Rais Samia Kumhamishia Chalamila Dar es Salaam, Umelipokeaje?

Rais Samia Kumhamishia Chalamila Dar es Salaam, Umelipokeaje?

Usiku wakati tarehe 15 Mei 2023 ikielekea ukingoni Kurugenzi ya Mawasiliano ya Rais Ikulu iliachia "PDF" ya Mabadiliko ya Wakuu wa Mikoa ambapo wakuu wa mikoa minne waliguswa na mabadiliko aliyoyafanya Rais Samia Amos Gabriel Makalla amehamishiwa kuwa Mkuu wa Mkoa wa Mwanza akitoka Dar es Salaam, Adam Kighoma Malima amehamishiwa, Morogoro akitoka Mwanza, Bi Fatma Abubakar Mwassa amehamishiwa Kagera

Stori kubwa ni Mzee wa "kadansee", "mzee wa kuleni bia" Albert John Chalamila kuhamishiwa kuwa Mkuu wa Mkoa
wa Dar es Salaam akitokea Kagera.

Chalamila ana matukio mengi sana akiwa kwenye nafasi ya Mkuu wa Mkoa katika sehemu tofauti tofauti, vipi mwanajamvi unaouonaje uamuzi wa Rais Samia kumleta jijini Dar es Salaam, ataliweza jiji la Dar?
Makala ameshachemsha nahisi wanafuatilia uhusika wake kushindwa kuepusha mgomo wa wafanyabiashara Kariakoo

Ndani ya CCM ukiharibu unahamishiwa kwingine ukaharibu zaidi ndo wakuteme
 
Usiku wakati tarehe 15 Mei 2023 ikielekea ukingoni Kurugenzi ya Mawasiliano ya Rais Ikulu iliachia "PDF" ya Mabadiliko ya Wakuu wa Mikoa ambapo wakuu wa mikoa minne waliguswa na mabadiliko aliyoyafanya Rais Samia Amos Gabriel Makalla amehamishiwa kuwa Mkuu wa Mkoa wa Mwanza akitoka Dar es Salaam, Adam Kighoma Malima amehamishiwa, Morogoro akitoka Mwanza, Bi Fatma Abubakar Mwassa amehamishiwa Kagera

Stori kubwa ni Mzee wa "kadansee", "mzee wa kuleni bia" Albert John Chalamila kuhamishiwa kuwa Mkuu wa Mkoa
wa Dar es Salaam akitokea Kagera.

Chalamila ana matukio mengi sana akiwa kwenye nafasi ya Mkuu wa Mkoa katika sehemu tofauti tofauti, vipi mwanajamvi unaouonaje uamuzi wa Rais Samia kumleta jijini Dar es Salaam, ataliweza jiji la Dar?
Alichelewa kufanya hivyo
 
Kariakoo issue inaweza kuwa imechangia sababu kwa jana ilikuwa kama kapoteza yale mamlaka yake sababu mtu yoyote katika nafasi yoyote ikitokea siku watu unaowaongoza wakakukatalia maamuzi au maombi yake hadharani basi ni wakati wa ku step down sababu hautaweza tena kurudisha power, kimpira tunasema Manager kapoteza dressing room ndio yaliyomkuta jana, sio kwamba kiongozi mbaya ndio maana kapewa team nyingine nadhani uamuzi wa busara sana ili keshokutwa wakikutana Mkuu wa mkoa mpya atalibeba jukumu la maamuzi na hili mbele ya wafanya biashara kariakoo itaonekana kama mwanzo mpya. Good political move.
 
Usiku wakati tarehe 15 Mei 2023 ikielekea ukingoni Kurugenzi ya Mawasiliano ya Rais Ikulu iliachia "PDF" ya Mabadiliko ya Wakuu wa Mikoa ambapo wakuu wa mikoa minne waliguswa na mabadiliko aliyoyafanya Rais Samia Amos Gabriel Makalla amehamishiwa kuwa Mkuu wa Mkoa wa Mwanza akitoka Dar es Salaam, Adam Kighoma Malima amehamishiwa, Morogoro akitoka Mwanza, Bi Fatma Abubakar Mwassa amehamishiwa Kagera

Stori kubwa ni Mzee wa "kadansee", "mzee wa kuleni bia" Albert John Chalamila kuhamishiwa kuwa Mkuu wa Mkoa
wa Dar es Salaam akitokea Kagera.

Chalamila ana matukio mengi sana akiwa kwenye nafasi ya Mkuu wa Mkoa katika sehemu tofauti tofauti, vipi mwanajamvi unaouonaje uamuzi wa Rais Samia kumleta jijini Dar es Salaam, ataliweza jiji la Dar?
Kawaletea komediani
 
Kariakoo issue inaweza kuwa imechangia sababu kwa jana ilikuwa kama kapoteza yale mamlaka yake sababu mtu yoyote katika nafasi yoyote ikitokea siku watu unaowaongoza wakakukatalia maamuzi au maombi yake hadharani basi ni wakati wa ku step down sababu hautaweza tena kurudisha power, kimpira tunasema Manager kapoteza dressing room ndio yaliyomkuta jana, sio kwamba kiongozi mbaya ndio maana kapewa team nyingine nadhani uamuzi wa busara sana ili keshokutwa wakikutana Mkuu wa mkoa mpya atalibeba jukumu la maamuzi na hili mbele ya wafanya biashara kariakoo itaonekana kama mwanzo mpya. Good political move.
Exactly, unapowaambia watu nendeni Dodoma mkaongee na PM, nao wanakujibu hatuendi Dodoma PM ndie atufuate, hii maana yake Makala alishachemka.
 
