Ndio alikua mgombea mwenza,Kwani alipigiwa kura?
Huyo kwao ni huko ndio maana Kawa mkali sana.Duh wewe unaupiga mwingi kwa matusi
Kujifunza udikteta zaidiAnaenda kupata short course
mmmh mbona kawaida tu. Ingekuwa prof wa siasa unadhani ingekuwaje?Mama kwa ziara....anatisha
Sawa. Unadhani basi ntabishana na wewe tena? Sina haja ya kugombana na watu tena.Ndio alikua mgombea mwenza,
Ile karatasi ya kupigia kura Ina picha yake yeye na Magufuli.
Rwanda-Burundi-Malawi-Uganda-Kenya basi na hii ni ishara ya rais asiyekubalika nje ya east Africa.
Je wakenya walio kuwa wanaifadhi na kuratibu waujumu wa madini yetu vp, wakenya ndiyo jirani mbaya kuliko woteSana , hao jamaa ni kucheka nao tu usoni lakini nyuma ya pazia ni watu mabaya sana
Rwanda muhimu kuitembelea sababu ya sgr na bwawa la umeme ,ila mm nilimuona changa kwenda kenya na kujikombakomba kwa wezi wa kenyaDaaah safari ya Rwanda tena yaani basi tu huyu Maza anapenda sana kuzurula au ndo anatafuta wawekezaji kutoka mkoa wa rwanda
Rais anarudisha mahusiano na nchi majirani.unajuwa wakati wa hayati kidiplomasia tulikuwa tupo vibaya sana.Rais Lazima ajiweke karibu na wapiga kura wake zaidi.
Hizo nchi anazozitembelea hazijaichagua serikali anayoiongoza.
Mahusiano na Rwanda? Hamna kitu huyu, hana tofautiRais anarudisha mahusiano na nchi majirani.unajuwa wakati wa hayati kidiplomasia tulikuwa tupo vibaya sana.
Kiuchumi Tanzania inanufaika sana na Rwanda. ni lazima serikali iweke mahusiano mazuri na hawa majirani zetu.Mahusiano na Rwanda? Hamna kitu huyu, hana tofauti
Nlisikia juzi juzi kwamba huwa wanadukua simu ya rais wa South AfricaSana , hao jamaa ni kucheka nao tu usoni lakini nyuma ya pazia ni watu mabaya sana
Kwa hiyo unataka huyu Mama awe kama Magufuli siyo!! Magufuli atabakia kuwa Magufuli, na Samia atabakia kuwa Samia.Magufuli.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mabavicha hayana hamuSukuma gang,Mataga,Bavicha sasa lugha ni moja tu.
Nani kwani aliyempigia kura zaidi hizi za wizi za jpm.Toka ameapishwa hajawahi fika Arusha, Mbeya, Iringa au hata hapo kibaha tu ila keshakwenda Kenya, Burundi, Msumbiji
Rais akumbuke wapiga kura wake zaidi ya hizo nchi za nje.