Rais Samia Kumhamishia Chalamila Dar es Salaam, Umelipokeaje?

Rais Samia Kumhamishia Chalamila Dar es Salaam, Umelipokeaje?

Hivi kwani ni lazima viongozi wa mikoa wawe hao hao hakuna watz wengine...tena very smart.
Unamtoa hapa unampeleka pale...upuuzi.
Katiba mpya ni muhimu sana
 
Usiku wakati tarehe 15 Mei 2023 ikielekea ukingoni Kurugenzi ya Mawasiliano ya Rais Ikulu iliachia "PDF" ya Mabadiliko ya Wakuu wa Mikoa ambapo wakuu wa mikoa minne waliguswa na mabadiliko aliyoyafanya Rais Samia Amos Gabriel Makalla amehamishiwa kuwa Mkuu wa Mkoa wa Mwanza akitoka Dar es Salaam, Adam Kighoma Malima amehamishiwa, Morogoro akitoka Mwanza, Bi Fatma Abubakar Mwassa amehamishiwa Kagera

Stori kubwa ni Mzee wa "kadansee", "mzee wa kuleni bia" Albert John Chalamila kuhamishiwa kuwa Mkuu wa Mkoa
wa Dar es Salaam akitokea Kagera.

Chalamila ana matukio mengi sana akiwa kwenye nafasi ya Mkuu wa Mkoa katika sehemu tofauti tofauti, vipi mwanajamvi unaouonaje uamuzi wa Rais Samia kumleta jijini Dar es Salaam, ataliweza jiji la Dar?
Mkuu wa mkoa sojui anajusikaje ,kama angemtengua mwigwulu hapo sawa
 
Karibu Dar Ila Jiji linataka busara Sana tofaut na hapo unaweza kuhamishiwa Lindi.
NB: Siku mbili ahadi kibao!

na ndivyo inavyoonekana huyu charamila hakufaa kuwa mkuu wa mkoa ni mtu hutoa matamko ya ovyo ni kinyume na maadili dar haiwezi kabisa labda mama amuonee aibu amuache
 
Mnamuonea Gere Magufuli Boys huyo!
Tunajua mmejaa vijiba moyoni juu yake!
Mlioshangilia siku qlipotumbuliwa ndio nyinyi masukunenke mnaopkerwa na Yeye kuendelea kupeta tofauyi na matarajio yenu.

Kaka yenu BM anawasalimu kutoka alipo kwa sasa!
 
Mnamuonea Gere Magufuli Boys huyo!
Tunajua mmejaa vijiba moyoni juu yake!
Mlioshangilia siku qlipotumbuliwa ndio nyinyi masukunenke mnaopkerwa na Yeye kuendelea kupeta tofauyi na matarajio yenu.

Kaka yenu BM anawasalimu kutoka alipo kwa sasa!
Wanyalu mmenyanyuka kwa hasira
 
Dar iliwahi kupata Naibu Mfalme Drama kila uchao (Wajane, yatima, USAFI kila Jumamosi, mashoga) kiko wapi Sasa hivi?
 
Back
Top Bottom