Crimea
JF-Expert Member
- Mar 25, 2014
- 25,874
- 36,030
Samia kakopa til. 30 ndani ya mwaka mmoja..Mbona Jiwe ndiye chanzo cha madeni haya na hakuwahi kumuonya?
Usiwe na mavi kichwani
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Samia kakopa til. 30 ndani ya mwaka mmoja..Mbona Jiwe ndiye chanzo cha madeni haya na hakuwahi kumuonya?
So hiyo tril 4 inatokea wapi?TRA inakusanya karibu tril 2. Mishahara haizidi .6 tril.
Kwa hesabu hizi, HAIWEZEKANI serikali ishindwe kulipa mishahara...
Yule mwingine mlizulia uchuro hivyo hivyo hadi Mungu akakasirika na kumchukua. Mmeanza tena. Kesho tena tuambiwe anawasalimu yupo ofisini anachapa kazi[emoji24][emoji24]Tulia uandike vzr ueleweke
Ila kwa taarifa yako tu yupo ad 2030
Hiyo hesabu kwa mwaka au mwezi, iweke vizur hio hesabu mkuuTRA inakusanya karibu tril 2. Mishahara haizidi .6 tril.
Kwa hesabu hizi, HAIWEZEKANI serikali ishindwe kulipa mishahara...
huko kote mbali sana,kwa madudu anayofanya mwakani tu nchi inamshinda na ndipo hapo wananchi tutakapoingia barabarani kwa hasiraTulia uandike vzr ueleweke
Ila kwa taarifa yako tu yupo ad 2030
Sasa kama mimi ni takataka wewe utakuwa nani?Wewe ni takataka
Kani kauli ya atake asitake tutamwongezea muda aliitoa naada ba kuonya kuhusu ukopaji? Pale hakuna kituUdhaifu wa Ndugai umeonekana tu mara baada ya kuonya juu ya ukopaji wa fedha nje uliokithiri?
Nafuu mara 10Jeshi likikuongoza ndio halifanyi ufisadi?
Jeshi ndio litakuletea Maendeleo?
Kwani hata Sasa Pesa za miradi ya jeshi huwa unakagua wewe?
Umewahi kumuona Mwanajeshi wa Ngazi ya Juu Ni maskini?
Jeshi likishika ndio itakuwa mwisho kuhoji huwezi na huna Cha kuwafanya.
Kaulize Sudan, Egypt,Mali,Bukinafaso nk nk
Huyu Mwamba ni malema wa SATumekopa sana na tumejenga sana sijui anasema amejenga nini[emoji116][emoji116][emoji116][emoji116]View attachment 2454351
Hata hujielewi kabisaHaya maandishi nidebe tupu hakuna lolote acheni viongozi wafanye kazi zao
Mkipewa Uhuru wakuongea mnajifanya mnaona mkinyimwa Uhuru mnaanza mapambio ooh mala hivi mala vile acheni unafiki kama hawafanyi vizuri muandamane
Umekata tamaa ya maishaNafuu mara 10
Kuna mama alisema hata kwenye maisha yetu ya kawaida unaweza kukopa kutoka kikoba kimoja unalipa kikoba kingine,nadhani serikali ya ccm ilisikia ushauri huu wanakopa kulipa madeni,iendelee kunyesha tujue panapovuja.Ngumi ya kichogo. Tunakopa kulipa mkopo. Bagosha
Kakudanganya nani!?..wazazi wangu walikua watumishi wa umma enzi za mwinyi,ingetokea wamekaa miezi mitatu bila mshahara tungekufa njaa,wakati wa kikwete nilikua mtu mzima,mishahara ya watumishi wa umma hutoka hazina,halmashauri gani ilikopa kwa tajiri kulipa waajiriwa!?..acheni uwongo nyie watuWatu wanasimulia kuwa enzi za Mwinyi wafanyakazi walikuwa wakicheleweshewa mishahara hata kwa miezi 3. Ikafika mahali wafanyakazi wengi wakaacha kazi, maana mtaani kulikuwa na hela usipime.
Awamu ya Kikwete halmashauri nyingi Sana zilikuwa zinakopa fedha toka kwa matajiri ili kulipa mishahara. Halafu hao matajiri wanapewa tenda za ujenzi wa miradi ya serikali ktk halmashauri husika.
Awamu hii ya sita mwelekeo ni huo huo!
Hawa marais wema hawa wanaoishi sana. Kulikoni?