Mdeke_Pileme
JF-Expert Member
- Aug 24, 2013
- 1,596
- 2,226
Chalamila hana mambo ya maigizo,, kama wakuu wa mikoa urembo.Karibu Dar Ila Jiji linataka busara Sana tofaut na hapo unaweza kuhamishiwa Lindi.
NB: Siku mbili tu ahadi kibao!
Chalamila:
Hasira kwa sana
Kazi kwa sana..
Bia ni uchumi 🤔🤔
Kama unaona hawezi hamia mkoa mwingine ukaishi huko...
Chalamila fwili ng'afu bhana