Rais Samia kushinda uchaguzi ujao kwa Asilimia 86% kihalali Uchaguzi ujao 2025

Rais Samia kushinda uchaguzi ujao kwa Asilimia 86% kihalali Uchaguzi ujao 2025

Hadi sasa umaarufu wa Rais Samia unazidi kuongezeka ndani na nje ya nchi. Vijana, wasomi, wakulima na wafanyabiashara wanazidi kumuelewa Rais Samia na wanaona unafuu mkubwa wa maisha tangu Rais Samia kushika Madaraka Mwezi March mwaka huu.

Hivyo hakuna wa kumzuia Rais Samia katika uchaguzi ujao.

Uchaguzi ujao Rais Samia atashinda asilimia 86% kihalali sababu ni kuwa kila mtanzania atakua na hela. Biashara zitakuwa zimechangamka, viwanda sio vyerehani nasema viwanda vitakuwa nchi nzima vijana watapata ajira, watumishi watapata nyongeza za mshahara, sekta binafsi itakuwa imeimarika zaidi na zaidi.

Pia hakuna mpinzani ndani na nje ya chama wa kushindaniwa na Rais Samia. Nawek rekodi sawa mwaka 2025 sio mbali.

Rais Samia
#KAZI IENDELEE
Magufuli ilikuwa atawale hadi 2040 leo hii yuko wapi?

Sent from my Nokia 5.1 Plus using JamiiForums mobile app
 
Hadi sasa umaarufu wa Rais Samia unazidi kuongezeka ndani na nje ya nchi. Vijana, wasomi, wakulima na wafanyabiashara wanazidi kumuelewa Rais Samia na wanaona unafuu mkubwa wa maisha tangu Rais Samia kushika Madaraka Mwezi March mwaka huu.

Hivyo hakuna wa kumzuia Rais Samia katika uchaguzi ujao.

Uchaguzi ujao Rais Samia atashinda asilimia 86% kihalali sababu ni kuwa kila mtanzania atakua na hela. Biashara zitakuwa zimechangamka, viwanda sio vyerehani nasema viwanda vitakuwa nchi nzima vijana watapata ajira, watumishi watapata nyongeza za mshahara, sekta binafsi itakuwa imeimarika zaidi na zaidi.

Pia hakuna mpinzani ndani na nje ya chama wa kushindaniwa na Rais Samia. Nawek rekodi sawa mwaka 2025 sio mbali.

Rais Samia
#KAZI IENDELEE

Hadi sasa umaarufu wa Rais Samia unazidi kuongezeka ndani na nje ya nchi. Vijana, wasomi, wakulima na wafanyabiashara wanazidi kumuelewa Rais Samia na wanaona unafuu mkubwa wa maisha tangu Rais Samia kushika Madaraka Mwezi March mwaka huu.

Hivyo hakuna wa kumzuia Rais Samia katika uchaguzi ujao.

Uchaguzi ujao Rais Samia atashinda asilimia 86% kihalali sababu ni kuwa kila mtanzania atakua na hela. Biashara zitakuwa zimechangamka, viwanda sio vyerehani nasema viwanda vitakuwa nchi nzima vijana watapata ajira, watumishi watapata nyongeza za mshahara, sekta binafsi itakuwa imeimarika zaidi na zaidi.

Pia hakuna mpinzani ndani na nje ya chama wa kushindaniwa na Rais Samia. Nawek rekodi sawa mwaka 2025 sio mbali.

Rais Samia
#KAZI IENDELEE
Aende akagombee kwao Zanzibar, Watanganyika walio wengi hatumuitaji,haende akawarembulie Wazanzibar wenzake huko
 
Hadi sasa umaarufu wa Rais Samia unazidi kuongezeka ndani na nje ya nchi. Vijana, wasomi, wakulima na wafanyabiashara wanazidi kumuelewa Rais Samia na wanaona unafuu mkubwa wa maisha tangu Rais Samia kushika Madaraka Mwezi March mwaka huu.

Hivyo hakuna wa kumzuia Rais Samia katika uchaguzi ujao.

Uchaguzi ujao Rais Samia atashinda asilimia 86% kihalali sababu ni kuwa kila mtanzania atakua na hela. Biashara zitakuwa zimechangamka, viwanda sio vyerehani nasema viwanda vitakuwa nchi nzima vijana watapata ajira, watumishi watapata nyongeza za mshahara, sekta binafsi itakuwa imeimarika zaidi na zaidi.

