni majizi tupuYaah..waache kudanganya watu wawaeleze tu ukweli mana ndio wanachokifanya..hakuna mwanasiasa mwenye mapenzi ya kweli na wanachi ni Nyerere tu maybe kwa mbali JPM ila hawa wengine wote wapigaji tu.
#MaendeleoHayanaChama
[emoji38][emoji38][emoji38] Sichangii chochoteWasalaam Mtanzania Mwenzangu!
Naomba uitikie
KILA KITU KITAPANDA BEI!
Nimepita mitandaoni kusoma taarifa mbalimbali zinazoendelea hapa Nchi na ulimwenguni kwa ujmla.
Na nisikatae kwa Juma moja saivi na siku kadhaa kumekua na taarifa inayosemwa sana mtandaoni ni Juu ya ROYAL TOUR!
Nikiwa napita nimepata kuona hii taarifa iliyoripotiwa kua Rais Wetu wa Nchi sio Rais wa TFF au Rais wa WCB, ni Rais wa Nchi amekutana na Baba Mzazi wa Rihanna na ikawa Reported as If ni kitu kilikua kwenye Plan za Mweshimiwa sa Najiuliza kama ilikua ni Plan za Mkuu kukutana Na mzee yule sisi Kama Taifa tunanufaika Vipi na haya Makutano yao?
Najiuliza Leo Rais KAGAME aje Hapa Tanzania akutane na MAMA DANGOTE kweli na iwe Taarifa huko Rwanda?
View attachment 2197267
Kisa kodi za walipa kodi, ulitaka sasa awe anajifungia chumbani kwake tu hata katika muda ambao anakuwa hayuko kwenye official duties, kisa amesafiri kwa kodi za walipa kodi? Hulipi kodi peke yako, wote tunalipa kodiPrivate life kwa pesa za walipa kodi..?
#MaendeleoHayanaChama
Sasa kama ni ishu zake binafsi kwanini tunatangaziwa?Rais pia ni binadamu kama wewe na mimi ana mambo yake binafsi tofauti hiyo nafasi ya urais
Inawezekana mkuu maelezo yako yanaendana matendo ya nyakati za utawala huu......Huyu mnayemuita "mama" ni rimoti ya yule jamaa wa kule msoga, yule aliyekwenda kubembea Jamaica na kupiga picha na Boyz II Men kule Marekani. Actually, huu ni muhula wa tatu wa msoga