Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Mungu halali na hatalala mpaka tutakapopata tafsiri halisi Nani Mbwa anayebwekea maendeleo ya watu Watukufu wa Zanzibar. Kama ni Watanganyika, nawaonya Mbwa Wapumbavu acheni wivu.
 

Attachments

  • 20240822_175806.jpg
    61.5 KB · Views: 1
Wajuvi akina Paskal leo mlizungumzia kukosoa kwa kistaarabu bila kutukana, hebu tuuendeleze mjadala wetu kuanzia hapa, "kuna mbwa anabwekea maendeleo yetu".
Acha uongo kijana, hivi kwanini mnapenda kugeuza maneno ya mtu aliyosema na kuyatia maana yako tofauti ili kupotosha..!!

Ule ni mstari wa mwisho wa nyimbo ya free style ya Mwana FA alipoimba pale Kizimkazi kwa kuombwa just kuleta burudani kidogo pale katika sherehe tu, wala haina uhusiano kabisa na mambo ya kisiasa, ni nyimbo tu, acha uongo wewe..!
 
Mungu halali na hatalala mpaka tutakapopata tafsiri halisi Nani Mbwa anayebwekea maendeleo ya watu Watukufu wa Zanzibar. Kama ni Watanganyika, nawaonya Mbwa Wapumbavu acheni wivu.
Zazibar ni sehemu ya Tanzania kuonea wivu maendeleo ya zazibar ni kua kama mbwa asie jua anacho bwekea.
 
Mungu halali na hatalala mpaka tutakapopata tafsiri halisi Nani Mbwa anayebwekea maendeleo ya watu Watukufu wa Zanzibar. Kama ni Watanganyika, nawaonya Mbwa Wapumbavu acheni wivu.
Wapo wengi tuu huko kwenye chama saccos
 
mkaee kimyaa mama kachafukwa mbayaaaaaaaaa
 
Mbwa wamejaa kwenye ile saccos 😂😂😂
 
,wakati kichwa cha uzi kinasema mkosoo bila matusi?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…