Rais Samia kushinda uchaguzi ujao kwa Asilimia 86% kihalali Uchaguzi ujao 2025

Rais Samia kushinda uchaguzi ujao kwa Asilimia 86% kihalali Uchaguzi ujao 2025

Ndugu,
Yaonekana kabisa kama wewe ndio bado umebaki wajifanya hujui vizuri.
Kwa Tume ya Uchaguzi na Katiba iliyopo; CCM haihitaji kupata kura za mtu yeyote hata ya kwako ili 'kushinda'. Hata kama watu 'wote' hamtaenda kupiga kura, wao kupitia maDED, NEC na vyombo vya dola watapanga na kupata ushindi kwa jinsi wanavyoutaka.
Mkuu, wengi huwa wanajitoa ufahamu, kwa kujifanya kusahau hiki ulichokieleza.
Uhalisia, hawa jamaa waaalaaaa hawahitaji kura zetu ili washinde uchaguzi!
 
Hadi sasa umaarufu wa Rais Samia unazidi kuongezeka ndani na nje ya nchi. Vijana, wasomi, wakulima na wafanyabiashara wanazidi kumuelewa Rais Samia na wanaona unafuu mkubwa wa maisha tangu Rais Samia kushika Madaraka Mwezi March mwaka huu.

Hivyo hakuna wa kumzuia Rais Samia katika uchaguzi ujao.

Uchaguzi ujao Rais Samia atashinda asilimia 86% kihalali sababu ni kuwa kila mtanzania atakua na hela. Biashara zitakuwa zimechangamka, viwanda sio vyerehani nasema viwanda vitakuwa nchi nzima vijana watapata ajira, watumishi watapata nyongeza za mshahara, sekta binafsi itakuwa imeimarika zaidi na zaidi.

Pia hakuna mpinzani ndani na nje ya chama wa kushindaniwa na Rais Samia. Nawek rekodi sawa mwaka 2025 sio mbali.

Rais Samia
#KAZI IENDELEE
Kwa utafiti wa REDET na kwa tume ya uchaguzi iliyopo ni sawa
 
Ushindi wa haki ushundi wa kishindo
Zama za CCM kushinda kihalali zimeshipita. Na bila tume huru ya uchaguzi hakuna mtu mwenye akili timamu atashiriki huu upuuzi uitwao uchaguzi.
 
Hadi sasa umaarufu wa Rais Samia unazidi kuongezeka ndani na nje ya nchi. Vijana, wasomi, wakulima na wafanyabiashara wanazidi kumuelewa Rais Samia na wanaona unafuu mkubwa wa maisha tangu Rais Samia kushika Madaraka Mwezi March mwaka huu.

Hivyo hakuna wa kumzuia Rais Samia katika uchaguzi ujao.

Uchaguzi ujao Rais Samia atashinda asilimia 86% kihalali sababu ni kuwa kila mtanzania atakua na hela. Biashara zitakuwa zimechangamka, viwanda sio vyerehani nasema viwanda vitakuwa nchi nzima vijana watapata ajira, watumishi watapata nyongeza za mshahara, sekta binafsi itakuwa imeimarika zaidi na zaidi.

Pia hakuna mpinzani ndani na nje ya chama wa kushindaniwa na Rais Samia. Nawek rekodi sawa mwaka 2025 sio mbali.

Rais Samia
#KAZI IENDELEE
Samia = Gorbachev. Ataivunja CCM na Muungano. Mtaniambia.
 
Mods naomba uzi uuu muunganisha Kule juu ni dublication post
 
CCM mlipofikia ni kama mmechanganyikiwa [emoji23][emoji23][emoji23]
Unawaza na kuongea vitu vya kusadikika hadi huruma [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Hadi sasa umaarufu wa Rais Samia unazidi kuongezeka ndani na nje ya nchi. Vijana, wasomi, wakulima na wafanyabiashara wanazidi kumuelewa Rais Samia na wanaona unafuu mkubwa wa maisha tangu Rais Samia kushika Madaraka Mwezi March mwaka huu.

Hivyo hakuna wa kumzuia Rais Samia katika uchaguzi ujao.

Uchaguzi ujao Rais Samia atashinda asilimia 86% kihalali sababu ni kuwa kila mtanzania atakua na hela. Biashara zitakuwa zimechangamka, viwanda sio vyerehani nasema viwanda vitakuwa nchi nzima vijana watapata ajira, watumishi watapata nyongeza za mshahara, sekta binafsi itakuwa imeimarika zaidi na zaidi.

Pia hakuna mpinzani ndani na nje ya chama wa kushindaniwa na Rais Samia. Nawek rekodi sawa mwaka 2025 sio mbali.

Rais Samia
#KAZI IENDELEE
Kumtoa incumbent president madarakani inabidi kutumia mbinu za ziada. na watu kujitoa sadaka. Hatuna aina hiyo ya wanasiasa Tanzania
 
Kumtoa incumbent president madarakani inabidi kutumia mbinu za ziada. na watu kujitoa sadaka. Hatuna aina hiyo ya wanasiasa Tanzania
Mumtoe ili iweje
Ili uwe wewe Rais Sasa
 
Back
Top Bottom