Pia hakuna mpinzani ndani na nje ya chama wa kushindaniwa na Rais Samia. Nawek rekodi sawa mwaka 2025 sio mbali.

Rais Samia
#KAZI IENDELEE
Binafsi hapati kura yangu
 
We bake na njaa Rais atashinda uchaguzi
Atashinda Palefu sana
Atashinda zaidi.kwani vyama pinzani sivimegoma kutoshiriki uchaguzi kama ambavyo wamemgomea msajili wa vyama.
 
"Uchaguzi ujao Rais Samia atashinda asilimia 86% kihalali sababu ni kuwa kila mtanzania atakua na hela."

Upuuzi huu.
 
Hadi sasa umaarufu wa Rais Samia unazidi kuongezeka ndani na nje ya nchi. Vijana, wasomi, wakulima na wafanyabiashara wanazidi kumuelewa Rais Samia na wanaona unafuu mkubwa wa maisha tangu Rais Samia kushika Madaraka Mwezi March mwaka huu.

Hivyo hakuna wa kumzuia Rais Samia katika uchaguzi ujao.

Uchaguzi ujao Rais Samia atashinda asilimia 86% kihalali sababu ni kuwa kila mtanzania atakua na hela. Biashara zitakuwa zimechangamka, viwanda sio vyerehani nasema viwanda vitakuwa nchi nzima vijana watapata ajira, watumishi watapata nyongeza za mshahara, sekta binafsi itakuwa imeimarika zaidi na zaidi.

Pia hakuna mpinzani ndani na nje ya chama wa kushindaniwa na Rais Samia. Nawek rekodi sawa mwaka 2025 sio mbali.

Rais Samia
#KAZI IENDELEE
Hiyo slogan ya kazi iendelee ni mbaya mno. Yaani watu wameshaihusisha na rushwa, uzembe na ubadhirifu serikalini. Yaani kazi iendelee ni ile ya JK. Mama alikosea sana tena sana kuachana na hapa kazi tu. Yaani bora angeacha hapa kazi tu watu wangemuelewa. Lakini kwa sasa anachukiwa SANA mitaani yaani kila sehemu watu wana msonya. Tumuombee Mungu apite NEC, ila hali ya mitaani kwake ni NGUMU sana.
 
Hiyo slogan ya kazi iendelee ni mbaya mno. Yaani watu wameshaihusisha na rushwa, uzembe na ubadhirifu serikalini. Yaani kazi iendelee ni ile ya JK. Mama alikosea sana tena sana kuachana na hapa kazi tu. Yaani bora angeacha hapa kazi tu watu wangemuelewa. Lakini kwa sasa anachukiwa SANA mitaani yaani kila sehemu watu wana msonya. Tumuombee Mungu apite NEC, ila hali ya mitaani kwake ni NGUMU sana.
We muongo
 
Aondoe vikwazo vya Demokrasia watanzania wawe na Uhuru wa kuchaguliwa na kuchaguliwa kwa misingi ya haki
 
Hadi sasa umaarufu wa Rais Samia unazidi kuongezeka ndani na nje ya nchi. Vijana, wasomi, wakulima na wafanyabiashara wanazidi kumuelewa Rais Samia na wanaona unafuu mkubwa wa maisha tangu Rais Samia kushika Madaraka Mwezi March mwaka huu.

Hivyo hakuna wa kumzuia Rais Samia katika uchaguzi ujao.

Uchaguzi ujao Rais Samia atashinda asilimia 86% kihalali sababu ni kuwa kila mtanzania atakua na hela. Biashara zitakuwa zimechangamka, viwanda sio vyerehani nasema viwanda vitakuwa nchi nzima vijana watapata ajira, watumishi watapata nyongeza za mshahara, sekta binafsi itakuwa imeimarika zaidi na zaidi.

Pia hakuna mpinzani ndani na nje ya chama wa kushindaniwa na Rais Samia. Nawek rekodi sawa mwaka 2025 sio mbali.

Rais Samia
#KAZI IENDELEE
Kazi iendelee tukutane 2025 Samia mitano Tena....
 
Back
Top Bottom