Rais Samia kushinda uchaguzi ujao kwa Asilimia 86% kihalali Uchaguzi ujao 2025

Mkuu, wengi huwa wanajitoa ufahamu, kwa kujifanya kusahau hiki ulichokieleza.
Uhalisia, hawa jamaa waaalaaaa hawahitaji kura zetu ili washinde uchaguzi!
 
Kwa utafiti wa REDET na kwa tume ya uchaguzi iliyopo ni sawa
 
Ushindi wa haki ushundi wa kishindo
Zama za CCM kushinda kihalali zimeshipita. Na bila tume huru ya uchaguzi hakuna mtu mwenye akili timamu atashiriki huu upuuzi uitwao uchaguzi.
 
Samia = Gorbachev. Ataivunja CCM na Muungano. Mtaniambia.
 
Mods naomba uzi uuu muunganisha Kule juu ni dublication post
 
CCM mlipofikia ni kama mmechanganyikiwa [emoji23][emoji23][emoji23]
Unawaza na kuongea vitu vya kusadikika hadi huruma [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Umeileta hii mada ili uone tunareact vp inshort hii zihaka
 
Kumtoa incumbent president madarakani inabidi kutumia mbinu za ziada. na watu kujitoa sadaka. Hatuna aina hiyo ya wanasiasa Tanzania
 
Kumtoa incumbent president madarakani inabidi kutumia mbinu za ziada. na watu kujitoa sadaka. Hatuna aina hiyo ya wanasiasa Tanzania
Mumtoe ili iweje
Ili uwe wewe Rais Sasa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…