Rais Samia: Kuna vijineno Serikalini hakuna hela, ni kweli…

Ttzo mnajadili kishabiki na sio kisomi
Ebu achieni wasomi na wajuzi wa mambo wajadili
 
Nani kakuambia kuwa kuna mfanyakazi wa serikali hajalipwa mwezi huu,au tarehe anayolipwa imepitiliza?
 
kuna yale ya mama anaupiga mwingi kwan yanasemaje.
 
Matrilioni yanakopwa na matrilioni yanakisanywa bado hatuna fedha.

Kuna mahali mapanya yameshatoboa mfuko haujai.
 
Wamefuja oesa zoooteee,wamejenga ma mijengo ya kutisha wamekula bata weee maskini sieeee
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…