Mwanza hakuna mkuu wa mkoa. Jamaa anakagua miradi usiku bila kujua je mradi unafanya kazi au taa zinawaka tuu
 
Sijawahi kumkubali Makala na style zake za kila sehemu akienda masoko yanaungua moto!
Watu wa Lango lango na Makoroboi waangalie sana!
Huyu jamaa sijui anatembeaga na moto au ndo style yake naye ya uongozi?!
Anyway kawazingua sana machinga na wafanyabiashara ndogo ndogo wa DSM.
 
Kuhusu Chalamila kuja Dsm, hapo mama kaupiga mwingi sana kwa kweli. Dsm inahitaji kiongozi "aliyechangamka" kama Chalamila.
Watu pamoja na mambo mengine, wanahitaji pia kufurahia jamani..
 
Samia anaenda kujiimarisha Kanda ya ziwa- Makalla ni mwanasiasa mwenye ushawishi ni kama anampeleka maandalizi ya uchaguzi
 
Chalamila anafaa, yule nikimtazama vizuri ana uchizi fulani unaofaa kuliongoza hili jiji, Dsm haimtaki kiongozi laini, inamtaka mtu msumbufu atakayeendana na usumbufu wa wakazi wa hili jiji.

Yule Makala issue ya Kariakoo ndio imemuondoa, wale wafanyabiashara walimmudu sana, na alitakiwa kupelekwa mikoa kama Rukwa huko isiyo na mambo mengi, lakini sio Mwanza, siku machinga wa Mwanza nao wakiamka watamuondosha ofisini.
Akizingua wamlete huku Katavi
 
Hili la Kariakoo ni mojawapo lakini Makala ana laana ya kupora ardhi za masikini. Huyu Makala acha aende tu. Mkuu wa mkoa unaunda "syndicate" ya kuwapora watu ardhi kwa kisingizio cha kuondoa wavamizi. Yaani huko Mabwe, Kinondo, Malolo, Mbopo na maeneo ya jirani kuna watu masikini waliporwa ardhi zao mchana kweupe. Badalla ya kuwashirikisha wananchi ili ajue nani mvamizi kwani wavamizi wanajulikana yeye akaunda genge lake pamoja akishirikiana na afisa ardhi Kinondoni nakuanza kupora ardhi za masikini tu matajiri wanawaacha. Hakika Mungu yupo na watu wake. Gondwe alihamishwa bado hakustuka mpaka yamemkuta.

Mama Samia chonde chonde bado Afisa ardhi Kinondoni na mkurugenzi wa manispaa ya Kinondnoni. Wote hao walishirikiana na Makala kuwapora ardhi masikini badala ya kutatua migogoro.
 
Kariakoo issue inaweza kuwa imechangia sababu kwa jana ilikuwa kama kapoteza yale mamlaka yake sababu mtu yoyote katika nafasi yoyote ikitokea siku watu unaowaongoza wakakukatalia maamuzi au maombi yake hadharani basi ni wakati wa ku step down sababu hautaweza tena kurudisha power, kimpira tunasema Manager kapoteza dressing room ndio yaliyomkuta jana, sio kwamba kiongozi mbaya ndio maana kapewa team nyingine nadhani uamuzi wa busara sana ili keshokutwa wakikutana Mkuu wa mkoa mpya atalibeba jukumu la maamuzi na hili mbele ya wafanya biashara kariakoo itaonekana kama mwanzo mpya. Good political move.
Good political move ! 50 % ya k/koo ni wakinga ataelewana nao bila shaka !!
 
Usiku wakati tarehe 15 Mei 2023 ikielekea ukingoni Kurugenzi ya Mawasiliano ya Rais Ikulu iliachia "PDF" ya Mabadiliko ya Wakuu wa Mikoa ambapo wakuu wa mikoa minne waliguswa na mabadiliko aliyoyafanya Rais Samia Amos Gabriel Makalla amehamishiwa kuwa Mkuu wa Mkoa wa Mwanza akitoka Dar es Salaam, Adam Kighoma Malima amehamishiwa, Morogoro akitoka Mwanza, Bi Fatma Abubakar Mwassa amehamishiwa Kagera

Stori kubwa ni Mzee wa "kadansee", "mzee wa kuleni bia" Albert John Chalamila kuhamishiwa kuwa Mkuu wa Mkoa
wa Dar es Salaam akitokea Kagera.

Chalamila ana matukio mengi sana akiwa kwenye nafasi ya Mkuu wa Mkoa katika sehemu tofauti tofauti, vipi mwanajamvi unaouonaje uamuzi wa Rais Samia kumleta jijini Dar es Salaam, ataliweza jiji la Dar?
 
Back
Top Bottom