Rais Samia kushinda uchaguzi ujao kwa Asilimia 86% kihalali Uchaguzi ujao 2025

Atashinda kupitia TISS na Polisi ndo sanduku lao la kura.
 
Wewe kapuku una mamlaka gani ya kusema hivyo? Unaifahamu kesi iliyofunguliwa na wanaharakati kupinga wakurugenzi kuwa wasimamizi wa uchaguzi?
Mtachagua wenyewe
 
Mmeanza kuhamasisha kuiba kura, mnanza hivi hivi, mwisho ushindi lazima, mara hamna Mungu akipenda, ni kutwaa tu! Acheni kutupa presha!
 
Acheni kufuru hizi. Msitafute bifu na Rabana.
 
Wanawake mnaoneana wivu
Huyu ni Rais sio mwanamke ke***ne wewe
 
Endelea tu kumchuria

Sent from my Nokia 5.1 Plus using JamiiForums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…