Raisi Samia alipaswa kuteua timu yake ya kumshauri masuala yake yeye mwenyewe binafsi yaani "Personally".
Hivi ndivyo wafanyavyo viongozi wengi wenye nia njema na nchi zao.
Kuna watu hadi wanasaikolojia ambao humshauri kiongozi pale penye matatizo yanohitaji akili kuchambua kwa makini masuala mazito kabla ya kuja na uamuzi.
Timu ya washauri binafsi ambao si lazima wawe kwenye payroll ya serikali.
Hivyo, badala ya kumteua profesa Mwandosya kwenda EWURA kula pensheni ni bora awe mshauri wako wa karibu umlipe kama "private consultant or adviser" kuliko kwenda EWURA kuzuia nafasi kwa vijana.
NB
Naomba nitofautishe wasaidizi na washauri wa raisi ni watu tofauti.