- Thread starter
- #161
Leo ni zsmu yako kuniita mbwa ila siku nikimuita mama yako mbwa koko usikasirike.Wewe mbwa wa saccos unaongea nini?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Leo ni zsmu yako kuniita mbwa ila siku nikimuita mama yako mbwa koko usikasirike.Wewe mbwa wa saccos unaongea nini?
Mbwa Kwa Sasa wanajulikana tena ni wale mbwa machokoraa 😂😂Leo ni zsmu yako kuniita mbwa ila siku nikimuita mama yako mbwa koko usikasirike.
MwanaFA kataja maendeleo au kataja Ndege? Kwa nini unasema watu wanageuza maneno wakati Bi Chura Kiziwi ndo kaanza kugeuza maneno ya FA?Acha uongo kijana, hivi kwanini mnapenda kugeuza maneno ya mtu aliyosema na kuyatia maana yako tofauti ili kupotosha..!!
Ule ni mstari wa mwisho wa nyimbo ya free style ya Mwana FA alipoimba pale Kizimkazi kwa kuombwa just kuleta burudani kidogo pale katika sherehe tu, wala haina uhusiano kabisa na mambo ya kisiasa, ni nyimbo tu, acha uongo wewe..!! Nyoko kabisa
.Rais Samia alitoa kauli hiyo wakati alipo muomba Naibu waziri wa Sanaa na michezo maarufu kama Mwana Fa kuimba mashairi wakati akitaka kuanza kuongea na wana Zanzibar katika uzinduzi wa Suluhu Sports Club.
katika sehemu aliyoimba Mwana FA ambaye ni Naibu Waziri wa Sanaa na Michezo alisema "mbwa mpumbavu ndiyo anaweza bwekea ndege". Baada ya hapo Rais Samia ndiyo akaongezea kusema Kuna Mbwa Mpumbavu anabwekea maendeleo yetu.
Uko sahihi kabisa!Hii ni dalili ya kuzidiwa na mambo na kukata tamaa.
Eeeehh....ati??,Watanganyika wamefikia kuitwa mbwa wapumbavu?! Kweli?!!!
Unataka kutuambia mwana FA aliimba ‘kuna mbwa wapumbavu wanabwekea maendeleo yetu’? Kila mtu kasikia Samia ndiye aliyetamka tena kwa kukazia.Acha uongo kijana, hivi kwanini mnapenda kugeuza maneno ya mtu aliyosema na kuyatia maana yako tofauti ili kupotosha..!!
Ule ni mstari wa mwisho wa nyimbo ya free style ya Mwana FA alipoimba pale Kizimkazi kwa kuombwa just kuleta burudani kidogo pale katika sherehe tu, wala haina uhusiano kabisa na mambo ya kisiasa, ni nyimbo tu, acha uongo wewe..!! Nyoko kabisa
Teh teh teh 😃 😃 noma sanaHii ni dalili ya kuzidiwa na mambo na kukata tamaa.
Kilicho baki kwa huyu Mama ni kuiuza Tanganyika na mipasho tuu.Rais Samia alitoa kauli hiyo wakati alipo muomba Naibu waziri wa Sanaa na michezo maarufu kama Mwana Fa kuimba mashairi wakati akitaka kuanza kuongea na wana Zanzibar katika uzinduzi wa Suluhu Sports Club.
katika sehemu aliyoimba Mwana FA ambaye ni Naibu Waziri wa Sanaa na Michezo alisema "mbwa mpumbavu ndiyo anaweza bwekea ndege". Baada ya hapo Rais Samia ndiyo akaongezea kusema Kuna Mbwa Mpumbavu anabwekea maendeleo yetu.
Hii kitu kuna ulazima wa kuweka kwenye katiba hakika.There's an urgent need to make psychology check up a mandatory constitutional requirement for Presidential candidates.
Hatoboi 2025.Samia yupo sana mpaka 2030, ceteris paribus.
Hii nchi wangeichukua akina Bashiru Ally au Job Ndugai kama walivyotaka kabla Mabeyo CDF hajaongilia kati, saa hizi tungekuwa na shida kubwa.
Acha uongo kijana, hivi kwanini mnapenda kugeuza maneno ya mtu aliyosema na kuyatia maana yako tofauti ili kupotosha..!!
Ule ni mstari wa mwisho wa nyimbo ya free style ya Mwana FA alipoimba pale Kizimkazi kwa kuombwa just kuleta burudani kidogo pale katika sherehe tu, wala haina uhusiano kabisa na mambo ya kisiasa, ni nyimbo tu, acha uongo wewe.
Daaaah!!!Acha uongo kijana, hivi kwanini mnapenda kugeuza maneno ya mtu aliyosema na kuyatia maana yako tofauti ili kupotosha..!!
Ule ni mstari wa mwisho wa nyimbo ya free style ya Mwana FA alipoimba pale Kizimkazi kwa kuombwa just kuleta burudani kidogo pale katika sherehe tu, wala haina uhusiano kabisa na mambo ya kisiasa, ni nyimbo tu, acha uongo wewe.
Sasa utashangaa yaani Chura anamtishiq mbwa? Chura huyu si kiziwi tu bali ni mpumbavu.Inaweza kuwa kweli amejuaje kuna mbwa wanabweka.
Mkuu, tungekuwa na shida kivipi? ebu fafanua kwa manuufaa ya UMAASamia yupo sana mpaka 2030, ceteris paribus.
Hii nchi wangeichukua akina Bashiru Ally au Job Ndugai kama walivyotaka kabla Mabeyo CDF hajaongilia kati, saa hizi tungekuwa na shida kubwa.
Mwambie mama kuna mbwa kaanza kubweka NgorongoroMbwa Kwa Sasa wanajulikana tena ni wale mbwa machokoraa 😂😂