Rais Samia kushinda uchaguzi ujao kwa Asilimia 86% kihalali Uchaguzi ujao 2025

Yaani Tayari Unatengeneza Mazingira Upate Teuzi
 
Mbowe atakuwa bado jela?

Tume na Polisi watakuwa bado ni wale wale?
 
Nakubali sana fedel casto akili kubwa
 
Watu hiwa wanakaa sijui wanawaza nini tu?? [emoji848][emoji848][emoji848]
 
Hizo 86% mbona kama chache sana. Take it from me. Wakisimamia tena waalimu atashinda kwa 130%.
 
Wacha nikae kimya nisje pigwa burn bure ila Mreta mada hujui ulisemalo juha wewe
 
Mbona ndogo sana hizo,si chini ya 98.5%
 
Mshapanga kabisa na asilimia za kuiba sio!!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…